Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal kachezaje vibaya Leo had ulaumu mkuu ,

Arsenal akishinda unalalamika

Tukisare unalalamika

Tukifungwa unalalamika

Xg Leo ilikuwa

Arsenal (3.01) 2-2 (0.46) Fulham

Wasifie Fulham hasa Leno kwa kushikilia bomba

Nafasi nyingi tumetengeneza ,ufanisi wa kipa wao umeonekana
Acha kusifia ujinga mkuu.

Ujinga wa Arteta kulazimisha kumchezesha Havertz ndio umesababisha mechi hizi 3 kucheze kwa tabu, kwanini?

- Kumchezesha Havertz ndo kunasababisha tucheze mfumo tunaocheza sasa ambao unamfosi Partey atokee LB, kitu ambacho kuwezi vuna the best out of him (Partey)

- Uwepo wa Havertz hauna faida kwa timu, he is too lazy to be an offensive midfielder. Na anafanya makosa mengi kuliko mazuri na yeye ndie anaeleta imbalance kwenye timu. Ukitaka kujua hilo angalia alivyoingia Fabio Vieira.

Arteta aache sasa kumlinda Havetz, akubali tu £60 mil ni nyingi sana na kaipoteza, pesa ambayo tungeweza kupata mbadala mzuri wa Saka, hapo namzungumzia Diaby/Kudus.
 
Baada ya kuona mmepata draw nilichukia nilitaka mpigwe ila nature ya draw ilivyotokea ikanifanya nikafurahi zaidi.

Dk ya 86 mlikuwa na matumaini ya kuchukua points 3 wahuni wakakomba 2 wote mpate 1.

Arsenyani back to default settings.
Kwa timu yenu ile asee

Nashangaa hata umekujaje humu
 
Mgema ukimsifia pombe ataitia maji. Arteta anataka kutia mbwembwe nyingi, kifupi huu mfumo wake haujatufanya tuwe hatari kama msimu uliopita, attempts nyingi ni mashuti ya mbali.

Kwa vijana wa arsenal unahitaji kutengeneza nafasi nyingi za wazi kufunga goli kadhaa, sasa nafasi za wazi zikiwachache maana yake umepunguza magoli.

Msimu uliopita tuliishia pazuri saana, hii nguvu ya rice ni sawa na energy drink katika mfumo wetu, ilikuwa ni kuendelea mule mule tu.
Kai ni wa kukaa benchi kwa kweli
 
Acha kusifia ujinga mkuu.

Ujinga wa Arteta kulazimisha kumchezesha Havertz ndio umesababisha mechi hizi 3 kucheze kwa tabu, kwanini?

- Kumchezesha Havertz ndo kunasababisha tucheze mfumo tunaocheza sasa ambao unamfosi Partey atokee LB, kitu ambacho kuwezi vuna the best out of him (Partey)

- Uwepo wa Havertz hauna faida kwa timu, he is too lazy to be an offensive midfielder. Na anafanya makosa mengi kuliko mazuri na yeye ndie anaeleta imbalance kwenye timu. Ukitaka kujua hilo angalia alivyoingia Fabio Vieira.

Arteta aache sasa kumlinda Havetz, akubali tu £60 mil ni nyingi sana na kaipoteza, pesa ambayo tungeweza kupata mbadala mzuri wa Saka, hapo namzungumzia Diaby/Kudus.
Wewe Leo unaweza kumfundisha Arteta mbinu za mpira ?

Umewahi fundisha hata timu ya kanisa?

Mfumo wa leo umeinyimaje Arsenal matokeo ?

Nafasi hazijatengenezwa?

Comment yako inaonesha una chuki binafsi na Kai Wala hakuna kingine

Mfumo tunaocheza sio sababu ya Kai

Ni sababu kuumia kwa Timber na Zinny

Still ulishangilia City tulivyompiga

Tukishinda hamuonekani

Tukifungwa au draw lawama 1000
 
Wewe Leo unaweza kumfundisha Arteta mbinu za mpira ?

Umewahi fundisha hata timu ya kanisa?

Mfumo wa leo umeinyimaje Arsenal matokeo ?

Nafasi hazijatengenezwa?

