Charlz ze son conscious
JF-Expert Member
- Aug 22, 2019
- 563
- 856
Hana muendelezo huyo, inshort atabirikiKaiva Sana
Waliokuwa wanamponda huwez waona wakimpa credit had akosee
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Hana muendelezo huyo, inshort atabirikiKaiva Sana
Waliokuwa wanamponda huwez waona wakimpa credit had akosee
Ndio decisive player wenu leo baada ya kutoka kai...Nimemkubali FABIO VIERA
![]()
Ramsdale kakosea nn leo?Mpeni chance raya hapo golini
Sikweli mkuu msimu Jana hajapata nafasi Sana ,msimu huu toka pre season kila akipewa nafas anaonesha kitu
Manjesta hakuna timu ase,wamepelekewa Moto Sana na watu pungufu
Ametoa assistKaiva Sana
Waliokuwa wanamponda huwez waona wakimpa credit had akosee






Mjinga kweli aisee...Hii sare Atreta kajitakia mwenyewe. Huwezi kujaribu jaribu mbinu wakati unahitaji matokeo. Unatakiwa ustick na winning formula na kuendelea kuiperfect. Ukihitaji kuexercise mbinu mpya basi fanya hivyo ukishakuwa umefunga hesabu. I'm very disappointed na coach leo.
Sent using Jamii Forums mobile app



Next game akianza na huu ujunga lazima nyumbu wapate cha kutusimangia through out the season. Maana tutakandwa kikamilifu.
Fulham wameshikilia bomba SanaHii sare Atreta kajitakia mwenyewe. Huwezi kujaribu jaribu mbinu wakati unahitaji matokeo. Unatakiwa ustick na winning formula na kuendelea kuiperfect. Ukihitaji kuexercise mbinu mpya basi fanya hivyo ukishakuwa umefunga hesabu. I'm very disappointed na coach leo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waliokuwa wanamponda huwez waona ,toka mech na city katakata SanaAmetoa assist
Kasababisha penalty
Shoots on target
Ile acrobatic aliyopiga was
Dogo ameiva kweli. Tbag![]()
Wewe manjesta umeona timu lako lilivyocheza leoWazee wa "muhimu point 3" kiko wapi
Game mbili za kwanza mmeshinda kwa mbinde sana. Tofauti na msimu uliopita mlianza kwa kasi.
Huyu Arteta majaribio yake yatamponza, kasajili wachezaji kwa bei kubwa anaforce kuwaanzisha wote, mwisho wa siku mambo yanaharibika.
Tatizo sio sare style ya Arsenal mean uchezaji wake unafahamika na hautabadilika abadaniYan sare tayari unalalamika duh
Bado shida yake kuu ni kukosa nguvu tu. Akiguswa kidogo anapiga chiniKaiva Sana
Waliokuwa wanamponda huwez waona wakimpa credit had akosee
Nyumbu hakuna timu pale ,wamepelekewa Sana Moto na watu 10 ,sebulen kwaoNext game akianza na huu ujunga lazima nyumbu wapate cha kutusimangia through out the season. Maana tutakandwa kikamilifu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Big game sio za kukalili au kuingia na matokeo! Unaweza pewa suprise ukabaki mdomo waziManjesta hakuna timu ase,wamepelekewa Moto Sana na watu pungufu
Bora Fulham wameshikilia bomba