Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wenger orphans mnaongeaga utadhani timu yenu ndo Ina mbinu izo peke yake tulieni next mwezi tuwaonyeshe kuwa nyie ni wapiga porojo tu.View attachment 2716975
Katika timu siiwazii ni manjesta

Timu ambayo tukikutana inahitaji mbinu nyingi ushinde , Brighton,mancity , Chelsea Kama watampata Lavia na Caicedo Hawa wataongeze technicality pale katikati na Beki zao nzuri mguuni kiufundi ,

Lakini , manjesta, Newcastle, Astonvilla, nyie ni kuwatawala kimpira shughuli imeisha
 
Huyo source za FA wenye ligi yao hazikubali anataka source za Masebene
Hawa jamaa mbele yako hua ni weupe hawana hoja kabisa, unajua kwenda nao toe to toe mpaka wanakua wakali na kuanza kukuattack kwa maneno ya kwenye kanga.
Yaani sasa hivi kila nikiona comment yoyote ya Labyrinth 84 kwanza kabisa naanza kuLike then ndio nasoma maana najua kabisa misumari unayopigilia humu ni ya utosi sio porojo kama za kina Flano
Leo mnapigwa
 
Newcastle tupo pale juu ya mti kama nyani tu kudondoka sahau au miti imetereza tofauti na nyinyi tembo juu ya mti.

Tuseme ukweli tu hivi kwa yote yaliyotokea last season hata ukashika nafasi ya kwanza kwa muda tu una uwezo wa kujigamba au kuwa na guts za kusema utakuwa bingwa si watu watakuona chizi .
Kinachonifurahisha Newcastle United ni Team ambayo inawachezaji wengi wazuri ambao hawaimbwi sana lakini wana balaa.
Mtizame Alexander Isack, Callum Wilson, Kierphan Tripper, Nick Pope, Anthony Gordon e.t.c
Dakika zote 90 hawachoki, wanapress na kuzuia vizuri sana.
Halafu hapo kwenye midfield jinsi wanavyopishana kina Bruno, Tonali na Joelinton ni balaa kweli kweli.
Hawa Newcastle siku wakikutana na team mbovu kama Arsenyau wanaweza kuwagonga hata goli 10+ vizuri tu.
ff72addc4b5ba830bff78e1f29ceb430Y29udGVudHNlYXJjaGFwaSwxNjkxOTUxNDQx-2.73310007.jpg
 
Mkuu ukikuta source yyt imetoa takwimu mtandaon hao ni watu kama sisi naww jiongeze tumia akili yako appearance sio kipomo cha kihesabu kwa player ambae co regular ungesema minutes play.....ndo unawez pata uhalisia mzuri

ni watu kama sisi ila tofauti yao na sisi wao wameajiriwa na wanalipwa kwa kazi hiyo its mean wanafanya kila kitu kitaalamu mkuu . EPL wamewekeza muda na hela zao mpaka wanatoa takwimu kwa timu zote 20 then unataka mimi nijiongeze kweli? . Kwani hao niliowataja hapo unafikiri wote ni regular players au wachezaji wa arsenal pekee ndo huwa si regular player ila timu zingine wanacheza dakika zote.
 
Huyo source za FA wenye ligi yao hazikubali anataka source za Masebene
Hawa jamaa mbele yako hua ni weupe hawana hoja kabisa, unajua kwenda nao toe to toe mpaka wanakua wakali na kuanza kukuattack kwa maneno ya kwenye kanga.
Yaani sasa hivi kila nikiona comment yoyote ya Labyrinth 84 kwanza kabisa naanza kuLike then ndio nasoma maana najua kabisa misumari unayopigilia humu ni ya utosi sio porojo kama za kina Flano

Anakwambia takwimu zinatolewa na watu sasa unajiuliza anataka takwimu zitolewe na nan ndo azikubali , yeye anataka mpaka malaika wampe takwimu ndo azikubali ila watu hapana tena na huyo malaika lazima awe upande wa Arsenal.
 
