Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Umeanza vizuriii, halafu ukamaliza na ujinga. Eti Manyumbu wachukue points 6 kwetu? Hata moja mkipata mkatambike milimani na baharini
Tarehe 3 sio mbali mkuu tuombe uzima tu, pona yenu ni mbeleko toka kwa marefa kama walivyo wabeba jana dhidi ya Palace.
Arsenyani hata akiwa mzuri kiasi gani ila akikutana na Man Utd anatetemeka, sijui ni ule uwoga wa kucheza na timu kubwa zaidi duniani.
Kikubwa hio 3Sept tutawapelekea moto mpaka mpate watoto.
Screenshot_20230419_121151.jpg
 
Hujui mpira ,aliyekaa na mpira muda mrefu ni Kai
Mkuu huwa huangalii uchambuzi au?
Kai amekaa na mpira 8.4 seconds
Tomiyasu kakaa na mpira 8.8 seconds

Waliweka wazi jana ile ile baada ya mechi.

Ingawa 0-10 seconds zinahesabiwa ni mda wa kawaida. Ila jumla ilikua 17 seconds na wa mwisho ndo kimemfia.
 
Tarehe 3 sio mbali mkuu tuombe uzima tu, pona yenu ni mbeleko toka kwa marefa kama walivyo wabeba jana dhidi ya Palace.
Arsenyani hata akiwa mzuri kiasi gani ila akikutana na Man Utd anatetemeka, sijui ni ule uwoga wa kucheza na timu kubwa zaidi duniani.
Kikubwa hio 3Sept tutawapelekea moto mpaka mpate watoto. View attachment 2725010
Mkipata hata point moja kwetu msimu huu niulizwe Mimi😅😅😅...na watu wetu ndo wanarudi Sasa....jana Georginho masta...Kiwior na Zinchenko kuna kipindi zilipigwa pasi pale kati hdi Palace wakawa wanajiuliza wanakosea wpi 😅😅😅...Kiboko yenu Zinchenko karudi....maji mtaita mma na ile midfield yenu siku hyo....tukicheza na nyny hatuweki kipa....ni mabeki na viungo tu....hakuna forward pia....tuoneshane makali😅😅😅😅
 
@Mkohoti na Flano hawawez kuja humu kwa fujo, flano anakuja humu sababu ni Arsenal fan aliyejikuta anashabikia nyumbu sababu alikuwa anaishi kwa shemeji yake shabiki wa manjesta,ili asimuudhi akawa anashabikia nyumbu

Ila Flano ni Arsenal mwenzetu

Hapa chin ni Flano na mkohotimView attachment 2724956
Daaahhh Masingeli nitake radhi Aiseeee
Hii picha inafurahisha na kuhuzunisha kwa wakati mmoja.
20230822_085036.jpg
 
Tarehe 3 sio mbali mkuu tuombe uzima tu, pona yenu ni mbeleko toka kwa marefa kama walivyo wabeba jana dhidi ya Palace.
Arsenyani hata akiwa mzuri kiasi gani ila akikutana na Man Utd anatetemeka, sijui ni ule uwoga wa kucheza na timu kubwa zaidi duniani.
Kikubwa hio 3Sept tutawapelekea moto mpaka mpate watoto. View attachment 2725010
Karibuni sana Emirates nyie nyumbu. Sisi tukiwasamehe saaanaaa 2-0. Ila mkituletea ujuaji mtakula kichapo Livakuku mtawakumbuka
 
Namuona na mkohoti hapo
Hawa wahuni itakua kuna sehemu wamepiga tukio halafu wakadakwa na raia wenye hasira kali, hapo adhabu ya kwanza naona wapewa ya kupigana makonzi wenyewe kwa wenyewe, kwa height ya huyo jamaa wa Chelsea ni advantage kubwa sana kwake ndio maana anachekelea kabisa pasi na kujua adhabu itakayofata ni ipi
 
Wanaosubiri Kai kukaa bench watasubiri Sana

Arsenal tulikuwa tunakosa mtu anayewin duels na Athleticism

Duels-kai
Athletism-Rice


Kai Havertz stats vs Palace:

24/27 Passes
2 Chances created
90% Pass accuracy
39 Touches
4 Passes into Final third
3 Recoveries

MOST DUELS WON for the second game in a row.

