Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wanakariri, Mimi mwenyewe sikufurahishwa na performance ya Kai last games. Lakini nilijua ataendelea kuimprove taratibu, game ya jana sikutarajia atacheza vile, ndiyo maana nazidi kuwa na matumaini kuwa ataendelea kuimprove zaidi ya hapo.

Tutafutie hitting map yake, au statistics zake tuone mkuu
Nitaleta mkuu, watu wamekariri ,kwa mech za physical,Kai ndiye muhimu,sababu ya kuwin aerial duels , na Jana kawin zote
 
Naona Antony Masebene naye anataka kukutwa na kesi....mke wake anaenda kumshtaki kwa unyanyasaji mahakamani....watawaua Man U jamani...hyu naye akiwekwa pembeni si timu itakufa...maana jamaa huwa akiwepo uwanjani timu inakabia juu kule mbele....yaani akitoka timu inaelemewa kabisa
Huyo Anthony masebene ashinde hiyo kesi, maana wanaweza pata mwenye afadhali
 
@FabrizioRomano -

"Al Ittihad representatives are in London to try to convince the player & club, but my source told me jokingly that it would take €200M for Arsenal to sell Gabriel now. Especially now, after the Timber injury."

(Via Youtube )
youtube.com/watch?v=q2dxJZ…
 
Only 2 teams defeated Crystal Palace at Selhurst Park in the last 10 league games.


Arsenal and Manchester City. Both were 1-0 wins.


Not an easy away ground by any means.


Mission accomplished
 
My Full Time thoughts:

  • Saliba is 1 of 1 Rolls Royce, best in the world
  • Tomiyasu was poor but harsh red card
  • Partey RB gimmicks has to stop please
  • Kai Havertz again was solid
  • Ødegaard showed Enzo how to turn up when your team needs you
  • Declan Rice what a guy
  • Zinchenko is the best inverted Full Back in the world if you have a Football brain
  • David Coote, God will punish you. Amen!!

On to the next one


Let me know your thoughts gooners
 
@FabrizioRomano -

"Al Ittihad representatives are in London to try to convince the player & club, but my source told me jokingly that it would take €200M for Arsenal to sell Gabriel now. Especially now, after the Timber injury."

(Via Youtube )
youtube.com/watch?v=q2dxJZ…
Hawa waarabu washenzi sana....hawamuoni Magwaya yupo sokoni.mpk wamfate super defender wetu....
 
Thomas Partey's game y numbers v Crystal Palace:

100% groud duels won
100% aerial duels won
100% take-ons completed
100% tackle success
100% crossing accuracy
4/6 long balls
7 duels won
2 crosses
6 ball recoveries
3 tackles
1 clearance
72 touches
89% pass accuracy
7 passes into the final 3rd
2 shots
1 chance created
2 fouls won




Octopus partey
IMG-20230822-WA0006.jpg
 
My Full Time thoughts:

  • Saliba is 1 of 1 Rolls Royce, best in the world
  • Tomiyasu was poor but harsh red card
  • Partey RB gimmicks has to stop please
  • Kai Havertz again was solid
  • Ødegaard showed Enzo how to turn up when your team needs you
  • Declan Rice what a guy
  • Zinchenko is the best inverted Full Back in the world if you have a Football brain
  • David Coote, God will punish you. Amen!!

On to the next one


Let me know your thoughts gooners
Kwenye makalatasi ni left back, Ila on the pitch alikua mido ya left
Huku rice akiwa single pivot
Muda mwingi partey alikua anacheza juu kuliko rice

Hadi ilipotokea kadi nyekundu ilibidi tuwaonesha how low block formation should be implemented
 
My Full Time thoughts:

  • Saliba is 1 of 1 Rolls Royce, best in the world
  • Tomiyasu was poor but harsh red card
  • Partey RB gimmicks has to stop please
  • Kai Havertz again was solid
  • Ødegaard showed Enzo how to turn up when your team needs you
  • Declan Rice what a guy
  • Zinchenko is the best inverted Full Back in the world if you have a Football brain
  • David Coote, God will punish you. Amen!!

On to the next one


Let me know your thoughts gooners
Sub ya zinchenko na Kiwior ilirudisha possession, kupunguza pressing Arteta alione hapa niweke viungo na mabeki
Alafu mmoja awe amaotea Kule mbele ambae ni Kai

Joginho, rice, partey, Kai

Wengine wote walikua back line

Mipira yote iliyopigwa kwa Kai alikua anaituliza, then anaachia moja timu inasogea

Game ilikua tough baada ya ile red card, credit to players they know how to defend as unit
 
Sub ya zinchenko na Kiwior ilirudisha possession, kupunguza pressing Arteta alione hapa niweke viungo na mabeki
Alafu mmoja awe amaotea Kule mbele ambae ni Kai

Joginho, rice, partey, Kai

Wengine wote walikua back line

Mipira yote iliyopigwa kwa Kai alikua anaituliza, then anaachia moja timu inasogea

Game ilikua tough baada ya ile red card, credit to players they know how to defend as unit
Umemaliza Kila kitu mkuu😀😀😀
 
Endelea kuota😅😅😅😅...ni wpi kwny mechi alitakiwa kutoa assist akashindwa kutoa leo😅😅😅
Yule ni mzigo tutakuja elewana tu December. Last year nilieleza humu depth itatuua nikatukanwa weeh ila alipoumia Saliba wote tukaanza lia lia humu.

