Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mikel Arteta on Declan Rice’s leadership:

“It’s very natural. You’ve seen him today, I don’t know if it was after two minutes or after 10, but the way he’s moving, the way he’s coaching and integrating in that dressing room I think he’s enjoying the position.”

“He should have scored probably two goals today. So more of the same. He’s not thinking, he’s just acting and I’m really pleased with what he’s done.”(football London via HITC)
20230813_123137.jpg
 
Jana tulicheza vizuri, tunachotakiwa kuboresha ni kuwa katili mbele ya goli. Kama first half tungewapiga goli nyinginyingi kivyovyote wasingekuwa na mawazo ya kwamba tunaweza kuambulia hata sare hapa.

Kai Bado ana vitu vya kuboresha, amecheza kawaida sana. second half kidogo kaonekana, Binafsi nataka nimwone awe sharp na awe unpredictable akiamua kutoa pass au kudribble. Bado Nina matumaini naye ya kwamba atabadirika huko mbele
 
Kwa hali ilivyo mpaka sasa, Arsenal ndiyo timu ngumu zaidi kujiandaa kucheza nayo duniani...

Mtabisha

Utofauti wa Arsenal wa kimbinu uko tofauti msimu huu kulinganisha na msimu uliopita.


Kama kuna chochote unejifunza leo unaona namna gani Arsenal wanajaribu kucheza na Kila Aina ya mpinzani

Mfn pre Season tulicheza na timu Kama man u waki base na physical battle tukapoteza tukajifuza tukampiga Barcelona kwa Mbinu tofauti ila based on physical battle

Msimu huu hutajua Arteta anakupangia Backline ipi ..

Kuna ambao mnalalamika kuwa Gaby anaanzia nje poleni ..sio swala la mapenzi Wala Nini Ni swala la kimbinu zaidi Tena limekaa poa maana hutajua Arteta anakuja vipi

Wengi wenu mnalalamika baada ya ku concede goal
SMH

Kuna mambo lazima tuwe tunajifunza kwa utulivu bila mihemko

Today our new signings wameanza wote Tena kwa kiwango Bora tunaona wanavyozoea mazingira ya timu kwa ujumla na katika nafasi ambazo walikotoka hawakuwahi cheza

Mipishano kati ya Rice na Havertz ni mizuri Sana unaendana na sifa zao zote mbili. kikamilifu.

3-1-6 si kitu ambacho tumekiona chini ya Arteta bado tukumbuke msimu uliopita Ali base na 4-3-3, lakini hapa tunaona timu yenye mbinu nyingi zaidi duniani (kwa sasa) inayoendelea kubadilika..Arsenal inaenda na 3-1-3- 3..

Timber- Saliba - Whitr
Partey
Odegaard- Havertz -Rice
Saka - Nketiah - Martinelli

-Havertz akibadilishana upande na Nketiah/Odegaard.


- Eddie anaenda kulia Havertz akiwa anapanda juu

Haya sijui mmeona !?

Wachezaji wachache katika mpira wa kisasa wanafiti Katika mfumo huu 3-1-6 kama Kai Havertz.

Anashambulia kwenye box akutoka chin, ana nguvu, mtu anayetumika Kama target man kwa mipira mirefu, anashinda mipira ya kwanza,Kila anapokuwa targeted

Kiufupi bado tutaona Mengi
Tuombe Timber arejee salama

Saka bado halindwi ipasavyo na marefa.,

Endeleeni kutoa mapovu Watanzania wajuzi wa mpira wa malalamiko
20230813_134417.jpg
 
Mikel Arteta akizungunzia mechi ya Forest


"Kwa hakika, itakuwa vigumu sana kutawala michezo kwa dakika 100. kwa sababu hawakutengeneza chochote isipokuwa kwa hatua hiyo mchezo(wanapopata goli) unabadilika."

Arteta alisisitiza zaidi hitaji la timu yake kuhakikisha wanalinda mchezo ipasavyo

“Kasi inabadilika mara baada ya goli , huo sio wakati wa kuibadilisha, huwezi kuibadilisha, sasa unatakiwa kuwa mzuri sana katika kukabiliana na hali hiyo, kukimbia sana kwenda chini na kupata pointi, timu imefanya vizuri sana.

lakini itabidi tuwe watu wasio na huruma zaidi na kujikosoa zaidi ili kuwa wakatili zaidi na kuua mchezo."

Alihitimisha kwa kufahamu majukumu yake kama meneja, akisema:

"Hiyo ni kazi yangu - kuleta matatizo makubwa kwa mpinzani kuliko yale wanayotutengenezea na kucheza njia bora zaidi ya kupata haki ya kushinda mchezo na kuwa na uwezekano mkubwa zaidi wa kushinda mchezo."

