Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wazee wa "muhimu point 3" kiko wapi

Game mbili za kwanza mmeshinda kwa mbinde sana. Tofauti na msimu uliopita mlianza kwa kasi.

Huyu Arteta majaribio yake yatamponza, kasajili wachezaji kwa bei kubwa anaforce kuwaanzisha wote, mwisho wa siku mambo yanaharibika.
 
Hii sare Atreta kajitakia mwenyewe. Huwezi kujaribu jaribu mbinu wakati unahitaji matokeo. Unatakiwa ustick na winning formula na kuendelea kuiperfect. Ukihitaji kuexercise mbinu mpya basi fanya hivyo ukishakuwa umefunga hesabu. I'm very disappointed na coach leo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Fulham wameshikilia bomba Sana

Kwa XG hii

Arsenal (3.01) 2-2 (0.46) Fulham

Leno kafanya Kaz Sana ,
 
Wazee wa "muhimu point 3" kiko wapi

Game mbili za kwanza mmeshinda kwa mbinde sana. Tofauti na msimu uliopita mlianza kwa kasi.

Huyu Arteta majaribio yake yatamponza, kasajili wachezaji kwa bei kubwa anaforce kuwaanzisha wote, mwisho wa siku mambo yanaharibika.
Wewe manjesta umeona timu lako lilivyocheza leo

Au mnadhan mech yenu hatujaangalia

Mna Hali mbaya Sana
 
Back
Top Bottom