Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tofautisha kuponda na kukosoa.

Niliandika bado tunaridhika na magoli.

Two minutes later Forest wanapata goli.

Baada ya kupata goli wakaacha low block nyuma pakawa wazi zaidi. What did we do?

Ukiwa unacheki mechi usiishie kutazama game hiyo, wazia ikiwa ungecheza na opponent mwingine nini kingetokea?

Kwa goli la jana ni kwamba tusipojirekebisha Brighton ana goli kwetu, New Castle ana goli, Brentford ana goli, Liva ana goli, Fulham ana goli, Villa ana goli. Ukiwa unaangalia mechi za timu nyingi kiasi inaweza kukusaidia.
Na hapo ndo mnapokosea ndugu zetu😅😅....mwaka jana Fulham walikuja Emirates tukawafunga goli 2-1...ila ilikuwa mechi tulomaliza kibishi sana maana ilikuwa tia maji tia maji....tulipoenda kwao nn kiliwakuta....3 bila tukawakanyaga na assist 3 za strossard...uki project matokeo ya timu kwa kuangalia matokeo ya siku flani unakosea sana..project matokeo kwa kuangalia consistency ya timu kwa muda Fulani...Newcastle walikuja Emirates wakapata draw walionekana wagumu kwlikwli...mechi ya pili kwao nn kiliwakuta....Aston villa kaangalie mechi mbili za nyuma....Brighton tuligawana mbao mwaka jana....bdo nasimama na Arteta....be as unpredictable as you can this year....that's the only way you can survive....baada ya Kila mechi huwa kuna analysis inafanyika kuona wapi tulipatia na wapi tulikosea....hvyo ndugu zangu arsenal tuwe watulivu...tutakuwa na msimu mzuri....kikubwa majeruhi yasiwe mengi na ya muda mrefu....we will be a force to reckon with
 
halafu ndio wanakuwa na mdomo Sana

Barcelona ikipoteana anatafuta Chaka lingine

Maplastic fan wanatabia za kimalayamalaya

Walihamia PSG, waliwahi fungua Uzi wa Leicester humu, Sasa hivi wamegawana wengine Newcastle na mancity

Baadae watazikimbia hizo timu
Mashabiki wengi wa arse8 ni watoto wa 2008 apo
 
Champions League group stage draw will be made on Thursday, 31 August at 18:00 CET.

At the moment we have 26 confirmed teams in the group stage, while remaining six will be confirmed in the week of a draw.

Do you already have a 'group of death' that you would like to be drawn?View attachment 2715975
Kama sporting CP waliwapasua kwenye Europa basi UEFA muandike maumivu😂😂😂
Hamuna kikosi cha kucheza UEFA, hamuna kikosi cha kucheza EPL 😂😂 bado kuna FA, Carabao, hahaha hii timu itachoka mapema sana aise
 
Kama sporting CP waliwapasua kwenye Europa basi UEFA muandike maumivu😂😂😂
Hamuna kikosi cha kucheza UEFA, hamuna kikosi cha kucheza EPL 😂😂 bado kuna FA, Carabao, hahaha hii timu itachoka mapema sana aise
Ni kwli mkuu tulitolewa Europa...tunasubiri tuanze hyo michuano tupasuke😅😅😅....sisi na nyny lini kwani maana kuna mtu hmu alitutishia Mudryk kwamba atatupasua tukikutana😅😅😅
 
Ni kwli mkuu tulitolewa Europa...tunasubiri tuanze hyo michuano tupasuke😅😅😅....sisi na nyny lini kwani maana kuna mtu hmu alitutishia Mudryk kwamba atatupasua tukikutana😅😅😅
Mkuu ni suala la muda tu.. Mudryk kuwapasua kupo pale pale ..kwa sasa tuna kocha siyo yule Lampard na yule kiazi potter ..subiri tukutane ndio mutajua hamujui😂😂😂
 
Mkuu ni suala la muda tu.. Mudryk kuwapasua kupo pale pale ..kwa sasa tuna kocha siyo yule Lampard na yule kiazi potter ..subiri tukutane ndio mutajua hamujui😂😂😂
Kipindi alivyokuwa Spurs hakuwa kocha sio😅😅😅...nilikuwa naomba sana kipindi mnatafuta kocha msimpate yule Luis Enrique alikuwa kocha wa Barca kuna kipindi au mlivyoanza kuhusishwa na Zidane maana hao ndo makocha haswa....ila hyu Tapeli wa ki Argentina..tupo hapa....
 