"Ili kufanya hivyo tunapaswa kuchagua wachezaji wanaofaa kushinda mchezo kila wiki - sio tu kuanza lakini pia kumaliza.

Wachezaji walioingia katika sehemu ya mwisho ya mchezo walitusaidia sana pia kushinda mchezo huo.
Maelezo ya Arteta nimeyaelewa na kwa ufupi amekubaliana na fans wake hayo mambo ya Diamond formation sisi hatuyahitaji in short summary yake ni kuwa kwa football ️ ya jana unatakiwa umalize mchezo ASAP in 45 minutes na sio goal linarudi game inabadilika na kwa jicho la 3 Arsenal akiwa away at least pressure ya kuhandle mchezo inakuwa chini tofauti akiwa Emirates hata kama tunashindaga games zetu home ila huwa ni kwa pressure sana refer last season games za Bournemouth Fulham (top 6 sijawaweka)draw ya Southampton Brentford Newcastle players na coach wanajipaga sana pressure
 
Maelezo ya Arteta nimeyaelewa na kwa ufupi amekubaliana na fans wake hayo mambo ya Diamond formation sisi hatuyahitaji in short summary yake ni kuwa kwa football ️ ya jana unatakiwa umalize mchezo ASAP in 45 minutes na sio goal linarudi game inabadilika na kwa jicho la 3 Arsenal akiwa away at least pressure ya kuhandle mchezo inakuwa chini tofauti akiwa Emirates hata kama tunashindaga games zetu home ila huwa ni kwa pressure sana refer last season games za Bournemouth Fulham (top 6 sijawaweka)draw ya Southampton Brentford Newcastle players na coach wanajipaga sana pressure
Msimu huu tegemea kila mechi na mfumo wake,

Vs City alipewa dozi yake , manjesta akija Emirates atapewa dozi yake

Alishaweka wazi msimu huu hataki kutabirika Tena, EPL ni Ligi wanakusoma haraka Sana na kukudhibiti ,

Forest mbinu Yao ni kukaa nyuma ,vizia kaunta
 
Na hapo ndo mnapokosea ndugu zetu😅😅....mwaka jana Fulham walikuja Emirates tukawafunga goli 2-1...ila ilikuwa mechi tulomaliza kibishi sana maana ilikuwa tia maji tia maji....tulipoenda kwao nn kiliwakuta....3 bila tukawakanyaga na assist 3 za strossard...uki project matokeo ya timu kwa kuangalia matokeo ya siku flani unakosea sana..project matokeo kwa kuangalia consistency ya timu kwa muda Fulani...Newcastle walikuja Emirates wakapata draw walionekana wagumu kwlikwli...mechi ya pili kwao nn kiliwakuta....Aston villa kaangalie mechi mbili za nyuma....Brighton tuligawana mbao mwaka jana....bdo nasimama na Arteta....be as unpredictable as you can this year....that's the only way you can survive....baada ya Kila mechi huwa kuna analysis inafanyika kuona wapi tulipatia na wapi tulikosea....hvyo ndugu zangu arsenal tuwe watulivu...tutakuwa na msimu mzuri....kikubwa majeruhi yasiwe mengi na ya muda mrefu....we will be a force to reckon with
Una uhakika kiasi gani na unachoandika?

Analysis hua inafanywa upo sahihi. Misinu miwili nyuma analysis iliona tunahitaji mid what followed?

Game za msimu uliopita zilizotunyima ubingwa unadhani analysis ilikua haifanywi?

Unafikiri kwanini kocha hutafuta strong formation kulingana na watu alionao? Unakumbuja tushacheza back 3 chini ya Arteta? Na akasema mpango ni 4 3 3?

Na hii hapa ni general rule. You do not change your winning team
 
Una uhakika kiasi gani na unachoandika?

Analysis hua inafanywa upo sahihi. Misinu miwili nyuma analysis iliona tunahitaji mid what followed?

Game za msimu uliopita zilizotunyima ubingwa unadhani analysis ilikua haifanywi?

Unafikiri kwanini kocha hutafuta strong formation kulingana na watu alionao? Unakumbuja tushacheza back 3 chini ya Arteta? Na akasema mpango ni 4 3 3?