Kinachonifurahisha Newcastle United ni Team ambayo inawachezaji wengi wazuri ambao hawaimbwi sana lakini wana balaa.
Mtizame Alexander Isack, Callum Wilson, Kierphan Tripper, Nick Pope, Anthony Gordon e.t.c
Halafu dakika zote 90 hawachoki, wanapress na kuzuia vizuri sana.
Halafu hapo kwenye midfield jinsi wanavyopishana kina Bruno, Tonali na Joelinton ni balaa kweli kweli.
Hawa Newcastle siku wakikutana na team mbovu kama Arsenyau wanaweza kuwagonga hata goli 10 vizuri tu.View attachment 2716997

Tunawasubiri kwa hamu hawa Arsenyau maana wao ndo wanajiona wana timu bora pekee yao juzi tu na forest washaanza kushikana mashati, watachezea kuni zakutosha. Kama ule msimu tuliwavua mbio za kombe lao muhimu(top 4) arteta akamshika shati tavares anamwambia hawezi kucheza UEFA anafoka mpaka sauti imeishaa cha ajabu mwanao tavares ndo akawa mchezaji pekee kucheza UEFA msimu uliofuata.

Arsenal fans wanaamini wachezaji wazuri wapo kwao tu hata ukiwa mbovu ukitua kwao tu ubovu wote unaisha au ukiondoka au kugoma kwenda arsenal basi unakuwa mbovu rasmi tumeona kwa mudryk na kwa kai yaani mudryk alibadilika ghafla akawa mbovu then kai akawa ndo mashina mzee wa Aerial duels na ku hold mipira .
 
sasa hizi takwimu ni za EPL official website au unaona kama nimejitungia mkuu, tumeamua kuwauliza wenye ligi wenyewe bado unabisha unaniletea takwimu za kwenye gahawa.
Nipe Takwimu za nketia kaanza game ngapi kati ya izo 30, na ana wastani wa kucheza dakika ngapi? Au unazani natunga tunga tu? Mbona unaleta takwimu nusu nusu maliza zote
 
Alafu huyu kenge anaejidai yy ni newcastle ni wakupuuza tu...newcastle inamashbk Tz toka lini tunamjua mzee wa msoga tu nae huwa ni mjanja mjanja tu labda uhamie mancity timu ya watoto wa 2005 hata mdogo wetu wa mwisho anaishabikia

Kwani wewe wakati una shabikia timu kigezo uliangalia Tz kuna mashabiki wangapi? Mpira ni mchezo unaonekana kwa macho nakupendeka inategemeana na macho yako yameona vipi na umefurahia vipi so unaweza kupenda timu yoyote unataka nihamie city wakati sina mapenzi nayo.

Sawa dogo lako ni 2005 lakini naona hapo dogo lako kakuzidi kila kitu tuchukue kipimo toka mwaka dogo anashabikia mpira then na mwaka wako wewe ulianza kushabikia mpira tuweke takwimu za trophies hapa tuone braza na dogo yupi ana kauli kubwa kwenye mpira yaani dogo atakuwa anajiuliza huyu bro vipi mbona ni kituko kuwa bottlers.
 
Anakwambia takwimu zinatolewa na watu sasa unajiuliza anataka takwimu zitolewe na nan ndo azikubali , yeye anataka mpaka malaika wampe takwimu ndo azikubali ila watu hapana tena na huyo malaika lazima awe upande wa Arsenal.
Nje ya takwimu zinazotolewa na Mc Masingeli hawa misukule hawataki kuzikubali humu, hapo hata uwape na link ya FA bado watu watakaza shingo.
Kua shabiki wa Arsenyau yataka uwe kama bendera, upepo utapovumia na wewe unaelekea hukohuko yaani uwe ni mtu wa kusifu tu, ukitaka kutoka nje ya box kwa kukosoa makosa yale yanayoonekana waziwazi kabisa kama anavyofanya sasa hivi Castr unaonekana ni msaliti.
Muda sio mrefu humu Mkuu Castr ataanza kupewa majina mabaya na kufanyiwa personal attacked.
 
