Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal itapokea takriban 10% (takriban £2m) ya mkataba Konstantinos Mavropanos kutoka Stuttgart kwenda West Ham.

AFC sasa imezalisha takriban £44m msimu huu wa joto, ikijumuisha nyongeza. Wametumia karibu £211m, ikiwa ni pamoja na nyongeza
 
Ni swala la muda tu
20230822_205451.jpg
 
Ukitaka kujua Ku press ni Sanaa kaangalie manjesta inavyopress pale mbele Rashford,Sancho na masebene halafu kaangalie Kai anavyo press ,utajua kupress kwa akili ni Sanaa na inafundishwa na sio kila mchezaji anajua kupress

Then utagundua Kuna tofauti Kati ya kufanya press na ku chase ball



View attachment 2725525
Ulinichekesha Sana ulipowaambia nyumbu kuwa pass zinafundishwa sio kujipigia

Pressing za kwenye njia lazima ufundishwe, kitu ambacho itawachukua muda mwingi nyumbu kukuelewa
 
Arsenal wamesema hauzwi na wamegoma kutaja Bei

Kwasasa ngumu kupata LCB quality , alikuwa Larpote ,Lakini city wamesema hawawezi Tena kufanya biashara na Arsenal View attachment 2725418
Arsenal ni tawi dogo la Real madrid... mbona tuliwapa odegard kwa upendeleo now he is star boy

Afu gabriel sio must ni vile option bora iliyopo sokoni ndio huyo due to the militao circumtance... unadhani madrid wakiamua jambo lao kuna mwana arsenal wakuzuia
its just a matter of time

afu madrid their main target ni huyo saka watamuiba ipo siku
yupogo kwenye radar ya wana los blancos mda mrefu
 
Ulinichekesha Sana ulipowaambia nyumbu kuwa pass zinafundishwa sio kujipigia

Pressing za kwenye njia lazima ufundishwe, kitu ambacho itawachukua muda mwingi nyumbu kukuelewa
Pass ni basic ,lakin zinafundishwa kabisa jinsi ya kuzipiga

Ukiwaambia kina flano wanaona uongo maana wao wamezoea kuona pass inapigwa moja kwa Bruno Rashford wanapata Goli, safari hii Rashford karudi default settings,
 
Arsenal ni tawi dogo la Real madrid... mbona tuliwapa odegard kwa upendeleo now he is star boy

Afu gabriel sio must ni vile option bora iliyopo sokoni ndio huyo due to the militao circumtance... unadhani madrid wakiamua jambo lao kuna mwana arsenal wakuzuia
its just a matter of time

afu madrid their main target ni huyo saka watamuiba ipo siku
yupogo kwenye radar ya wana los blancos mda mrefu
Madrid siku hizi kwenye usajili mchumba tu, Madrid alikuwa zaman, mastaa wote wanabeba

Leo Madrid anamshindwa mbappe anamvizia free agent ,zaman angeshavunja Benki anambeba

Now days Kuna watu wanamwaga pesa huyo Madrid anakodoa macho tu
 
Pass ni basic ,lakin zinafundishwa kabisa jinsi ya kuzipiga

Ukiwaambia kina flano wanaona uongo maana wao wamezoea kuona pass inapigwa moja kwa Bruno Rashford wanapata Goli, safari hii Rashford karudi default settings,
😅😅😅....wao wanachoelewa ni mpira unatoka kwa Martinez kwenda kwa Bruno...msela anamcheki Rashford Yuko wpi anapiga ndefu😅😅😅....Sasa safari hii hakuna mafala wa kiwafanyia hvyo.....wanamaliza wa 12 mwaka huu hawa
 
Mchezaji yyte wa arsenal ni sellable...cha msingi njoo na hela inayotakiwa utauziwa😅😅😅...Saka njoo na £ 300 million....chap unamchukua bila tatizo
Madrid siku hizi kwenye usajili mchumba tu, Madrid alikuwa zaman, mastaa wote wanabeba

Leo Madrid anamshindwa mbappe anamvizia free agent ,zaman angeshavunja Benki anambeba

Now days Kuna watu wanamwaga pesa huyo Madrid anakodoa macho tu
 
Arsenal ni tawi dogo la Real madrid... mbona tuliwapa odegard kwa upendeleo now he is star boy

Afu gabriel sio must ni vile option bora iliyopo sokoni ndio huyo due to the militao circumtance... unadhani madrid wakiamua jambo lao kuna mwana arsenal wakuzuia
its just a matter of time

afu madrid their main target ni huyo saka watamuiba ipo siku
yupogo kwenye radar ya wana los blancos mda mrefu
Madrid wakiamua jambo lao?

Jambo la Mbappe vipi?
 
