Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Chawa wa masingeli
Mtu akikubaliana na mm amekuwa chawa

Oya mm sifatagi mkumbo halafu Vita zote huwa nashinda

Waulize manjesta Sasa hivi niliwaambia Anthony masebene wamepigwa walinishambulia,Sasa hivi wananena kwa lugha

Waulize niliwaambia 7hag Ni kocha tapeli , Sasa hivi wanaona aibu kukubali


Ndio ujue Mimi nasimamia ukweli , sifati wengi wanaongea nn
 
Emile ana finishing nzuri na ball striking nzuri kumzidi Mudryk, Sterling, Kai, Nkunku, Noni, Jackson, Chukwuemeka na forwards zote za chelsea.

Usiwaone kenge wajinga kutaka kumuachia Mudi
Astaghafirullah halafu unayaandika haya macho makavuuuuu.
Mashabiki wa Arsenyau banaaa kwa kupenda kujitoa akili, Tbag kabahatisha mechi 2 tu hizo sifa anazopewa sasa tunamsubiria mechi na Man Utd tuone huyo teja jinsi atakavyo tukanwa humu.
Screenshot_20230422-122939.jpg
 
Arteta hana akili kihivyo,acha kumpa sifa asizostahili
dadamlamayao waambie hao, kuna watu humu wanamuona Arteta na na Masingeli ni miungu watu, yaani hawakosei na hata wakikosea hawataki watu wawakosoe, muda sio mrefu na wewe utaanza kuitwa mamluki humu kisa tu kumkosoa Arteta
 
Astaghafirullah halafu unayaandika haya macho makavuuuuu.
Mashabiki wa Arsenyau banaaa kwa kupenda kujitoa akili, Tbag kabahatisha mechi 2 tu hizo sifa anazopewa sasa tunamsubiria mechi na Man Utd tuone huyo teja jinsi atakavyo tukanwa humu. View attachment 2733636
T bag anajua kuliko Bruno ,utofaut ni Bruno amecheza mechi nyingi


Pale manjesta huna mchezaji wakuingia kikos Cha Arsenal ,hata sub huna, Kama yupo mtaje
 
Nimeshikilia maana mmezid unafiki

Kai mechi 3 tu mnaleta chuki

Na ataendelea kucheza ili mkasirike zaidi

Uzuri Arsenal haisikilizagi makelele ya mashabiki uchwara historia ipo hivo
Wewe ndio shabiki uchwara. Kazi yako ni kusifia ovyo. Ni kama bendera fuata upepo.

Naweza sema wewe ndie mtu unaetupa sifa mbaya mashabiki wa Arsenal kwenye jukwaa letu na majukwaa mengine kwa chambuzi zako za ovyo.
Unafanya analysis kishabiki.

Nakuona kwenye majukwaa mengine ulivyo kigeugeu.
Ile siku ya transfer saga la Caicedo, wakati Liverpool wanajaribu kufanya hijack, we ukawa upande wa Liverpool na kuanza kusifia.
One day after Chelsea wanafanya comeback, wewe ukajipeleka upande wa Chelsea. Sijui ukoje home boi. Kama unabisha sema tulete screenshots hapa.

Acha mambo yako wewe!
 
Ww chawa wa masingeli na wenzio mbona mnapelekwa kama makondoo hivi chelsea kwa akili yako wanaweza kumtoa Mudryk plus hela
yaani kuna chawa humu kabla ya kulog in kwanza hua wanamkabidhi Masingeli akili zao awashikie, sometimes mpaka hua nahisi huenda na hizi A/c nyingine pia ni za Masingeli maana sio kwa kujitoa ufahamu huku Aiseeee.
 
Unataka tufanane mawazo mkuu...nyny mnaopinga mbona siwashukii kama ni chawa wa kitu flani au mamluki....nimeshabikia Arsenal tangu mwaka 2000...kwa Sasa timu ilipo naona kabisa tunarudi zile zama za 2000-2004...Sasa kwnn nisiwe optimistic....sikulalamiki vpindi vigumu nilalamike Sasa kwli??....HAPANA....glory days are ahead...Kai mtu na nusu
Out of topic
 
Mnakaribia kumchukua Manywele Cucurella aje kuwasaidia kazi....imagine back line ya Cucurella...wan bissaka...Magwaya...na Martinez...kuna kitu kizito kitawakuta mkuu
Kukulela ni ukuta wa berlin ule, tena unapiga LB na LW kwa wakati mmoja.
Tukimsajili Kukulela Rashidi anahamia RW anaenda kucheza na Masebene huko uwanjani tutakua na RW wawili kwa wakati mmoja.
#Bringback Kukulela



#Arsenyo Ndoo
#Harvez Kiatu
 
Hamna akili ,ndio maana huwa nawaambia ukweli

Mfano jukwaa la manjesta wote wanakomaa 7hag Ni kocha wa maana hawataki ukweli

Je hao ni machawa wa nani
Ww acha kutoka nje ya topic lete link yako ya uongo ya kumpeleka Mudryk plus cash kwa huyo Smith Rowe
 
Mimi Nina vyanzo vya habari zaidi ya 100 ,na vipo grouped kuanzia Tier 1 had4

Nimekuuliza swali hujibu, habari ya Kenge kumtaka Smith kwa swap ya mudrky inapatikana vyanzo gan ili nikuhoji Kama hivo vyanzo ni udaku au lah

Kenge mlimtaka balogun nayo unabisha hata kenge wenzako walipost kule kwenu

Na Sasa nakupa mpya baada ya Arteta kugoma kumuuza Smith mehamia kwa Cole Palmer wa city
Vyanzo vyote hivyo na huwezi kuchuja habari, huoni unatatizo! Eti chelsea ilikua inamtaka Rowe na Arteta akakataa, huoni hizo ni habar za kuuza magazeti?

