hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,313
- 26,718
Arsenal kachezaje vibaya Leo had ulaumu mkuu ,Tatizo sio sare style ya Arsenal mean uchezaji wake unafahamika na hautabadilika abadani
Arsenal akishinda unalalamika
Tukisare unalalamika
Tukifungwa unalalamika
Xg Leo ilikuwa
Arsenal (3.01) 2-2 (0.46) Fulham
Wasifie Fulham hasa Leno kwa kushikilia bomba
Nafasi nyingi tumetengeneza ,ufanisi wa kipa wao umeonekana