Madrid siku hizi kwenye usajili mchumba tu, Madrid alikuwa zaman, mastaa wote wanabeba

Leo Madrid anamshindwa mbappe anamvizia free agent ,zaman angeshavunja Benki anambeba

Now days Kuna watu wanamwaga pesa huyo Madrid anakodoa macho tu
papa perrez ndie fundi wa usajili na umafia wa mpira wa miguu
just wait and see as real madrid are preparing to launch a closing deadline offer to psg thats around 130m and not much of 175m plus bonuses....as from what psg are expexting madrid to pay them 250 for mbappe

madrid are in the lane of pulling a finally day deadline offer send it to psg as they cant offer as much to a player with 1 year left in contract ...this time will be different compare to their 280m bid back in 2020/21

As the current dispute situation between mbappe and board party have been resolved and their lookin forwad to sell him to a higher bidder for them to make profit they espect madrid to come with a massive offer in which its delusional not happening ...madrid would rather wait for him and get him for free next year than paying a riduclous 250m amount

Rumors zinasema chelsea are preparing a hijack dead of mbappe with a bid worth 300m
 
Madrid wakiamua jambo lao?

Jambo la Mbappe vipi?
mtu kabakiza 1 year on his contract mnategemea madrid wa lipe hio 250m wanayoitka psg huo si ukichaa

Psg wanadhania Madrid watatuma dau linalofanania na lile walilolituma 2020 la 280m ahhh subutu ambapo mbappe mwenyew alimpigia simu perrez na kugoma kuondoka

Madrid watatuma thier finall offer to psg days before window close itakuwa ni TAKE it or LEAVE it

Hutaki 130-170m plus bonas tunambeba mwakani bure na hio offer ni ki sportsmanship yani ku pay respect kwa psg maana kama ingekuwa ni umafia perrez asinge thubutu kutoa dau
 
mtu kabakiza 1 year on his contract mnategemea madrid wa lipe hio 250m wanayoitka psg huo si ukichaa

Psg wanadhania Madrid watatuma dau linalofanania na lile walilolituma 2020 la 280m ahhh subutu ambapo mbappe mwenyew alimpigia simu perrez na kugoma kuondoka

Madrid watatuma thier finall offer to psg days before window close itakuwa ni TAKE it or LEAVE it

Hutaki 130-170m plus bonas tunambeba mwakani bure na hio offer ni ki sportsmanship yani ku pay respect kwa psg maana kama ingekuwa ni umafia perrez asinge thubutu kutoa dau
Una uhakika na hiki ulichoandika?
 
Kevin Campbell anaamini kuwa baadhi ya watu wana ajenda mbaya dhidi ya mshambuliaji wa #Arsenal Eddie Nketiah:

"Eddie alifanya kazi kwa bidii dhidi ya Palace, alifanya vizuri sana kama mshambuliaji anayeunganisha mchezo huo.

"Yeyote anayecheza na Eddie hivi sasa lazima awe na ajenda. Sehemu ya kazi yako kama mshambuliaji ni kufunga mabao, kwa hivyo utakosa baadhi.

"Watu wengi hawapendi kumuona Eddie Nketiah pale mbele , hao ndio watu ambao wana shida.

Sina shida, nilidhani alicheza vizuri.

Kuna mtu alisema hapo awali ‘unawezaje kusema Eddie alicheza vizuri ikiwa alipoteza nafasi tatu?’

Kwani huwezi kucheza vizuri na kukosa nafasi tatu?
Ni mawazo ya kijinga kabisa.

"Watu wanataka tu kumuandama Eddie, lakini Eddie alifanya vyema leo ninavyoona mimi, ndio ni backup yetu, lakini amecheza mechi mbili na tumeshinda zote."View attachment 2725546
Huyu jamaa kumbe ni Arsenal fan? Mbona alikuwa akitukaziaga sana?
 
Saka
Arsenal ni tawi dogo la Real madrid... mbona tuliwapa odegard kwa upendeleo now he is star boy

Afu gabriel sio must ni vile option bora iliyopo sokoni ndio huyo due to the militao circumtance... unadhani madrid wakiamua jambo lao kuna mwana arsenal wakuzuia
its just a matter of time

afu madrid their main target ni huyo saka watamuiba ipo siku
yupogo kwenye radar ya wana los blancos mda mrefu
Saka akija Madrid nitafurahi sana ila Kwa sasa acha atupe makombe Arsenal
 
Saka

Saka akija Madrid nitafurahi sana ila Kwa sasa acha atupe makombe Arsenal
Hawezi kataa ni vile madrid bado wana option nyingine za kuziba zaidi ya RW pale madrid wana rodrgo anatosha kwa muda huu.
hio sehemu ya RW 2024/26 hapo saka ata dondokea
los blancos
 
Rumors tu

nipe hio source ya hio information
Kylian Mbappé is happy in Paris and is yet to have reached an agreement with Madrid. Extending his contract is a possible option, and he could even stay longer than the current season. @le_Parisien
 
Back
Top Bottom