hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,282
- 26,678
Arteta ana mataji matatu10 Hag yule ni kocha wa ball level moja na Pep, ndani ya msimu mmoja tu tayari ametupea kombe, nyinyi Arteta amewapia nini kwenye msimu wake wa kwanza? ndani ya miaka yake minne hapo emirates zaidi ya mwanaFA na kudanganywa na fezi mna nini kingine?
Kinachoendelea Man Utd hivi sasa ni hujuma tu za waziwazi ili kumlazimisha Gilaza auze timu.
Tumia akili Masingeli, punguza unazi ndugu yangu
#Arsenyo Ndoo
#Harvez Kiatu
Ten hag ni tapeli ,najua unaongea kama.utani ila ukweli unaujua ,nitakukumbusha utakapozidiwa


|| Arsenal are reportedly interested in signing Benfica’s 25yo RB, Alexander Bah. Bah can also play on both wings and CF [Via - @TipsBladet].