Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wasaudia badala wakamchukue Salah wanahangaika na Arsenal

Pumbaff

Arsenal rejected €30/35m approaches from clubs in Saudi Arabia for Thomas Partey this summer. [@FabrizioRomano] #afc
Kama midifilda kasamiro alichukuliwa kwa 70 na tyri ni mzee na sisi tunataka hiyo walau tuanze mazungumzo nao😅😅
 
Na niliona kuna kimtandao cha Uturuki huko wamejipaisha eti tumepanga kuwauzia Besiktas Partey kwa £12 million nikacheka sana😅😅😅
Kama midifilda kasamiro alichukuliwa kwa 70 na tyri ni mzee na sisi tunataka hiyo walau tuanze mazungumzo nao😅😅
 
Yule mpiga kelele wa Newcastle ambae hua anashinda kwenye jukwaa la Arsenal aje achambue timu yake inapigiwa mpira uku na City
Kwa mpira uliopigwa jana pale Ittihad bado nawapongeza sana Newcastle kwa namna walivyosimama na City nyumbani kwao.
Dakika ya 65-80 City walipelekewa Moto wa hatari ile utatoa au hautoi ila ndio hivyo tu bahati haikua kwao, ilifikia kipindi possession New 82% - City 18%
na pia kwa uimara wa City sio Newcastle tu hakuna timu yoyote kwa sasa duniani inatamani kukutana na Pep.
Kwa mpira wa jana Newcastle kufungwa goli 1 tu mimi naona ni mafanikio makubwa sana kwao, baada ya misimu miwili wanaweza kumchallenge Guardiola.
Pira lile pale Ittihad angekua ni Nyumbu, Arsenyeto, Liverkende au Chelkenge wangekula goli zisizopungua 3.
1692517213658.jpg
 
Kwa mpira uliopigwa jana pale Ittihad bado nawapongeza sana Newcastle kwa namna walivyosimama na City nyumbani kwao.
Dakika ya 65-80 City walipelekewa Moto wa hatari ile utatoa au hautoi ila ndio hivyo tu bahati haikua kwao, ilifikia kipindi possession New 82% - City 18%
na pia kwa uimara wa City sio Newcastle tu hakuna timu yoyote kwa sasa duniani inatamani kukutana na Pep.
Kwa mpira wa jana Newcastle kufungwa goli 1 tu mimi naona ni mafanikio makubwa sana kwao, baada ya misimu miwili wanaweza kumchallenge Guardiola.
Pira lile pale Ittihad angekua ni Nyumbu, Arsenyeto, Liverkende au Chelkenge wangekula goli zisizopungua 3.View attachment 2722591
Mechi ya marudiano pale St James Park watakula 3 vijana wale...bdo watoto wadogo sana wale...wamepumzika wiki nzima wenzao hawakupata mda wa ku relax na bdo wametwangwa....Nyukesto hata nyumbu atajipigia...hawana hyo mentality bdo
 
Mechi ya marudiano pale St James Park watakula 3 vijana wale...bdo watoto wadogo sana wale...wamepumzika wiki nzima wenzao hawakupata mda wa ku relax na bdo wametwangwa....Nyukesto hata nyumbu atajipigia...hawana hyo mentality bdo
Thubutuuu pale St, James Park City akijitahidi sana ni draw, ila hizi kenge nyingine zote nilizozitaja msimu huu kwa hawa vijana wa Eddie Howe wanapigwa nje ndani.
 
Hawqna huo ubavu...narudia tena...Hawana...ni wakimbiaji kama nyny tu wale...walichowazidi ni kwmba wao confidence Yao ipo juu tu....ila kwnda toe to toe na watu wazima bdo sana...arsenal... Chelsea...hata Brighton na Liverpool hatabeba point kwa hzo timu ..unabisha tupo hapa
Thubutuuu pale St, James Park City akijitahidi sana ni draw, ila hizi kenge nyingine zote nilizozitaja msimu huu kwa hawa vijana wa Eddie Howe wanapigwa nje ndani.
 
Hawqna huo ubavu...narudia tena...Hawana...ni wakimbiaji kama nyny tu wale...walichowazidi ni kwmba wao confidence Yao ipo juu tu....ila kwnda toe to toe na watu wazima bdo sana...arsenal... Chelsea...hata Brighton na Liverpool hatabeba point kwa hzo timu ..unabisha tupo hapa
Tuombe uzima tu mkuu ila hawa Newcastle wako very strategically, kwenye Epl mpaka sasa hivi bado sijaona timu yoyote iliyojipanga kumnyang'anya ufalme wa Epl Pep Guardiola zaidi ya hawa vijana wa MBS.
 
