Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Punda nyie [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Screenshot_20230826_190241_All%20Goals.jpg
 
Arsenal ni team inayopewa sifa ambazo sio zake humu JF[emoji67]‍🦯[emoji67]‍🦯[emoji67]‍🦯[emoji67]‍🦯[emoji67]‍🦯[emoji67]‍🦯 pamoja na Red card goal limerudi na style yake ya uchezaji ni ile ile frequently no plan B ok guys Goodnight
Kocha mpuuzi ana very limited skills.
 
  • Thanks
Reactions: ARV
Hii sare Atreta kajitakia mwenyewe. Huwezi kujaribu jaribu mbinu wakati unahitaji matokeo. Unatakiwa ustick na winning formula na kuendelea kuiperfect. Ukihitaji kuexercise mbinu mpya basi fanya hivyo ukishakuwa umefunga hesabu. I'm very disappointed na coach leo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Next game vs man utd ajaribu tena mbinu zake

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Raya/Rambo

Ubavu wa kulia white, kushoto zinny

Kati tuwekee partey chini

Ode na Rice ( sio kiazi Kai, kinaruka ruka tuu uwamjani) wacheze juu yake

Kushoto tuwekee saka, kulia martinelli.

Kati jesus akiwa fit.

Haya maswala ya partey kucheze inverted nini sijui, tumwachie Guardiola!!!!!
 
Hii sare Atreta kajitakia mwenyewe. Huwezi kujaribu jaribu mbinu wakati unahitaji matokeo. Unatakiwa ustick na winning formula na kuendelea kuiperfect. Ukihitaji kuexercise mbinu mpya basi fanya hivyo ukishakuwa umefunga hesabu. I'm very disappointed na coach leo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mfumo haujatufunga ,

Hatujatengeneza nafasi za kufunga?

Fulham wameshikilia bomba sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom