Hao mamluki utawaona mpaka Arsenal izingueYule mpiga kelele wa Newcastle ambae hua anashinda kwenye jukwaa la Arsenal aje achambue timu yake inapigiwa mpira uku na City
Hii game Newcastle imeshamzidi nguvu, Hana madhara yoyote akiwa na mpiraHao mamluki utawaona mpaka Arsenal izingue
Newcastle naomba apate hata sare au ashinde , Newcastle Hana ubavu wa kwenda mechi 5 mfululizo bila kupoteza
Hao mamluki utawaona mpaka Arsenal izingue
Newcastle naomba apate hata sare au ashinde , Newcastle Hana ubavu wa kwenda mechi 5 mfululizo bila kupoteza
Mm sijawahi kuwahofia Newcastle,huwa nacheka Sana ,Mara Mia useme Chelsea ,Mm Niko tofauti na ww mkuu....Nyukesto adundwe tena adundwe haswa...Ili yule jamaa wa statistics uchwara aelewe kuna wakubwa af kuna watoto kama timu yake....nilimuambia level zake ni kina Brentford huko
Ila Genius Pep Kipara alimkamata Arteta last season na ubora tuliokuwa nao and today tumejionea jinsi Newcastle alivyoshikwa shati kupata on target imekuwa ni bonge la exerciseYule mpiga kelele wa Newcastle ambae hua anashinda kwenye jukwaa la Arsenal aje achambue timu yake inapigiwa mpira uku na City



Na yeye Pep kupata on target kwa Arsenal siku hizi itakuwa mtihani ,alienda dakika 60+ anaitafuta on target kwa Arsenal haipati ,unajua kwaniniIla Genius Pep Kipara alimkamata Arteta last season na ubora tuliokuwa nao and today tumejionea jinsi Newcastle alivyoshikwa shati kupata on target imekuwa ni bonge la exercise![]()
Asiharakishwe....arudi baada ya game ya UTD....Jesus ,narudi karibuni via InstagramView attachment 2722262
Kabisa , hata ya united apumzishwe, game 10 za mwanzo waliopo wanatosha kutembeza fimboAsiharakishwe....arudi baada ya game ya UTD....
Mikel Arteta kuhusu kumsajili Raya -Mikel Arteta kuhusu kumsajili Raya -
'Siyo kamari, ni jambo la lazima,'
'Hakuna njia nyingine.
Tofauti kati ya daraja la kwanza na wale unaowaita 'wachezaji wa daraja la pili' ni kubwa sana. Je, unatatuaje hilo?
Tunaweza kuleta wachezaji bora kutoka akademi lakini kwa bahati mbaya leo hatuna mtu aliye tayari kuchukua hatua hiyo.'
'Lazima tutengeneze mazingira hayo. Sio mashindano, ni kuinua kiwango na mahitaji ambayo tutakuwa tunakabiliana nayo.'
'Unapoona vikosi vingine, ambapo vina makipa wawili wazuri sana, wanatumia £60m, £80m, £85million kununua makipa.
Hiyo ina maana gani? Tunataka kufanya hivyo kwa njia yetu wenyewe na nina furaha sana na kikosi ambacho tunakijenga.'
'Tutaendelea kujenga kikosi bora. Hicho ndicho mchezo utahitaji, kile ambacho Ligi Kuu na Ligi ya Mabingwa zitahitaji. Ni rahisi sana.'
(@MailSport)View attachment 2722301
Bado had January nadhani tutakuwa na Quality karibu kila nafasi,Kwhyo kwa kifupi tu ni kwmba bdo anajenga kikosi....yaani Hawa ambao wapo bdo anaona hawatoshi na ubora unahitajika zaidi![]()