Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

N
A very big misconception mbona alifeli kwa Willian, Tavares na Lokonga?. Kila mwenye akili anajua Harvetz ni ozil wa kichina!!!na Bora ozil alikua creative na accurate ila huyu ni mzigo na hawezi kufunga!!

Huyu anaweza kuwa anguko la Arteta kama ataendelea kumkumbatia, ESR na Trossard are far better kuliko huyu ngongoti.
Ni dhambi kubwa mnoo kumfananisha fundi ozil na huyu kai, ana safari ndefu kufika kwa mesut, jana namuona hata kuuficha mpira kwake ni kazi.
 
Sawa tunawasubiri mkuu...tunawasubiri kwa hamu sana na kina Almiron mje mtupelekeshe

Newcastle tupo pale juu ya mti kama nyani tu kudondoka sahau au miti imetereza tofauti na nyinyi tembo juu ya mti.

Tuseme ukweli tu hivi kwa yote yaliyotokea last season hata ukashika nafasi ya kwanza kwa muda tu una uwezo wa kujigamba au kuwa na guts za kusema utakuwa bingwa si watu watakuona chizi .
 
Hao hao ndio wakwanza kusema kocha Hana plan B

Timu zinazokaa nyuma kina manjesta,forest ,n.k walishatujulia kwenye 4-3-3

Forest walikuwa wanapaki Basi na watu 5 tukicheza 4-3-3 tunashindwa kuwafungua

Jana Kocha katumia 3-diamond-3 yenye attackers 6

MTU anakwambia huo mfumo mbaya sababu tulipigwa kaunta moja

Ni mfumo gani ambao haujawahi kupigwa kaunta
Hivi tulitengeneza clear chances ngapi?
 
Mkuu si tumekubaliana tutakutana halafu tuone huo mpira wenu au kuna lingine labda😅😅😅...mbona unajitutumua sana kurap...tutakutana then tutacheza halafu tuone...mbona rahisi tu😅😅😅
Newcastle tupo pale juu ya mti kama nyani tu kudondoka sahau au miti imetereza tofauti na nyinyi tembo juu ya mti.

Tuseme ukweli tu hivi kwa yote yaliyotokea last season hata ukashika nafasi ya kwanza kwa muda tu una uwezo wa kujigamba au kuwa na guts za kusema utakuwa bingwa si watu watakuona chizi .
tum
 
Nyie Newcastle mna makombe mangapi ya ligi😅😅😅....sisi 20 years hatuna kombe la ligi...nyny mabingwa wa lini😅😅😅
Hawa nawamudu vizuriii tu , wanadhani tukiwaambia ukweli tunawachukia kumbe chuki zitoke wapi 20 years 0 epl si kuwachukia itakuwa uchawi.
 
Kiukweli mi naona unazunguka kwakua swali langu ni jepesi wewe unafosi kulitolea stori
Kuzunguka kvp😅😅😅....unataka nikujibu vp labda😅😅😅...nimekujibu na mifano nimekutolea....au unataka tuchezaje mkuu...sema ww basi 😅😅😅
 
Msimu uliopita stats ni hizi
Odergard Apps 37 Goals 15
Martineli Apps 36 Goals 15
Saka Apps 38 Goals 14
Jesus Apps 26 Goals 11
Trossard Apps 36 Goals 8
Nkentiah Apps 30 Goals 4

Newcastle stats zao ni hizi
Wilson Apps 31 Goals 18
Almron Apps 34 Goals 11
Barnes Apps 34 Goals 13
Isak. Apps 22 Goals 10
Joelinton Apps 32 Goals 6

Hapo barnes alikua yupo relegated team Leicester na bado he was . Hizo ndo takwimu official sasa wewe sijui unaongea nini hapo kwenye game time.

NB: ikumbukwe hapo arsenal mlikua ni overachiever mmeruka mpaka phase mnajiona mpo phase 3 mbele
Huyu anaumwa Nketia kaanza game 9 na goal 4. Uyu nkentia akipewa game time ya kutosha hakuna striker wa kumfikia goal pale kwenu msimu ulioisha alikua na wastan wa kucheza dakika 37 tu.
 
Saka:

“I’m really looking forward to the season. I think last year we showed everyone the level we can get to, and now people expect that level and more, so we’re ready to give our best."

More from Saka below!

@StuartLeonAFC | #Arsenal #AFC
 
Msimu uliopita stats ni hizi
Odergard Apps 37 Goals 15
Martineli Apps 36 Goals 15
Saka Apps 38 Goals 14
Jesus Apps 26 Goals 11
Trossard Apps 36 Goals 8
Nkentiah Apps 30 Goals 4

Newcastle stats zao ni hizi
Wilson Apps 31 Goals 18
Almron Apps 34 Goals 11
Barnes Apps 34 Goals 13
Isak. Apps 22 Goals 10
Joelinton Apps 32 Goals 6

Hapo barnes alikua yupo relegated team Leicester na bado he was . Hizo ndo takwimu official sasa wewe sijui unaongea nini hapo kwenye game time.

