zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 22,794
- 36,361
Kai aanze badala ya Rice au Trossard? Hapana kwa kweli, ni mzigo kabisa huyo. Hili kosa la kumsajili Havertz ndio yatatucost msimu huu. Mbaya zaidi tutashindwa kumuuza atatusumbua kama Pepe au Ozil!!Raya/Rambo
Ubavu wa kulia white, kushoto zinny
Kati tuwekee partey chini
Ode na Kai wacheze juu yake
Kushoto tuwekee saka, kulia martinelli.
Kati jesus akiwa fit.
Haya maswala ya partey kucheze inverted nini sijui, tumwachie Guardiola!!!!!


. Kai tunamjua ni mrefu na tutarajie kila game ataanza nashangaa wanaolalamika humu ndani kwanini kai aanze wakati maamuzi yalishafanyika pre season jezi zirushwe juu kupata first 11
Huu utaratibu mwisho leo mkuu