Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 12,511
- 35,681
MAMAMAMAMAAMMAM ARSENAL MMENICHANIA MKEKA WANGU KENGE NYIE 






































Pass ya goli la offside yenyewe aliikoseaKuanzia dk ya 29 kidooogo kai kagusa gusa mpira.
Kapiga pasi moja nzuri kwa declan, ikaenda kwa trossard, trossard martineli, kipa akaokoa.
Akapiga ile assist ya offsidena nina mashaka ile kama alikosea fulani hivi.. odergard akaweka kambani ila ndio offside.
Rudisha trossard LCM toa kai weka jesus no 9 pale mbele ushindi huo hapo walio beti wana hali tete muwaokoe na mikeka yao leoFull force attack is all needed
Watu wanakuja na Logic na google findings za ajabu kulinda maamuzi ya Arteta kumuanzisha Kai Havertz lakini hakuna la maana linaloonekana huyu mtu anaweza kuisaidia Arsenal kwa sasa hapo mbele.. Zaidi tumekuwa wazito kuliko. Hata kumfananisha na Ozil naona aibu kwasababu ozil alikuwa mvivu lakini ni Technically gifted pale mbele. Lakini kwa huyu mtu sioni mimi.KAI HAVERTZ toka akiwa Chelsea kuna baadhi ya mashabiki wa timu hiyo walikuwa wanamlinda na kumtetea kisa tu alifunga goli la pekee kwe fainali ya UEFA. Yaani ata akikosea wanamtetea niliwaona wa ajabu sana, mchezaji acheze hovyo hovyo eti anatetewa kisa tu alifunga goli. Huo ni upumbavu mkubwa sana
Kaja Arsenal kabla ata hajasajiliwa Hamisi na genge lake walimpa sifa utadhani ni mchezaji wa maana basi kumbe ujinga ujinga. Huyu HAVERTZ ni takataka tu na nina shangaa sana ameweza vipi kuwa mchezaji wa mpira wa miguu. Havertz hakufaa kuwa mchezaji wa mpira wa miguu ilifaa awe mchezaji wa rede. Mchezaji gani amelegea mithili ya mrenda.
Yule dogo ni hajui mpira analazimisha tu.
Full time arsenal anaokota points 3, that's all I knowRudisha trossard LCM toa kai weka jesus no 9 pale mbele ushindi huo hapo walio beti wana hali tete muwaokoe na mikeka yao leo
Kai sio mbaya kivileee ni vile anacheza under pressure na kocha ana force kumchezesha ili hali akijua huyu akiwa under pressure atakuwa uozo na mzigo ndani ya timu ila ana fanya hivo ku prove watu wrong... Kwamba kai is better which he is ila sio kivilee ni kama mount na 10hag kule uzur kaumia na huku amiumia arsenal fans wataona progressWatu wanakuja na Logic na google findings za ajabu kulinda maamuzi ya Arteta kumuanzisha Kai Havertz lakini hakuna la maana linaloonekana huyu mtu anaweza kuisaidia Arsenal kwa sasa hapo mbele.. Zaidi tumekuwa wazito kuliko. Hata kumfananisha na Ozil naona aibu kwasababu ozil alikuwa mvivu lakini ni Technically gifted pale mbele. Lakini kwa huyu mtu sioni mimi.
Pole kakaniko moshi ila kwenye bars naona ni manyumbu na yanga zinaonyeshwa
Akibadilika na akafanya vizuri atasifiwa, kwa sasa hatuwezi sema mazuri wakati hajaonesha.Wekeni na maneno ya akiba kwa Kai haverts
Nketia my player anaenda kutia kamba, game yake hii leoLet's wait for the second half 🫶
Kabisa kaka🤣Pass ya goli la offside yenyewe aliikosea
Naona Havertz kabakia Trossard Out mhhhhhhhh