
️ | FOLARIN BALOGUN UPDATE


Mkohoti na Flano naombeni majibu
Who will be the better signing?
Antony
Mykhailo MudrykView attachment 2725255


Mkuu huu ni uchanganishi wa kasudi kabisa kati yangu na ndugu yangu Mkohoti Nasema hivii, Mudryk bado roho inawauma, kama liva roho inavyowauma kwa Caicedo.Habari za kuitana machawa zinakujaje Sasa😅😅😅...mbona mnaanza Kuni attack personally Sasa...mnataka tufanane mawazo wte hmu ndani au😅😅😅....umeona mpira alopiga Martinelli jana mkuu au bdo unamfananisha na kile kituko chako Mudirikiiii😅😅😅....siku zte Tapeli lazima na yy atapeliwe....na bado mnamtaka Balogun mtaitapika 50 tusawazishe score😅😅😅...msimu mwingine huu mjiandae kutupa point 6 tawi letu
Mudryk 😆😆😆 huyo si chura tuNasema hivii, Mudryk bado roho inawauma, kama liva roho inavyowauma kwa Caicedo.
Huyu huyu Mudryk ndio anakuja kuwapga pale pale Emirate, halafu anakuiss budge! Aisee mtatamani kufa.
Sijui kwanini nikiiangalia hii picha naona kama kweli huyu ni Flano.Mkohoti na Flano naombeni majibu
Who will be the better signing?
Antony
Mykhailo MudrykView attachment 2725255
Sijui kwanini nikiiangalia hii picha naona kama kweli huyu ni Flano.
Halafu macho yangu yakaenda mbali zaid kuona kw kule nyuma ya hao jamaa kuna nyumba haijamaliziwa kujengwa.






Timu nyng wakikutana nao sasahv kwa kipindi kikubwa cha mechi wanawakaba 2v1 kwny flanks..hasa ule upande wa Saka niliona naona sana anakabwa na wawili
Mkuu hata wewe ukikamia mechi moja unaweza funga hata kama hujui mpira kinachoongelewa hapa ni ile worth ya mchezaji ionekane hatusemi san kwa enzo sabb kidogo anacheza na anaonyesha timu ikikaa sawa atashine zaidi...Yes,mimi ni mmja wapo wa mwana gunners nlieumia kumkosa mudryk sabb nlijua kbx mfumo wetu na uwepo wa saka ungefanya wapinzani wasumbuke sana hasa beki za wapinzani pia ingeongeza upinzani kwa martinell ambae ni kam amebwetek sabb namba yake imekosa challange sahh...trossard yupo ila huyu si mtu anakupa energy muda mwingi hasa kwenye kubalance kukaba na kushambulia ila ni mzuri kucheza dakika chache akiwa nyuma ya striker au akiwa striker kivuli.Nasema hivii, Mudryk bado roho inawauma, kama liva roho inavyowauma kwa Caicedo.
Huyu huyu Mudryk ndio anakuja kuwapga pale pale Emirate, halafu anakuiss budge! Aisee mtatamani kufa.

...

Arsenal wamesema hauzwi na wamegoma kutaja Beireal madrid are monitoring gabriel arsenal's CB as a militao replacement

Muddy ni sleeper agent wetu tu hapo darajani. Tukimuactivate tu Kwa code word, kwisha habari yenuNasema hivii, Mudryk bado roho inawauma, kama liva roho inavyowauma kwa Caicedo.
Huyu huyu Mudryk ndio anakuja kuwapga pale pale Emirate, halafu anakuiss budge! Aisee mtatamani kufa.
Ubaya ubaya tuArsenal would command a bigger fee than the £50m asking price if Chelsea were to sign Folarin Balogun from them.![]()
[via @skysports].
"Eddie alifanya kazi kwa bidii dhidi ya Palace, alifanya vizuri sana kama mshambuliaji anayeunganisha mchezo huo.
"Yeyote anayecheza na Eddie hivi sasa lazima awe na ajenda. Sehemu ya kazi yako kama mshambuliaji ni kufunga mabao, kwa hivyo utakosa baadhi.
"Watu wengi hawapendi kumuona Eddie Nketiah pale mbele , hao ndio watu ambao wana shida.
Sina shida, nilidhani alicheza vizuri.
"Watu wanataka tu kumuandama Eddie, lakini Eddie alifanya vyema leo ninavyoona mimi, ndio ni backup yetu, lakini amecheza mechi mbili na tumeshinda zote."