People watch him and just because he doesn’t score or assist they don’t rate him and think he is a liability.
 
Mkuu kauli mbiu ni ileile....Kila mtu abaki kwny matatizo yake...yle jamaa wa Nyukesto naona yupo kimya sana🤣🤣🤣....jana itakuwa alikuwa anaangalia mpira akiomba litutokee baya lolote aje kututolea mbovu humu....In short msimu huu maadui wameongezeka zaidi🤣🤣🤣...Wa Man u...wa Chesiiiiii....wa Liverkuku...wa Man shitty...wa Nyukesto yaani wanaomba tembo asipande juu ya mti tena
Yule wa Nyukesto achana naye mnafiki mkubwa yule. Mimi nampotezeaga tu tangu day one alipotangaza kuacha kushabikia Arsenal mwisho wa msimu baada ya kukosa ubingwa. Mtu umamsoma unajua kabisa maneno ya shabiki wa Arsenal aliyeumia moyo tu, hakuna lingine. Anaponda huku lakini Tukishinda anafurahi ila anakausha. Kwa sasa Yuko zake kajibanza mahali anasherekea ushindi wetu
 
Chelsea wataleta £50m tuwe na subira



Chelsea have sounded out Folarin Balogun in a bid to boost their attack before deadline day.

Balogun is open to leaving the Emirates Stadium for Chelsea.

Arsenal are aware of Chelsea’s interest and want around £50million for their striker, who is out of contract in June 2025.

(@NizaarKinsella / @sr_collings )
 
Ila asenali suala la kurusha mpira linaanza kuwa tatizo tena. Ni kama Wanaotakiwa kurushiwa wanakuwa wanajikabisha kwa maadui kimtindo😆

Kai sio mchezaji anayeonakana vizuri uwanjani labda anaonekana vizuri kwenye takwimu tu.

Na arteta kajiwekea kitanzi mwenyewe kwenye kumsajili kai kwa pesa ndefu,ni ngumu kwake kumuweka benchi,bodi itamhoji.

Ila kuna baadhi ya mechi itakuja kumgharimu sana,kwa sababu kai kwa sasa anakupa vitu vingi ambavyo ni nusu nusu kulingana na mfumo na kuna mechi unahitaji kitu kamili kutoka kwake au wachezaji wawili waliokaribu nae.

Arteta anajitahidi kuunda timu yake mdogo mdogo ila kwakuwa timu inauhitaji wa magoli na wafungaji wengi ni kuanzia eneo la kiungo kai atapata lawama nyingi za kuchelewesha pasi/kukosa goli (ufanisi wake ni wakawaida kwenye maeneo hayo).

Kai anakasumba ya kuchelewa kuamua nini cha kufanya akiwa na mpira na kwa mfumo wa arteta ukiwa ni mchezaji wa hivyo utakuwa unapishana na mashabiki.

Odegaard/Rice/Partey akikosa goli sio lawama sana ila kai akikosa sasa😆😆😆😆 itabidi avumilie kejeli😆😆😆
 
Karibuni sana Emirates nyie nyumbu. Sisi tukiwasamehe saaanaaa 2-0. Ila mkituletea ujuaji mtakula kichapo Livakuku mtawakumbuka
Jipeni moyo tu lakini mashabiki wote wa Arsenyo nafsi zao zinajua kabisa hio 3Sept lazima watarowekwa, halafu mbaya zaidi mnyama Rasmus Højlund ndio itakua mechi yake ya kwanza, unaambiwa tokea ametua Utd yeye anapiga mazoezi yake maalumu ya hatrick kwa ajili ya Arsenyo.
Siwatishi ila ni muhumu kuambiana ukweli ili baadae tusije tukalaumiana.
1692695542438.jpg
 
Kwa Takwimu hizi , Kai kukaa nje mtasubiri sana, EPL Kuna mechi Kama huwezi kuwin Aerial duels, Ground duels hutoboi



️ | Kai Havertz won more duels than any other player during Arsenal’s opening two League fixtures.

Nottingham Forest (8)
Crystal Palace (8)

That added element of physicality is just what Arteta wanted in midfield. #AFC
Ili watu wamuelewe kai,waache kumtazama wanavyotaka awe wamtazame anachofanya sasa hivi
 
FabrizioRomano kuhusu Balogun -


"Nadhani sasa amekuwa akihusishwa na klabu zote kubwa za Ulaya.


