Guacamole
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 6,079
- 16,035
Acha kusifia ujinga mkuu.Arsenal kachezaje vibaya Leo had ulaumu mkuu ,
Arsenal akishinda unalalamika
Tukisare unalalamika
Tukifungwa unalalamika
Xg Leo ilikuwa
Arsenal (3.01) 2-2 (0.46) Fulham
Wasifie Fulham hasa Leno kwa kushikilia bomba
Nafasi nyingi tumetengeneza ,ufanisi wa kipa wao umeonekana
Ujinga wa Arteta kulazimisha kumchezesha Havertz ndio umesababisha mechi hizi 3 kucheze kwa tabu, kwanini?
- Kumchezesha Havertz ndo kunasababisha tucheze mfumo tunaocheza sasa ambao unamfosi Partey atokee LB, kitu ambacho kuwezi vuna the best out of him (Partey)
- Uwepo wa Havertz hauna faida kwa timu, he is too lazy to be an offensive midfielder. Na anafanya makosa mengi kuliko mazuri na yeye ndie anaeleta imbalance kwenye timu. Ukitaka kujua hilo angalia alivyoingia Fabio Vieira.
Arteta aache sasa kumlinda Havetz, akubali tu £60 mil ni nyingi sana na kaipoteza, pesa ambayo tungeweza kupata mbadala mzuri wa Saka, hapo namzungumzia Diaby/Kudus.
Baada ya kuona mmepata draw nilichukia nilitaka mpigwe ila nature ya draw ilivyotokea ikanifanya nikafurahi zaidi.

upande wooote wa kushoto huu upande ulikua na wachezaji watatu zinny kama LB aliyekua anaingia ndan kama kiungo timu ikiwa na mpira, upande uo pia ulikua na Xhaka kama LCM na Martinell kama LW, Zinny kuna wakati alikua anamsogolea zaid Martinell ila kwa sasa Martinel ni kama yuko mkiwa saana kwa kumtumia beki wa kati halisi ambae kuvuka tu mstari ni ngumu ili kutengeneza muundo wa mabeki 3 wanyuma.