Tunawasubiri kwa hamu hawa Arsenyau maana wao ndo wanajiona wana timu bora pekee yao juzi tu na forest washaanza kushikana mashati, watachezea kuni zakutosha. Kama ule msimu tuliwavua mbio za kombe lao muhimu(top 4) arteta akamshika shati tavares anamwambia hawezi kucheza UEFA anafoka mpaka sauti imeishaa cha ajabu mwanao tavares ndo akawa mchezaji pekee kucheza UEFA msimu uliofuata.

Arsenal fans wanaamini wachezaji wazuri wapo kwao tu hata ukiwa mbovu ukitua kwao tu ubovu wote unaisha au ukiondoka au kugoma kwenda arsenal basi unakuwa mbovu rasmi tumeona kwa mudryk na kwa kai yaani mudryk alibadilika ghafla akawa mbovu then kai akawa ndo mashina mzee wa Aerial duels na ku hold mipira .
hawa wazee pressing na overloading wao wenyewe wanajijua kua ni one season wonder.
Ile bahati waliyoipata msimu ulioisha na wakashindwa kuitumia labda wasubirie baada ya miaka 10 ndio ijirudie tena.
Msimu huu ni wa moto kwelikweli, ukiangalia hata Sajili tu zinazofanywa na mid table team tu unajua kabisa msimu huu ligi ni ya moto kwelikweli.
Ukicheki Fulham, Aston Villa, Brighton, Westham hizo sajili zao tu unajua kabisa ligi imeshabadilika, zile top 4 za kimazoea zinaenda kupotea sasa hivi.
 
Tunawasubiri kwa hamu hawa Arsenyau maana wao ndo wanajiona wana timu bora pekee yao juzi tu na forest washaanza kushikana mashati, watachezea kuni zakutosha. Kama ule msimu tuliwavua mbio za kombe lao muhimu(top 4) arteta akamshika shati tavares anamwambia hawezi kucheza UEFA anafoka mpaka sauti imeishaa cha ajabu mwanao tavares ndo akawa mchezaji pekee kucheza UEFA msimu uliofuata.

Arsenal fans wanaamini wachezaji wazuri wapo kwao tu hata ukiwa mbovu ukitua kwao tu ubovu wote unaisha au ukiondoka au kugoma kwenda arsenal basi unakuwa mbovu rasmi tumeona kwa mudryk na kwa kai yaani mudryk alibadilika ghafla akawa mbovu then kai akawa ndo mashina mzee wa Aerial duels na ku hold mipira .
Narudia tena😅😅😅....nyny level zenu ni kina Aston villa na Brentford huko...hamuwezi kupishana na sisi hata siku moja....narudia hamuwezi....siku tukikutana tutaona hyo Isack atapitia wapi 😅😅😅....sijui Miguel Almiron sijui nani....mwaka jana tumecheza mlipitia wapi...si mlikuwa mnakimbia hvhv😅😅😅....huo mpira wenu wa papatu mtawasumbua Manyumbu sio sisi😅😅😅....safari hii inabidi tuwadunde kwlikwli tusiache hata point moja kwny ndo heshima itakuwepo😅😅😅
 
Nje ya takwimu zinazotolewa na Mc Masingeli hawa misukule hawataki kuzikubali humu, hapo hata uwape na link ya FA bado watu watakaza shingo.
Kua shabiki wa Arsenyau yataka uwe kama bendera tu upepo utapovumia na wewe unaelekea hukohuko yaani uwe ni mtu wa kusifu tu, ukitaka kutoka nje ya box kwa kukosoa makosa yale yanayoonekana waziwazi kabisa kama anavyofanya sasa hivi Castr unaonekana ni msaliti.
Muda sio mrefu humu Mkuu Castr ataanza kupewa majina mabaya na kufanyiwa personal attacked.
Ww mdanganye mwenzako....leo pasheni viungo....match week 4 mje tucheze tuone hyo Hojlund anachezaje😅😅😅😅....mnadanganyana wanakimbia sana sijui nn so what....timu za kuisumbua arsenal ni Liver kwa ile pressing Yao na Man shitty kwa kuficha mpira na ununda wao wakishambuliwa😅😅😅...sio Newcastle wazee wakupoteza mda wakipelekewa moto....mtasumbuana nao nyny sio sisi hao watoto wadogo sana bdo😅😅😅
 
