makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,754
- 103,692
N
Ni dhambi kubwa mnoo kumfananisha fundi ozil na huyu kai, ana safari ndefu kufika kwa mesut, jana namuona hata kuuficha mpira kwake ni kazi.A very big misconception mbona alifeli kwa Willian, Tavares na Lokonga?. Kila mwenye akili anajua Harvetz ni ozil wa kichina!!!na Bora ozil alikua creative na accurate ila huyu ni mzigo na hawezi kufunga!!
Huyu anaweza kuwa anguko la Arteta kama ataendelea kumkumbatia, ESR na Trossard are far better kuliko huyu ngongoti.


. Hizo ndo takwimu official sasa wewe sijui unaongea nini hapo kwenye game time.


@StuartLeonAFC | #Arsenal #AFC