HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
Huyu jamaa Rasmus si anaruhusiwa kucheza dk 15 tu Kwa mechi sita? Ataweza pressing na overload zetu huyu? Acha masiharaJipeni moyo tu lakini mashabiki wote wa Arsenyo nafsi zao zinajua kabisa hio 3Sept lazima watarowekwa, halafu mbaya zaidi mnyama Rasmus Højlund ndio itakua mechi yake ya kwanza, unaambiwa tokea ametua Utd yeye anapiga mazoezi yake maalumu ya hatrick kwa ajili ya Arsenyo.
Siwatishi ila ni muhumu kuambiana ukweli ili baadae tusije tukalaumiana. View attachment 2725045
Expected assists - 0.23
Passes completed in opposition half - 33





️ |
Thomas Partey was exceptional against Crystal Palace last night. 