Comment yako inaonesha una chuki binafsi na Kai Wala hakuna kingine

Mfumo tunaocheza sio sababu ya Kai

Ni sababu kuumia kwa Timber na Zinny

Still ulishangilia City tulivyompiga

Tukishinda hamuonekani

Tukifungwa au draw lawama 1000
Bado hamjamaliza kulaumiana? Tunataka kuongea vitu vya maana. Punda nyie.
 
Arteta asiforce kai acheze ikiwa bado mabaya yake ni mengi kuliko mazuri.

Binadamu ni kawaida kukosea,sio yeye wa kwanza kusajili mchezaji akawa flop(siwezi kuita flop wengine tuna mashakanae toka alivyokuwa Chelsea a.k.a CHEISII)

Hatakina Ferguson walisajili kina kleberson huko na hawakung'aa si ajabu kwake
 
Hii formation haitofanya jipya. Naelewa Arteta anajaribu kuwa unpredictable lakini kwa mfumo huu atatu-cost points nyingi msimu huu.. aache kabisa, turudi kwenye mfumo wetu.

Pia aache kujaribisha wachezaji, iwe kama alivyosema- alieko tayari ndie acheze!

Kwa Havertz ashafeli, akubali akae benchi nae ajifunze.

Tuna kipa mzuri kwenye benchi, Raya, na yeye anajua lakini bado kamng'ang'ania Ramsdale.

Mbona simple tu:

Kipa aanze Raya, Zinchenko awepo na back 4 inayomjumuisha Gabriel Magalhaes

Kati Partey, Ødegaard na Rice. Pembeni Saka na Martinelli. Japo Martinelli anatakiwa a-improve game yake. Vile vile yuko predictable sana.

Mbele Jesus au Nketiah.
Kai mkeka ili ajifunze.

Turudi kwenye mfumo wetu wa 4-3-3.
 
Wewe Leo unaweza kumfundisha Arteta mbinu za mpira ?

Umewahi fundisha hata timu ya kanisa?

Mfumo wa leo umeinyimaje Arsenal matokeo ?

Nafasi hazijatengenezwa?

Comment yako inaonesha una chuki binafsi na Kai Wala hakuna kingine

Mfumo tunaocheza sio sababu ya Kai

Ni sababu kuumia kwa Timber na Zinny

Still ulishangilia City tulivyompiga

Tukishinda hamuonekani

Tukifungwa au draw lawama 1000
City ulimpiga au ulishinda dhidi yake?

Tarehe 3 tutawadhalilisha nyie haya
 
Wewe Leo unaweza kumfundisha Arteta mbinu za mpira ?

Umewahi fundisha hata timu ya kanisa?

Mfumo wa leo umeinyimaje Arsenal matokeo ?

Nafasi hazijatengenezwa?

Comment yako inaonesha una chuki binafsi na Kai Wala hakuna kingine

Mfumo tunaocheza sio sababu ya Kai

Ni sababu kuumia kwa Timber na Zinny

Still ulishangilia City tulivyompiga

Tukishinda hamuonekani

Tukifungwa au draw lawama 1000
Wewe unaechambua kila siku umewahi kufundisha timu yoyote?

Usijifanye huelewi, mpira ni mchezo wa wazi. Kila mtu anaona. Wewe hujioni uko peke yako unamsapoti Kai? Hujioni kama una tatizo?

Acha ushabiki maandazi.

Inaeleweka wazi Kai ni mzigo. Uwepo wake ni kama tuko pungufu. Too much silly mistakes.

Pale tukubali tumepigwa wazi wazi.

Arteta abadili mfumo kabla hatujapoteza zaidi. La sivyo tusitarajie makubwa msimu huu.
 
Next game akianza na huu ujunga lazima nyumbu wapate cha kutusimangia through out the season. Maana tutakandwa kikamilifu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Masingeli ameshawaambia nyumbu ni wabovu kwelikweli hivyo msiwe na wasiwasi, ule mpira wa patupatu wa nyumbu hauna madhara yoyote kwa hii Arsenyo ya Masterclass.
Pira wali nazi, pira biriani, Tetaball burudani kwa wote.
 