Hauwez kuwa na wachezaji wote nguvu nyingi akili chache

Haya malalamiko ndio amelalamikiwa Øde,Vieira , na Sasa Kai

Arteta ameshaulizwa Sana kuhusu kusema Kai sio physical

Akasema physical ina Maana nyingi kwake akasema ni physical sababu ana press anawin Duels , n.k

Kai vs city kacheza CF ,Jana kacheza no.10 , atacheza LCM no.8

Kote huko mwalimu anaangalia faida zake ni zipi atakazo offer kwenye mfumo

Kai vs city Ndiye alikuwa key players kuharibu buildup Yao

Jana vs Forest kwenye attackers 6 , unakuwa na no.10/8 watatu Rice Kai Øde
Kai Havertz had a good Arsenal debut vs Nottingham Forest

2 Chances Created
100% tackles won
1 clearance
1 headed clearance
1 recoveries
5/9 ground duels won
3/7 aerial duels won

But because he didn’t get GA ppl will call him shit

Mapenzi au kuabudu Arteta?
 
Kipindi alivyokuwa Spurs hakuwa kocha sio😅😅😅...nilikuwa naomba sana kipindi mnatafuta kocha msimpate yule Luis Enrique alikuwa kocha wa Barca kuna kipindi au mlivyoanza kuhusishwa na Zidane maana hao ndo makocha haswa....ila hyu Tapeli wa ki Argentina..tupo hapa....
Tofautisha Spurs na Chelsea ..kumbuka Spurs ya Pochettinho ilikuwa nzuri tu tatizo hawakuwa na ile hali ya kutaka kubeba makombe. Kiufupi haikuwa tofauti na hii arsenal yenu ya sasa..yani kikosi ni kizuri lakini siyo cha kubeba makombe. Ila hii Chelsea tulivyo smart sisi siyo kama Spurs au arse8 ..sisi tuna DNA ya makombe. Wewe ngoja uone jinsi Pochettinho atakavyobeba makombe makombe mbele yenu 😂😂
 
Tofautisha Spurs na Chelsea ..kumbuka Spurs ya Pochettinho ilikuwa nzuri tu tatizo hawakuwa na ile hali ya kutaka kubeba makombe. Kiufupi haikuwa tofauti na hii arsenal yenu ya sasa..yani kikosi ni kizuri lakini siyo cha kubeba makombe. Ila hii Chelsea tulivyo smart sisi siyo kama Spurs au arse8 ..sisi tuna DNA ya makombe. Wewe ngoja uone jinsi Pochettinho atakavyobeba makombe makombe mbele yenu 😂😂
Sawa mkuu tunasubiri😅😅😅...tunasubiri leo muanze kuweka statement kwny ligi kwa kumbamiza Liverkuku
 
Kuna kitu niliandika kuhusu Rice, hamis77 ?
IMG-20230813-WA0009.jpg
 
Vijana wanatumia maneno mazito sana...hawana breki katika wanayoongea...anayeabudiwa ni Mungu tu....mtu anakuja anakuambia unamuabudu binadamu mwenzako kwli???....hii si kufuru hii
Hizi tabia ni za mashabiki hasa wa manjesta ndio wanapenda Sana kutafuta spacegoat kwenye timu , kushambulia personality badala ya hoja ,
 
Mikel Arteta akizungunzia mechi ya Forest


"Kwa hakika, itakuwa vigumu sana kutawala michezo kwa dakika 100. kwa sababu hawakutengeneza chochote isipokuwa kwa hatua hiyo mchezo(wanapopata goli) unabadilika."

Arteta alisisitiza zaidi hitaji la timu yake kuhakikisha wanalinda mchezo ipasavyo

“Kasi inabadilika mara baada ya goli , huo sio wakati wa kuibadilisha, huwezi kuibadilisha, sasa unatakiwa kuwa mzuri sana katika kukabiliana na hali hiyo, kukimbia sana kwenda chini na kupata pointi, timu imefanya vizuri sana.

lakini itabidi tuwe watu wasio na huruma zaidi na kujikosoa zaidi ili kuwa wakatili zaidi na kuua mchezo."

