Tofautisha kuponda na kukosoa.Nyie kila mechi mnaponda mnataka Arsenal icheze kwa possession 100% Hakuna powerful formation ndio Maana modern football imehamia 4-3-3 huwezi kutawala EPL Sasa na 4-2-3-1
Ambangile ni kocha anachambua vizuri Sana hata huyo nonewthing hakuna alipoponda kamsome leo yeye anachozungumza Kai acheze CF
Arteta amlete locateli
Wala hachambuagi formation yeye ana malalamiko yake Partey hakimbii Kasi imeisha
Niliandika bado tunaridhika na magoli.
Two minutes later Forest wanapata goli.
Baada ya kupata goli wakaacha low block nyuma pakawa wazi zaidi. What did we do?
Ukiwa unacheki mechi usiishie kutazama game hiyo, wazia ikiwa ungecheza na opponent mwingine nini kingetokea?
Kwa goli la jana ni kwamba tusipojirekebisha Brighton ana goli kwetu, New Castle ana goli, Brentford ana goli, Liva ana goli, Fulham ana goli, Villa ana goli. Ukiwa unaangalia mechi za timu nyingi kiasi inaweza kukusaidia.