Kuna kikosi mkikipata ndani ya hio hio timu na kukipanga kama first 11 yenu mtakuwa bora sana shida ni majeruhi na kukumbatia baadhi ya wachezaji wana slow the momentum of winning strike...
Mechi ijayo zinny saliba Gabriel kwior nyuma kati partey rice ode mbele saka jesus martneli your good to goo hapo sub kai trossard nkeitah verira mbona point zipo mlangoni kwenu

Ishu itakayo wa cost ni utoto na injury
 
Wewe Leo unaweza kumfundisha Arteta mbinu za mpira ?

Umewahi fundisha hata timu ya kanisa?

Mfumo wa leo umeinyimaje Arsenal matokeo ?

Nafasi hazijatengenezwa?

Comment yako inaonesha una chuki binafsi na Kai Wala hakuna kingine

Mfumo tunaocheza sio sababu ya Kai

Ni sababu kuumia kwa Timber na Zinny

Still ulishangilia City tulivyompiga

Tukishinda hamuonekani

Tukifungwa au draw lawama 1000
 
Hii formation haitofanya jipya. Naelewa Arteta anajaribu kuwa unpredictable lakini kwa mfumo huu atatu-cost points nyingi msimu huu.. aache kabisa, turudi kwenye mfumo wetu.

Pia aache kujaribisha wachezaji, iwe kama alivyosema- alieko tayari ndie acheze!

Kwa Havertz ashafeli, akubali akae benchi nae ajifunze.

Tuna kipa mzuri kwenye benchi, Raya, na yeye anajua lakini bado kamng'ang'ania Ramsdale.

Mbona simple tu:

Kipa aanze Raya, Zinchenko awepo na back 4 inayomjumuisha Gabriel Magalhaes

Kati Partey, Ødegaard na Rice. Pembeni Saka na Martinelli. Japo Martinelli anatakiwa a-improve game yake. Vile vile yuko predictable sana.

Mbele Jesus au Nketiah.
Kai mkeka ili ajifunze.

Turudi kwenye mfumo wetu wa 4-3-3.
Teta boy anajiona Pep.

Atachakazwa mapema msimu huu had ajute na kiherehere chake.
 
Wewe Leo unaweza kumfundisha Arteta mbinu za mpira ?

Umewahi fundisha hata timu ya kanisa?

Mfumo wa leo umeinyimaje Arsenal matokeo ?

Nafasi hazijatengenezwa?

Comment yako inaonesha una chuki binafsi na Kai Wala hakuna kingine

Mfumo tunaocheza sio sababu ya Kai

Ni sababu kuumia kwa Timber na Zinny

Still ulishangilia City tulivyompiga

Tukishinda hamuonekani

Tukifungwa au draw lawama 1000
Kuna kipindi Pep alikuwa anafeli kwa sababu ya overthinking....


The same might happen to Arteta this season...


Arteta is necessarily overthinking and a lot of drawing board tactics...

Kwann analazimishia Rice awe number 6, Kai lazima apate number? Mara false 9 mara LAM...

Partey kashakuwa beki sahv, Gabriel anakula benchi..., Atakuja kushangaa wachezaji wanaanza kuflop...

Tubishe lakin asiporudi kwenye natural formula tutateseka sana, tutakuwa tunashinda kwa taaabu

Shauri lake.
 
Arteta kasambaratisha maeneo makubwa matatu kwenye timu kulingana na msimu ulioisha na msimu huu

upande wooote wa kushoto huu upande ulikua na wachezaji watatu zinny kama LB aliyekua anaingia ndan kama kiungo timu ikiwa na mpira, upande uo pia ulikua na Xhaka kama LCM na Martinell kama LW, Zinny kuna wakati alikua anamsogolea zaid Martinell ila kwa sasa Martinel ni kama yuko mkiwa saana kwa kumtumia beki wa kati halisi ambae kuvuka tu mstari ni ngumu ili kutengeneza muundo wa mabeki 3 wanyuma.

Eneo la Kiungo partey Na Xhaka wote ni kama hawapo tena eneo hilo timu ikiwa inaanzisha mashambulizi na wakati wa kuzuia hapo napo ni sehemu mpya kabisa kwa sasa

Upande wa kulia ambapo ili tuone uwezo wa Saka inambidi awepo beki wa ku ovlp kama ambavyo hufanya Benny White ila Leo sana hana mtu wa aina iyo tena, hapo ni kama Arteta anaiua Timu pole pole bila kujua ama kwa kujua ila anatafuta kitu kipya kwa wakati usio sahihi,..
 
Back
Top Bottom