hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,279
- 26,653
Wewe dadamlamayao umekuja juzi tu, lakin hata lugha zako sio nzuri
Unataka Arteta apange timu kwa kusikiliza mashabiki?
Yaan asikilize kelele za mashabiki ambao hata NT yenu kucheza CHAN haiwezi?
Kipind hampangi Auba ,ozil mlipiga kelele ,mwisho nani alishinda Vita?
Hakuna anayemuona Arteta malaika , sisi tupo humu toka enz za Wenger ,Emery , Ljumberg had Arteta ,tunaongea vitu tunavyovijua
Tulimpinga emery humu mwanzon tu alipoleta mpira wakijinga na kuwa na poor talent ID , ndio maana hata pale Emirates alibebewa mabango
Niliwahi mwambia mtu humu anayejifanya anampangia Arteta tactics ,akadai atafukuzwa ,nilimwambia ulishawahi ona Arteta kabebewa bango hata la mchongo pale Emirates even hata kipind kigumu alichopitia , alienda Google akaja na la ku editiwa
Hata kipind anapitia wakat mgumu tulioona mwanga tulisimama nae imara
Wabwatukaji akiwepo rafiki yangu Edo kumwembe kwasasa ndio wanamkubali na wamejipa urais wa Arsenal Tanzania
Wewe ndugu yangu sidhan hata kama umewahi fundisha timu ya kanisani au msikiti
Unataka Arteta apange timu kwa kusikiliza mashabiki?
Yaan asikilize kelele za mashabiki ambao hata NT yenu kucheza CHAN haiwezi?
Kipind hampangi Auba ,ozil mlipiga kelele ,mwisho nani alishinda Vita?
Hakuna anayemuona Arteta malaika , sisi tupo humu toka enz za Wenger ,Emery , Ljumberg had Arteta ,tunaongea vitu tunavyovijua
Tulimpinga emery humu mwanzon tu alipoleta mpira wakijinga na kuwa na poor talent ID , ndio maana hata pale Emirates alibebewa mabango
Niliwahi mwambia mtu humu anayejifanya anampangia Arteta tactics ,akadai atafukuzwa ,nilimwambia ulishawahi ona Arteta kabebewa bango hata la mchongo pale Emirates even hata kipind kigumu alichopitia , alienda Google akaja na la ku editiwa
Hata kipind anapitia wakat mgumu tulioona mwanga tulisimama nae imara
Wabwatukaji akiwepo rafiki yangu Edo kumwembe kwasasa ndio wanamkubali na wamejipa urais wa Arsenal Tanzania
Wewe ndugu yangu sidhan hata kama umewahi fundisha timu ya kanisani au msikiti


️