Nyie Kondoo kila kitu mnaamini, ndio mana kila msimu mnatoka kapa na mpo tu mnaamin, na msimu huu mnatoka kapa mtakwepo tu kama mazuzu.

Yaani nikishamuona hat mtu tu amevaa jez y Arsenal huwa namuonaga hayupo sawa kichwani.
 
Vyanzo vyote hivyo na huwezi kuchuja habari, huoni unatatizo! Eti chelsea ilikua inamtaka Rowe na Arteta akakataa, huoni hizo ni habar za kuuza magazeti?

Nyie Kondoo kila kitu mnaamini, ndio mana kila msimu mnatoka kapa na mpo tu mnaamin, na msimu huu mnatoka kapa mtakwepo tu kama mazuzu.

Yaani nikishamuona hat mtu tu amevaa jez y Arsenal huwa namuonaga hayupo sawa kichwani.
Hawa makondoo wanaleta story za vijiweni humu halafu wanaambukizana ujinga na machawa wao
 
Wewe ndio shabiki uchwara. Kazi yako ni kusifia ovyo. Ni kama bendera fuata upepo.

Naweza sema wewe ndie mtu unaetupa sifa mbaya mashabiki wa Arsenal kwenye jukwaa letu na majukwaa mengine kwa chambuzi zako za ovyo.
Unafanya analysis kishabiki.

Nakuona kwenye majukwaa mengine ulivyo kigeugeu.
Ile siku ya transfer saga la Caicedo, wakati Liverpool wanajaribu kufanya hijack, we ukawa upande wa Liverpool na kuanza kusifia.
One day after Chelsea wanafanya comeback, wewe ukajipeleka upande wa Chelsea. Sijui ukoje home boi. Kama unabisha sema tulete screenshots hapa.

Acha mambo yako wewe!
Huyo jamaa ni kiazi, halafu kuna kondoo kila anachosema wanaamini. kuna baadhi wameshaanza kumshtukia porojo zake.
 
Hawa makondoo wanaleta story za vijiweni humu halafu wanaambukizana ujinga na machawa wao
Ukimwambia leta source, anaruka ruka tu. Hata Kwa akili ndogo tu, yaani umtoe Mudryk uchukue Rowe??! tena eti tuongeze na hela, sio Arsenal ndio waongeze hela.
Mikondoo kila kitu inaamini.
 
Wewe ndio shabiki uchwara. Kazi yako ni kusifia ovyo. Ni kama bendera fuata upepo.

Naweza sema wewe ndie mtu unaetupa sifa mbaya mashabiki wa Arsenal kwenye jukwaa letu na majukwaa mengine kwa chambuzi zako za ovyo.
Unafanya analysis kishabiki.

Nakuona kwenye majukwaa mengine ulivyo kigeugeu.
Ile siku ya transfer saga la Caicedo, wakati Liverpool wanajaribu kufanya hijack, we ukawa upande wa Liverpool na kuanza kusifia.
One day after Chelsea wanafanya comeback, wewe ukajipeleka upande wa Chelsea. Sijui ukoje home boi. Kama unabisha sema tulete screenshots hapa.

Acha mambo yako wewe!
Home boi akikujibu naomba unitag.




#Arsenyo Ndoo
#Harvez Kiatu
 
yaani kuna chawa humu kabla ya kulog in kwanza hua wanamkabidhi Masingeli akili zao awashikie, sometimes mpaka hua nahisi huenda na hizi A/c nyingine pia ni za Masingeli maana sio kwa kujitoa ufahamu huku Aiseeee.
kweli kabisa kuna ID huwa anajisuport mwenyewe mana unakuta mtu anamsaport kw kitu cha kipuuzi, kitu hata mtoto mdogo hawez kusuport, unajiuliza anaesuport zimetimia kweli??!
 
Wewe ndio shabiki uchwara. Kazi yako ni kusifia ovyo. Ni kama bendera fuata upepo.

Naweza sema wewe ndie mtu unaetupa sifa mbaya mashabiki wa Arsenal kwenye jukwaa letu na majukwaa mengine kwa chambuzi zako za ovyo.
Unafanya analysis kishabiki.

Nakuona kwenye majukwaa mengine ulivyo kigeugeu.
Ile siku ya transfer saga la Caicedo, wakati Liverpool wanajaribu kufanya hijack, we ukawa upande wa Liverpool na kuanza kusifia.
One day after Chelsea wanafanya comeback, wewe ukajipeleka upande wa Chelsea. Sijui ukoje home boi. Kama unabisha sema tulete screenshots hapa.

Acha mambo yako wewe!

Inaonesha una chuki kiasi gan imekujaa ,halafu Mimi sijawahi kukushambulia ila chuki yako imefika pabaya kisa unataka nikubaliane na ujinga namawazo yako ,kwani huwez kutetea au kuelezea Jambo mpaka mpaka uni refer mm sababu hatukubaliani

nimecheka Sana unaleta ishu ya Caicedo ,ulitaka niwasifie Liverpool wakati wamemkosa , Mimi napiga banter kote kote ,toka awali nilipenda aende Chelsea maana najua wale Ni wabovu tu anaenda ku flop tu pale ,na nilifurahi baada ya shabik wa Liverpool kuja kunitukana,

Sasa hii Ni hoja dhaifu Sana ,nakushauri tu mkuu ukiona nakukera wewe kaa mbali na Mimi , ukitaka Vita nipo tayari ,

Chuki zako kwangu hazisaidii kitu , Wala huwezi niona naweka chuki maana sikufahamu ila kutwa kuniandama
 
Back
Top Bottom