Nje ya takwimu zinazotolewa na Mc Masingeli hawa misukule hawataki kuzikubali humu, hapo hata uwape na link ya FA bado watu watakaza shingo.
Kua shabiki wa Arsenyau yataka uwe kama bendera tu upepo utapovumia na wewe unaelekea hukohuko yaani uwe ni mtu wa kusifu tu, ukitaka kutoka nje ya box kwa kukosoa makosa yale yanayoonekana waziwazi kabisa kama anavyofanya sasa hivi Castr unaonekana ni msaliti.
Muda sio mrefu humu Mkuu Castr ataanza kupewa majina mabaya na kufanyiwa personal attacked.
Kama yule jamaa kwenu hamumtaki kisa anachawa kuhusu sajili za mchongo za 7hag
 
3-Diamond-3 Mfumo wa Johan cryuff ndani ya Arsenal,

Swali Kubwa msimu huu itakuwa kwenye Kujiandaa Kucheza dhidi ya hii Arsenal.

Imagine Ukiwa Steve Cooper Kocha wa Nortingham Forest wakati unafanya Maandalizi ya hii Mechi.Ni Lazima umetazama angalau mechi 2 au 3 zilizopita za Arsenal

At least uweze Kupata Picha.Lakini Mechi 3 au 2 za Arsenal Inverted Full back mara nyingi alikuwa ni Jurrien Timber akitokea Kushoto Kuungana na Thomas Partey Katikati

Inverted Full back anakuwa ni Thomas Partey akitokea Kulia kuingia ndani Kuungana na Declan Rice.,Arteta alipoulizwa kwanini umemuacha Gabriel Magalhaes nje akasema ni swala la kiufundi.

Sasa hapa unamuandaa Winger wako kwaajili ya kufanya Pressing.Unafanyafanyaje?

Back 3 ya Ben White,Saliba na Timber.Kuna wakati ilikuwa Thomas Partey,Saliba na Timber.

Kuna Wakati anayepita nje ya Bukayo Saka walikuwa wanabadilishana tu kati ya Thomas Partey na Ben White . Ni Just Composition and Decomposition of Matter

Haya nambie Ukiwa Kocha unaandaje timu yako kama Maswali yenyewe Muda wote yanabadilishwa?

Kuna nyakati Hujui pia anayeshuka Kuchukua Mali kutoka kwenye No 10 .Ni Martin Odegaard au Kai HAVERTZ?

Hii 3+1+6 ni Dawa Maalumu kwa wagonjwa wote mnaopaki Bus dhidi ya Arsenal msimu huu.

Back 3, ya BEN WHITE, SALIBA na JURRIEN TIMBER

SINGLE HOLDING ni Katekista Thomas Partey akitokea Kulia kama Inverted right back

LEFT HALF SPACE,ni Declan Rice.Msimu uliopita hapa alicheza Granit Xhaka

RIGHT HALF SPACE,ni Nahodha wa Meli Martin ODEGAARD

CENTRAL HALF SPACE,ni King KAI HAVERTZ au Trosaard atacheza kama Mshambuliaji wa Pili nyuma ya Nketiah/Jesus.