Subiri tu by January Havertz atakua anatafutiwa timu ya kwenda mkopo.
 
Thomas Partey's game y numbers v Crystal Palace:

100% groud duels won
100% aerial duels won
100% take-ons completed
100% tackle success
100% crossing accuracy
4/6 long balls
7 duels won
2 crosses
6 ball recoveries
3 tackles
1 clearance
72 touches
89% pass accuracy
7 passes into the final 3rd
2 shots
1 chance created
2 fouls won




Octopus partey View attachment 2724895
Kuna Partey halafu Kuna rice

Mech ijayo Emirates nataka nione mziki, wa Zinny, Partey Rice na Øde
 
My compliment zinaenda kwa saka na martinel
Bado sijawaona katika ile peak level yao

Bado wanapata shida kwenye hizi One against one, ambazo tunatumia kuwaadhibu opponent wetu
Au game ya Jana ilikua ni ngumu?

Wings zetu ziongeze makali, at the moment ndio silaha yetu kubwa
Na hizo wings zinapata supply ya mipira muda wote

Odegard, rice, partey wote wanafanya majukumu yao kwa usahihi mkubwa

Backline yetu so far is so good, wapunguze kujisahau na errors ndogo ndogo waziondoe


Saka na martinel
Waongeze makali zaidi zaidi na zaidi

Ukiniambia waliocheza vibaya, nitawataja hao wawili
 
Arsenal hawana mpango wa kumuuza beki wao Gabriel Magalhães licha ya klabu kutoka Saudi Arabia Al Ittihad kuonesha nia kubwa ya kumsajili

Arsenal hawana hata nia ya kutaja bei kwa beki huyo . Anatatajiwa kubaki Emirates

Source : @fabriziorom
 
. Ambangile

Mechi nzuri sana imechezwa leo , timu zote mbili zimetendea haki wapenda soka wote

Arsenal bado na muundo wao ule ule wa 3-Box midfield -3 ( yani 3-2-2-3 ) White Saliba na Tomiyasu wanabaki nyuma , Partey anatoka kwenye namba 2 mpaka kwenye kiungo kuwa na Rice wakati Kai na Odegaard namba 8 wawili na utatu wa Martinelli Nketiah na Saka ...kwanini ?

1: Kwasababu Palace walikuwa wanazuia na 4-4-2 maana yake Edouard na Eze anajikuta wana press mabeki watatu wa Arsenal 3 Vs 2 na kwenye kiungo wapo wawili Lerma na Doucoure dhidi ya wanne wa Arsenal

2: Lakini walichofanikiwa Palace ni kwamba Lerma na Doucoure waligoma kuwa press Rice na Partey badala ya Edouard na Eze walishuka chini kuwazuia Partey na Rice na kuwaacha BACK 3 wa Arsenal huku Lerma na Doucoure ni kuzuia space nyuma yao dhidi ya Kai na Odegaard.

3: Suluhisho ni Arsenal ku switch mpira haraka sana kutoka upande wa Saka mpaka Martinelli na Viceversa ili kuwafanya wapate 1v1 dhidi ya fullbacks wa Palace .

Kilichowaangusha Palace ni kushambulia kwa idadi ndogo ya wachezaji kwenye penati box la Arsenal kabla ya Arsenal kuwa wachezaji 10 ( kadi nyekundu ya Tomiyasu ) , walikuwa wakishambulia kwa 4-2-3-1 krosi zote za Ayew zilikuwa hazina wamaliziaji ni Edouard pekee ndio yupo ndani ya Box badala ya Eze , Schlupp na kiungo mmoja baina ya ( Lerma na Doucoure ) kuongezeka kushambulia

Baada ya kadi nyekundu kwa Arsenal , vijana wa Arteta waliamua kulinda walichonacho na walizuia vizuri sana kulingana na kile ambacho Palace walichokuwa wanauwauliza .

NOTE

1: Doucoure najua kwanini Liverpool wanamtaka , kiungo mzuri wa ulinzi

2: Saliba ni kitasa aisee, kasi nguvu uwezo wa kusoma mchezo mtulivu akiwa na mali mguuni . Mara moja alifanya kosa na akasawazisha mwenyewe

3: Nketiah hajafunga goli lakini kazi zingine zote kafanya vizuri sana hasa kushuka kwenye namba 10 , touch and turn

4: Declan Rice ... a very good game kacheza

5: Eberechi Eze , hana muda mrefu ndani ya Palace huyu

FT: Palace 0-1 Arsenal
 
Back
Top Bottom