Na hii hapa ni general rule. You do not change your winning team
Hatukuwa na wachezaji wa aina hii....Arteta amekuwa anafanya addition ya wachezaji wale anaooona watamfaa kwny kile anachokitaka...kwnn alimzuia Xhaka kuondoka alipokuja kpndi kile ndo ametua pale Emirates na jamaa kazinguana na mashabiki....ni kwa sababu aliona kwa namna anavyocheza angemfaa sana na mfumo wake....msimu WA mwaka jana tulianza vzuri sana lakini kadri tulivyokuwa tunaenda ulikuwa unaona kabisa kuna kpndi tuna struggle kwa sababu watu walianza kutusoma...anachokifanya Sasa hv naunga mkono kabisa....mechi kama ile jana baada ya lile goli na jinsi Xhaka alivyokuwa anacheza nna uhakika tungeweza kukaribisha hatari zaidi....ku prove hii kuna mechi msimu huu tutakuwa under pressure sana na utajua kwnn nasema haya....unahutaji kuwa na watu ambao timu ikiwa kwny pressure wanaweza ku deffuse ile presha ndo maana ukaona jana baada ya lile goli hakuna cha msingi tena walichofanya wale jamaa...mambo ni mengi ku type mda mrefu ndo ishu....be unpredictable as you can...with 4-3-3 kwa jana tungeweza ku struggle sana mbele ya wale wahuni maana walikuja wakijua tutaenda na hyo formation lakini mambo yakawa tofauti....with Jesus na Zinchenko na hopefully timber akiwa fully fit bila kumsahau ball machine Emile Smith Rowe sina shaka watu watatema bungo msimu huu
 
Maelezo ya Arteta nimeyaelewa na kwa ufupi amekubaliana na fans wake hayo mambo ya Diamond formation sisi hatuyahitaji in short summary yake ni kuwa kwa football ️ ya jana unatakiwa umalize mchezo ASAP in 45 minutes na sio goal linarudi game inabadilika na kwa jicho la 3 Arsenal akiwa away at least pressure ya kuhandle mchezo inakuwa chini tofauti akiwa Emirates hata kama tunashindaga games zetu home ila huwa ni kwa pressure sana refer last season games za Bournemouth Fulham (top 6 sijawaweka)draw ya Southampton Brentford Newcastle players na coach wanajipaga sana pressure
Halafu Kama hujui hii mifumo 4-3-3,3-4-3,n.k usiwe mlalamishi

Kila mfumo una mapungufu na faida zake

Na wachezaji au sifa zao ndio huamua mfumo gani utumike

Utakuwa utahira hujui mfumo unaotumika lakin unakuwa wakwanza kualalamika,vipi tukikuhoji why umetumika mfumo huu na sio huu ,

Au tupo kulalama Kai hafai, nketiah hafai , n.k

Kila mfumo huendana na wacheza maalumu

Ulidai hapa vs Mancity huwez kumzidi possession ukamshinda, lakini tuliona walipopata Goli ,Arsenal alitawala mpira 2nd half na goli likapatikana na city akapaki Basi .

Ifike mahala tuuheshimu mpira na Wapinzani, Ndio Maana Arteta kasema sio rahisi kwa dakika 100 utawale mchezo peke yako

Ila anachofanya nikuandaa mifumo ambayo italeta matatizo kwa Wapinzani
 
Acha matusi halafu mpira hujui
MKuu kuna watu ukiona umemwambia kitu halafu akaona njia pekee ni kuandika Kiingereza chake cha kuungauunga kilichotawaliwa na lugha za kudhalilisha unaachana naye tu maana inaonesha kuwa si mstaarabu na hajui nn maana ya ustaarabu....jitu kama hlo linaenda enda tu Ili mradi
 
MKuu kuna watu ukiona umemwambia kitu halafu akaona njia pekee ni kuandika Kiingereza chake cha kuungauunga kilichotawaliwa na lugha za kudhalilisha unaachana naye tu maana inaonesha kuwa si mstaarabu na hajui nn maana ya ustaarabu....jitu kama hlo linaenda enda tu Ili mradi

Tatizo lako unataka kujifanya too much know, Ukitaka kila mtu aamini mawazo yako. It is not possible, I freely speak my mind. Ukiandika kistaarabu nitakujibu kistaarabu, ukiandika in a demeaning way tegemea majibu makali
 
Tatizo lako unataka kujifanya too much know, Ukitaka kila mtu aamini mawazo yako. It is not possible, I freely speak my mind
Kuweni wapole , hakuna anayejifanya anajua ,
Hoja zikiwekwa pangua hoja kwa hoja ,sio kukimbilia fulan anajifanya anajua na bla blaa nyingine

Ninachokiona humu zimejaa kebehi , malalamiko ,

Binafsi napenda niende na mtu toe to toe kwenye hoja ,

Mfano unamlalamikia kwanini Nketiah kaanza ,halafu hufatilii umetumika mfumo gani ,na kwanini kaanza