Baadhi ya mashabiki wameniuliza kuhusu stori zinazohusu Chelsea na Tottenham, lakini ukweli ni kwamba, ndiyo, anathaminiwa sana na vilabu kadhaa, lakini nia kubwa zaidi sasa ni AS Monaco, na bado wanavutiwa - natarajia ofa mpya kwa Balogun hivi karibuni."


(kupitia @caughtoffside substack)
 
Ila asenali suala la kurusha mpira linaanza kuwa tatizo tena. Ni kama Wanaotakiwa kurushiwa wanakuwa wanajikabisha kwa maadui kimtindo

Kai sio mchezaji anayeonakana vizuri uwanjani labda anaonekana vizuri kwenye takwimu tu.

Na arteta kajiwekea kitanzi mwenyewe kwenye kumsajili kai kwa pesa ndefu,ni ngumu kwake kumuweka benchi,bodi itamhoji.

Ila kuna baadhi ya mechi itakuja kumgharimu sana,kwa sababu kai kwa sasa anakupa vitu vingi ambavyo ni nusu nusu kulingana na mfumo na kuna mechi unahitaji kitu kamili kutoka kwake au wachezaji wawili waliokaribu nae.

Arteta anajitahidi kuunda timu yake mdogo mdogo ila kwakuwa timu inauhitaji wa magoli na wafungaji wengi ni kuanzia eneo la kiungo kai atapata lawama nyingi za kuchelewesha pasi/kukosa goli (ufanisi wake ni wakawaida kwenye maeneo hayo).

Kai anakasumba ya kuchelewa kuamua nini cha kufanya akiwa na mpira na kwa mfumo wa arteta ukiwa ni mchezaji wa hivyo utakuwa unapishana na mashabiki.

Odegaard/Rice/Partey akikosa goli sio lawama sana ila kai akikosa sasa itabidi avumilie kejeli
Subiri Masingeli aje kukupinga na takwimu zake uchwara, wewe sasa ndio umemuelezea Kai kiusahihi pasi na kumpunja wala kumpaka poda.
Tatizo la Masingile ana ushawishi wa kuwaaminisha watu nyeusi kua ni nyekundu na watu wakamuamini.
Kai ni mchezaji wa kukufurahisha game moja na kukukera game 6.
 
Ili watu wamuelewe kai,waache kumtazama wanavyotaka awe wamtazame anachofanya sasa hivi
Arteta alisema timu yetu kwenye kiungo inakosa Physicality na Athletism

Sikuwahi elewa anamaanisha Nini ,akasema Kuna mechi EPL Kama hutaweza kushinda Aerial duels na Ground duels , ni ngumu kupata matokeo


Wakati anamsajili Rice akasema ni kwa sababu ataongeza Athletism , mfano tukauona mech Vs City ,Rice anatoka mbali anaenda anachukua mpira kwa mchezaji wa city aliyekuwa anaenda kutoa killer pass

Ukiangalia Kuna mechi mfano vs Everton tulipigwa 1-0 sababu tulizidiwa Aerial duels ,jamaa walikuwa ni long balls tu ,huu ulikuwa ugonjwa wetu
 
Subiri Masingeli aje kukupinga na takwimu zake uchwara, wewe sasa ndio umemuelezea Kai kiusahihi pasi na kumpunja wala kumpaka poda.
Tatizo la Masingile ana ushawishi wa kuwaaminisha watu nyeusi kua ni nyekundu na watu wakamuamini.
Kai ni mchezaji wa kukufurahisha game moja na kukukera game 6.
Huwez kuona ubora wa Kai ikiwa manjesta mnabutuabutua ,utajuje roles za wachezaji

Pale manjesta mmezoea pass moja kwa Bruno ,amtafute Rashford

Safari hii Rashford karudi default settings
 
Huwez kuona ubora wa Kai ikiwa manjesta mnabutuabutua ,utajuje roles za wachezaji

Pale manjesta mmezoea pass moja kwa Bruno ,amtafute Rashford

Safari hii Rashford karudi default settings
sawa lakini kwa Kai ni sawa na kuupaka rangi upepo.
 
Back
Top Bottom