hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,282
- 26,678
Mtu akikubaliana na mm amekuwa chawaChawa wa masingeli![]()
Oya mm sifatagi mkumbo halafu Vita zote huwa nashinda
Waulize manjesta Sasa hivi niliwaambia Anthony masebene wamepigwa walinishambulia,Sasa hivi wananena kwa lugha
Waulize niliwaambia 7hag Ni kocha tapeli , Sasa hivi wanaona aibu kukubali
Ndio ujue Mimi nasimamia ukweli , sifati wengi wanaongea nn