Tuombe uzima tu mkuu ila hawa Newcastle wako very strategically, kwenye Epl mpaka sasa hivi bado sijaona timu yoyote iliyojipanga kumnyang'anya ufalme wa Epl Pep Guardiola zaidi ya hawa vijana wa MBS.
Sawa tutaona😅😅😅...Hawa ni version yenu ilochangamka....
 
Yaani hii takatakata iwe 150! Aisee dunia imeisha wachezaji au?
Hawa Arsenyau ni kama wamachinga tu kitu cha 5000 wanakuanzia 50,000/-
Kwenye hizo bei wanazojiropokea wala wasikuumize kichwa wewe punguza sifuri moja ndio unapata bei halisi.
 
Tuombe uzima tu mkuu ila hawa Newcastle wako very strategically, kwenye Epl mpaka sasa hivi bado sijaona timu yoyote iliyojipanga kumnyang'anya ufalme wa Epl Pep Guardiola zaidi ya hawa vijana wa MBS.
Flano vipi kuhusu manyuu kw nyukesto mtatoka?
Newcastle timu ya kawaida, ungeniambia Brighton ningeshtuka
 
Hawa Arsenyau ni kama wamachinga tu kitu cha 5000 wanakuanzia 50,000/-
Kwenye hizo bei wanazojiropokea wala wasikuumize kichwa wewe punguza sifuri moja ndio unapata bei halisi.
Njooni tuwauzie Ryan Nelson...atawasaidia kwny upande wa flanks...sio hela nyingi £ 80million tu maboss zetu😅😅😅
 
Hawa Arsenyau ni kama wamachinga tu kitu cha 5000 wanakuanzia 50,000/-
Kwenye hizo bei wanazojiropokea wala wasikuumize kichwa wewe punguza sifuri moja ndio unapata bei halisi.
Yaan mmeuziwa yule Anthony masebene kwa €100m

Masebene haingii hata kwa Trosaard au Nelson ,

Nyie endeleeni kutapeliwa
 
Hawa Arsenyau ni kama wamachinga tu kitu cha 5000 wanakuanzia 50,000/-
Kwenye hizo bei wanazojiropokea wala wasikuumize kichwa wewe punguza sifuri moja ndio unapata bei halisi.
Ww ndo inaonekana wachezaji wako hata ukiuza sh 50 hawauziki😅😅😅...In short msimu wenu ushaharibika mpk Sasa...tunasubiri siku mtakayodundwa goli 10...iwe sherehe ya kitaifa
 
Flano vipi kuhusu manyuu kw nyukesto mtatoka?
Newcastle timu ya kawaida, ungeniambia Brighton ningeshtuka
Kwa mpira upi wa Nyumbu aweze kuchomoka kwa Newcastle?
Newcastle hii ya kina Tonali nyumbu akipona sana kala goli 7.
Kwa sasa hivi nyumbu yetu ni kama Kitayose tu pale Epl.
Yote hayo mmeyasababisha nyie Chelkenge kwa kutuletea paparazi lenu Freemason Manati lije kutuvuruga pale kati.
 
Kwa mpira upi wa Nyumbu aweze kuchomoka kwa Newcastle?
Newcastle hii ya kina Tonali nyumbu akipona sana kala goli 7.
Kwa sasa hivi nyumbu yetu ni kama Kitayose tu pale Epl.
Yote hayo mmeyasababisha nyie Chelkenge kwa kutuletea paparazi lenu Freemason Manati lije kutuvuruga pale kati.
Kocha wenu ni dalali
 
Vladmir Coufal (mchezaji wa Westham)- Tumempoteza kiongozi


"Ni wazi sasa sioni jina lake [Rice] pale kwenye chumba cha kubadilishia nguo, kwa hivyo hii ni tofauti kubwa na pia tumepoteza mtu mkubwa"


"Tulimpoteza nahodha wetu lakini hayo ndiyo maisha katika soka. Kila mtu anaweza kubadilishwa na tuna wachezaji wawili wapya wa katikati [viungo] na tutaona."

"Wao (Alvarez, Ward Prowse) wanapaswa kupambana kwa sababu Declan aliweka kiwango cha juu sana, tuseme ukweli. Ni mmoja wa wachezaji bora wa safu ya ulinzi duniani sasa."

"Tumempoteza lakini hayo ndiyo maisha, anatakiwa kuhama ili kujidhihirisha kuwa anaweza kuichezea klabu kubwa kama Arsenal na pia kwa siku zijazo ni nzuri kwa maisha yake ya kimataifa."


(@mailsport)
 
Back
Top Bottom