Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,701
- 13,671
Ndiyo hawezi sasa, matokeo yake ndo haya, beki imekuwa uchochoro aka chujio.Arteta anataka acheze back 3 na inverted full back atakae enda kucheza kati na rice ni kama kule man city na stones na sasa ni akanji ila too bad beki za leo hizo 3 apart from saliba wengine ni presha sana


🦯