Hadi kocha Katoa maelezo jins Nketiah alivyofanya kwenye mazoezi akamwambia Usiponipanga Basi wewe ni kipofu

Cha ajabu Kuna watu humu wanalalamika na sababu wanawapa faida haters Basi wanaona Raha

Game ya Jana unaanzaje kulalamika ,eti Arteta asitumie kabisa huo mfumo

Ukiulizwa atumie upi na kwanini ,Yanaanza maneno oho Huyu mjuaji, huyu hivi na vile ,


Kwasasa ibaki hivi wenye Negativity na Wanaoona Arsenal ikishinda walalamike ikifungwa walalamike waendelee na Tunaongalia hasa Positive tukiamini Negative hazikosekani tuendelee ,kila mtu atimize majukumu yake
 
Msimu huu tegemea kila mechi na mfumo wake,

Vs City alipewa dozi yake , manjesta akija Emirates atapewa dozi yake

Alishaweka wazi msimu huu hataki kutabirika Tena, EPL ni Ligi wanakusoma haraka Sana na kukudhibiti ,

Forest mbinu Yao ni kukaa nyuma ,vizia kaunta
Kwa maneno yake haya najua jana hakuridhika na Results moyoni licha tumepata 3 points jana wale watoto walitakiwa wafe 6 kwa 0
 
Kwa maneno yake haya najua jana hakuridhika na Results moyoni licha tumepata 3 points jana wale watoto walitakiwa wafe 6 kwa 0
Arteta nampendea ni muwazi ,alichozungunzia Cha kuboresha hasa ,kumaliza mechi mapema

Kwa timu inayokaa nyuma Sana goli 3 zilitosha

Kai alitakiwa amalize mechi, Sergi akamshinda nguvu ,

Overall performance haikuwa mbaya ,

Ndio Maana nawashangaa wanaosema tubadili mfumo
 
Kuweni wapole , hakuna anayejifanya anajua ,
Hoja zikiwekwa pangua hoja kwa hoja ,sio kukimbilia fulan anajifanya anajua na bla blaa nyingine

Ninachokiona humu zimejaa kebehi , malalamiko ,

Binafsi napenda niende na mtu toe to toe kwenye hoja ,

Mfano unamlalamikia kwanini Nketiah kaanza ,halafu hufatilii umetumika mfumo gani ,na kwanini kaanza

Hadi kocha Katoa maelezo jins Nketiah alivyofanya kwenye mazoezi akamwambia Usiponipanga Basi wewe ni kipofu

Cha ajabu Kuna watu humu wanalalamika na sababu wanawapa faida haters Basi wanaona Raha

Game ya Jana unaanzaje kulalamika ,eti Arteta asitumie kabisa huo mfumo

Ukiulizwa atumie upi na kwanini ,Yanaanza maneno oho Huyu mjuaji, huyu hivi na vile ,


Kwasasa ibaki hivi wenye Negativity na Wanaoona Arsenal ikishinda walalamike ikifungwa walalamike waendelee na Tunaongalia hasa Positive tukiamini Negative hazikosekani tuendelee ,kila mtu atimize majukumu yake

Kila mtu kwa uelewa wake ana mtazamo wake. Siwezi kukulazimisha ufuate mtazamo wangu , hivyo hivyo na wewe. Kuna wakati you get my “like” ukiandika kitu ninachokikubali; not all the times,
 
Kila mtu kwa uelewa wake ana mtazamo wake. Siwezi kukulazimisha ufuate mtazamo wangu , hivyo hivyo na wewe. Kuna wakati you get my “like” ukiandika kitu ninachokikubali; not all the times,
Ndio maisha yalivyo tukubaliane kutokukubaliana na maisha yaendelee

Binafsi sipend mtu kushambulia personality, if unaona hoja yako haikubaliani na mwingine ,njia nzuri ni ku chill ,
 
Tatizo lako unataka kujifanya too much know, Ukitaka kila mtu aamini mawazo yako. It is not possible, I freely speak my mind. Ukiandika kistaarabu nitakujibu kistaarabu, ukiandika in a demeaning way tegemea majibu makali
Nn maana ya kuabudu...si ndo tulipoanza hapa....au unataka tuanze kubadilishana maneno....unaona ww ndo unaweza kuwa freely to speak ur mind...tunachangia hmu kwa kuheshimu utu wa watu....unapomwambia binadamu mwenzio anamuabudia Fulani unamaanisha nn....ndo maana nikasema ustaarabu umekupitia kushoto...huchagui cha kuandika unaendaenda tu kama mfugo
 
Back
Top Bottom