LEFT WINGER,ni Gabriel Martinelli

RIGHT WINGER,ni ni Star boy BUKAYO SAKA

Then Kwenye No 9 ni EDDIE ENKETTIAH au Jesus

Unashambuliwa na watu 6 ,na Mali Ikipotea Kuna watu 5 tayari kwaajili Kuzuia.View attachment 2716750View attachment 2716751

Daaaah, this is too low for you.
Majority ya hii makala kaandika mzee wa jambia.
Badala ya kutoa hata credit, umeamua uifanye kama vile ya kwako.
Sawa unataka kutuonyesha Arsenal ilivyo bora ila hiki ulichokifanya ni plagiarism!! Vitu kama hivi vinafanywa na watu wenye uwezo mdogo wa kufikiria. Watu ambao wanategemea wenzao wafikirie kwa niaba yao.
Unless wewe ndo mzee wa Jambia, toa credit kwa kutumia andiko la mtu
 
Ww mdanganye mwenzako....leo pasheni viungo....match week 4 mje tucheze tuone hyo Hojlund anachezaje....mnadanganyana wanakimbia sana sijui nn so what....timu za kuisumbua arsenal ni Liver kwa ile pressing Yao na Man shitty kwa kuficha mpira na ununda wao wakishambuliwa...sio Newcastle wazee wakupoteza mda wakipelekewa moto....mtasumbuana nao nyny sio sisi hao watoto wadogo sana bdo
Kwa Arsenyau Man Utd hata tukiamshwa usiku wa manane tukaambiwa tuingie uwanjani kucheza na nyie wala hatuna wasiwasi.
Ila mzee baba msimu huu mtateseka sana aiseeee ile ngekewa ya msimu uliyoisha haiwezi kujirudia tena msimu huu, mkijitajidi sana ni Ueropa ila mna dalili zote za kwenda conference.
 
Narudia tena....nyny level zenu ni kina Aston villa na Brentford huko...hamuwezi kupishana na sisi hata siku moja....narudia hamuwezi....siku tukikutana tutaona hyo Isack atapitia wapi ....sijui Miguel Almiron sijui nani....mwaka jana tumecheza mlipitia wapi...si mlikuwa mnakimbia hvhv....huo mpira wenu wa papatu mtawasumbua Manyumbu sio sisi....safari hii inabidi tuwadunde kwlikwli tusiache hata point moja kwny ndo heshima itakuwepo
Subiri uone City atakavyo chapika wiki ijayo ndio atajua mwana mfalme Mohammad bin Salman hajanunua timu ili ishiriki tu kwenye ligi.
Naitabiria Newcastle itakuchukua makombe makubwa ya Epl na Uefa kabla ya Arsenyau.
 
Daaaah, this is too low for you.
Majority ya hii makala kaandika mzee wa jambia.
Badala ya kutoa hata credit, umeamua uifanye kama vile ya kwako.
Sawa unataka kutuonyesha Arsenal ilivyo bora ila hiki ulichokifanya ni plagiarism!! Vitu kama hivi vinafanywa na watu wenye uwezo mdogo wa kufikiria. Watu ambao wanategemea wenzao wafikirie kwa niaba yao.
Unless wewe ndo mzee wa Jambia, toa credit kwa kutumia andiko la mtu
Wewe kweli maisha magumu, hujui mm ndiye mzee wa jambia
 
ile xyz nahisi kabisa ni akaunti yako masingeli maana sio kwa kutusumbua kule Aiseeee.
Yule mwamba ni manjesta kitambo kabla hata wewe hujaijua Jf ,yupo toka Enzi za Ferguson humu Jf

Anachosema kuhusu 7hag yupo sahihi
 
Subiri uone City atakavyo chapika wiki ijayo ndio atajua mwana mfalme Mohammad bin Salman hajanunua timu ili ishiriki tu kwenye ligi.
Naitabiria Newcastle itakuchukua makombe makubwa ya Epl na Uefa kabla ya Arsenyau.
Huyo Newcastle atawafunga timu mbovu Kama manjesta

Kwa Arsenal hii mwaka huu Hakuna kupoteza muda marefa wanaongeza had dakika 10

Muulize shoga enu mama city
 
Back
Top Bottom