Alihitimisha kwa kufahamu majukumu yake kama meneja, akisema:

"Hiyo ni kazi yangu - kuleta matatizo makubwa kwa mpinzani kuliko yale wanayotutengenezea na kucheza njia bora zaidi ya kupata haki ya kushinda mchezo na kuwa na uwezekano mkubwa zaidi wa kushinda mchezo."

"Ili kufanya hivyo tunapaswa kuchagua wachezaji wanaofaa kushinda mchezo kila wiki - sio tu kuanza lakini pia kumaliza.

Wachezaji walioingia katika sehemu ya mwisho ya mchezo walitusaidia sana pia kushinda mchezo huo.
 
Arteta on Rice and Havertz -

“They were really good.

“I think the whole team in the end was really good. I saw a lot of fluidity, a lot of good connections, really physical as well.

“Really, really strong counters, the eagerness to bring in that ball straightaway was magnificent.

“For example with Deccy [Rice], he had two big chances that he probably could have scored, but I’m really happy with him.”

(@talkSPORT exclusive)

talksport.com/football/15310…
20230813_123137.jpg
 
Huu hapa mkuu watu hawajui mpira hawajui kwanini tumecheza na 3diamond3

Wanaropoka tu

.

Hii ligi ukitwaa unakuwa bingwa haswa maana unapitia mechi ngumu nyingi sana , hizi alama 3 za leo za Arsenal zimechimbwa haswa

Mikel Arteta alijua kabisa kwamba Steve Cooper atatumia mfumo wake ule ule wa msimu uliopita wa mabeki watatu nyuma , wingbacks ( 3-4-2-1 ) na ndio maana leo Arteta aliamua kuja na mfumo tofauti kama ule ambao Man City walitumia dhidi ya Inter Milan fainali UCL

Tunaita 3-diamond-3 maana yake nyuma mabeki watatu ( White Saliba Timber ) mbele yao namba 6 Partey juu yake namba 8 wawili kulia na kushoto Rice na Odegaard nyuma ya Nketiah kuna Havertz ( wingers Martinelli na Saka ) kwanini huu muundo ?

1: Ili kutengeneza idadi kubwa ya wachezaji katika phase zote tatu ( ulinzi kiungo na ushambuliaji ) hasa wakiwa na mpira , bila mpira ni 4-4-2 haina shida

2: Forest bila mpira walikuwa 5-2-2-1 , shida ilikuwa kwa Gibbs White na Danilo ambao walikuwa nyuma ya Johnson kwamba wafanye nini bila mpira ? Waende kuwapress mabeki wa nje wawili kati ya watatu wa Arsenal ( outside CBs ) White na Timber ?

3: Wakifanya hivyo maana yake viungo wao wawili wa kati ( Yates na Mangala ) wanazidiwa namba inakuwa 3 Vs 2 ( Ode Kai na Rice Vs Mangala na Yates ) lakini wakisema warudi nyuma ( Gibbs White na Danilo ) maana yake White na Timber wanakuwa huru wakiwa na mali

4: Arsenal kwenye phase ya tatu walikuwa wanashambulia na wachezaji 5 mpaka 6 ( Martinelli Nketiah Saka Odegaard Kai na mara kadhaa anaongezeka Rice dhidi ya BACK 5 ya Forest )

Walichofanikiwa Forest hasa kipindi cha pili ni uwepo wa Awoniyi na Elanga , kasi na nguvu maana yake ilikuwa rahisi Forest kufika mbele bila kutumia pasi nyingi bali ni mipira mirefu ns kuokota second balls nyingi . Kuwa jasiri .!

NOTE

1: Johnson atakuwa anawaza alikosaje 1 Vs 1 na Ramsdale ?

2: Saka na Martinelli wanaweza kukutoa damu wale vijana

3: Rice akiwa ana sprint kwenda kuzuia

4: Forest wanahitaji ubora zaidi wa wingbacks kwa mfumo ule

5: Ile assist ya Martinelli

6: MUHIMU ALAMA 3 kwenye mechi ya kwanza

FT: Arsenal 2-1 Notts Forest
Hakika nimeupenda huu uchambuzi, umekaa POA sana
 
Back
Top Bottom