NB: ikumbukwe hapo arsenal mlikua ni overachiever mmeruka mpaka phase mnajiona mpo phase 3 mbele
Daaahhhh wewe jamaa kiboko ndio maana humu kuna watu wanakumind mpaka wamekipiga marufuku kuwaqoute
Aiseee hata mimi ningekua Arsenyau ningekupiga marufuku usiniqoute maana sio kwa maevidence haya ya naked truth.
 
Huyu anaumwa Nketia kaanza game 9 na goal 4. Uyu nkentia akipewa game time ya kutosha hakuna striker wa kumfikia goal pale kwenu msimu ulioisha alikua na wastan wa kucheza dakika 37 tu.

sasa hizi takwimu ni za EPL official website au unaona kama nimejitungia mkuu, tumeamua kuwauliza wenye ligi wenyewe bado unabisha unaniletea takwimu za kwenye gahawa.
 
Basi ngoja nirahisishe.

Game plan ilikua kuzuia siyo kuscore?
Unachokitaka hasa ni nn....ebu tuanzie hapo kwanza😅😅😅....maana naona nakuelezea with vivid examples ila unajifanya kama huelewi....ndo maana nimekupa nafasi ww useme unataka tucheze vipi labda especially tukikutana na City😅😅😅....eleza ww mkuu
 
Mkuu usiseme mtupelekeshe, sema mtupelekee moto.
Sema moto (in Prophet IPM voice)
Nyie wakimbiza upepo na wale wakimbiza upepo mkikutana ndo mtaona mechi ngumu...sio sisi mkuu...hao ndo watoto wadogo sana😅😅😅....jana wamekutana na Villa nyuma wanafunguka kijingajinga nao wanajiona wakubwa...ndo maana nikasema tukutane nao halafu tuone hzo vurugu za kina Almiron na wenzie watazifanyia wapi😅😅😅😅...niache kuwaza Manyumbu tulogawana mbao mwaka jana niwawaze Hawa midebwedo tuliookota point 4 mwaka jana kwli??😅😅😅
 
Daaahhhh wewe jamaa kiboko ndio maana humu kuna watu wanakumind mpaka wamekipiga marufuku kuwaqoute
Aiseee hata mimi ningekua Arsenyau ningekupiga marufuku usiniqoute maana sio kwa maevidence haya ya naked truth.

yaani mtu kaomba stats nimempa direct kutoka kwa EPL yenyewe lakini anaona kama nimetunga basi alete zake atuambie kazitoa wapi?
 
Daaahhhh wewe jamaa kiboko ndio maana humu kuna watu wanakumind mpaka wamekipiga marufuku kuwaqoute
Aiseee hata mimi ningekua Arsenyau ningekupiga marufuku usiniqoute maana sio kwa maevidence haya ya naked truth.
Atembelee tena sources zake aangalie upya...nketiah kacheza mechi ngapi kama starter na kaingia kama Sub mechi ngapi....mnatunga uongouongo Ili m justify uzushi wenu....narudia tena...Newcastle level zao ni kina Luton town...sio ss😅😅😅
 
Atembelee tena sources zake aangalie upya...nketiah kacheza mechi ngapi kama starter na kaingia kama Sub mechi ngapi....mnatunga uongouongo Ili m justify uzushi wenu....narudia tena...Newcastle level zao ni kina Luton town...sio ss

IMG_1645.jpg

Uongo ukwapi hapo mzee? Hao ndo wenye ligi wameonyesha then unataka niangalie upya wapi unabishana na hawa wenye ligi ama?
 
Unachokitaka hasa ni nn....ebu tuanzie hapo kwanza😅😅😅....maana naona nakuelezea with vivid examples ila unajifanya kama huelewi....ndo maana nimekupa nafasi ww useme unataka tucheze vipi labda especially tukikutana na City😅😅😅....eleza ww mkuu
So hujui game plan ilikua inataka nini?
 
Msimu uliopita stats ni hizi
Odergard Apps 37 Goals 15
Martineli Apps 36 Goals 15
Saka Apps 38 Goals 14
Jesus Apps 26 Goals 11
Trossard Apps 36 Goals 8
Nkentiah Apps 30 Goals 4

Newcastle stats zao ni hizi
Wilson Apps 31 Goals 18
Almron Apps 34 Goals 11
Barnes Apps 34 Goals 13
Isak. Apps 22 Goals 10
Joelinton Apps 32 Goals 6

Hapo barnes alikua yupo relegated team Leicester na bado he was . Hizo ndo takwimu official sasa wewe sijui unaongea nini hapo kwenye game time.

NB: ikumbukwe hapo arsenal mlikua ni overachiever mmeruka mpaka phase mnajiona mpo phase 3 mbele
Unamaanisha nini Arsenal alikua overachiever?
 
View attachment 2716672
Uongo ukwapi hapo mzee? Hao ndo wenye ligi wameonyesha then unataka niangalie upya wapi unabishana na hawa wenye ligi ama?
Ameanza mechi 9...sub mechi 18....goals 4...the main starter pale mbele alikuwa Jesus😅😅😅....sub ni mda wwte hata dk ya 90...tunaweka probability ya kuwa na nafasi ya kufunga zaidi ukianza....nasikitika sana tutakapokutana na nyny ndugu zetu dogo hataanza mechi maana Jesus atakuwa amerudi....nyny bdo ni watoto wadogo sana😅😅😅
 
Back
Top Bottom