Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyie kila mechi mnaponda mnataka Arsenal icheze kwa possession 100% Hakuna powerful formation ndio Maana modern football imehamia 4-3-3 huwezi kutawala EPL Sasa na 4-2-3-1
Ambangile ni kocha anachambua vizuri Sana hata huyo nonewthing hakuna alipoponda kamsome leo yeye anachozungumza Kai acheze CF
Arteta amlete locateli
Wala hachambuagi formation yeye ana malalamiko yake Partey hakimbii Kasi imeisha
Tofautisha kuponda na kukosoa.

Niliandika bado tunaridhika na magoli.

Two minutes later Forest wanapata goli.

Baada ya kupata goli wakaacha low block nyuma pakawa wazi zaidi. What did we do?

Ukiwa unacheki mechi usiishie kutazama game hiyo, wazia ikiwa ungecheza na opponent mwingine nini kingetokea?

Kwa goli la jana ni kwamba tusipojirekebisha Brighton ana goli kwetu, New Castle ana goli, Brentford ana goli, Liva ana goli, Fulham ana goli, Villa ana goli. Ukiwa unaangalia mechi za timu nyingi kiasi inaweza kukusaidia.
 
Tuliwaambia humu kuhusu Biashara ya KAI jamaa wao yule oya oya akaja na stats na facts uchwara kumtetea.

KAI hata ukichukua Mama Ntilie ambae hajawah kuangalia mpr akamuona kwa mara ya kwnz uwanjan anajua kbs hapa hakuna mchezaj.

Huyu kijana anatembelea lile Goal alilotupiga UCL final lkn tofaut na hapo ni total rubbish mvivu na mzito sana.
Binafsi nachokion kwa kai sio mshindani yaan mpambanaji anaoffer vitu vya kawaida ambavyo impact yake ni ndigo kwenye timu yetu...mfumo wa jana hata angeanz smith rowe kama second striker nadhan tungefunga magoli mengi zaidi sabb aslimia kubwa nottnham tuliwazidi mbinu parefu san ikafk muda kocha wao akawa hajui afanye nini kidogo sub yao na ile counter attack ambayo pia kai alichezewa rafu ikawarudish mchezoni...siwez sem kai ni sajili bora kwetu na hii inaonekn mchn kweupe angalia Rice na timber wanatupa energy uwanjani na upambanaji
 
Unafurahisha wewe unaona Newcastle tumeshinda then unafikiri wewe utachomoka kwa aston villa kwa kikosi gani ulichonacho ?

Wewe una kikosi kweli mzee, tatizo hujaangalia game yaani hii Newcastle si level yenu kabisa, Arsenal ni kikundi cha vichekesho kwa namna moja au nyingine lazima mtaleta vituko thats why unaona humu ndani tupo sana si wachezaji mpaka mashabiki mnafanana mnaleta vituko na vichekesho.

Ametoka dogo janja almiron kaingia barnes, katoka isak kaingia wilson,katoka amrion kaingia murphy vyote hivi ni vyuma haswa vimeingia na kufunga na assists.

First 11 yako wewe tu kuanzia pale kati nitajie wachezaji 3 tu ambao wanaweza kuingia kutoka sub wakafanya la maana yaani sub ya maana kwako ni trossard tu.
Tafuta kwanza wachezaji arsenal still hamna wachezaji wa kushindana kombe lolote
Tofaut kati ya newcastle na arsenal ni hii castle anakuvizia anapokonya anapiga counter ya harak kulingn na silaha zake arsenal sisi tunajitahd kuukamata mchezo mzima sasa wewe kama ubongo wako unafikir vzr utaamua yupi mwenye uwezo mkubwa wa kushinda mechi wakikutana na mechi nyingi zaidi
 
Binafsi nachokion kwa kai sio mshindani yaan mpambanaji anaoffer vitu vya kawaida ambavyo impact yake ni ndigo kwenye timu yetu...mfumo wa jana hata angeanz smith rowe kama second striker nadhan tungefunga magoli mengi zaidi sabb aslimia kubwa nottnham tuliwazidi mbinu parefu san ikafk muda kocha wao akawa hajui afanye nini kidogo sub yao na ile counter attack ambayo pia kai alichezewa rafu ikawarudish mchezoni...siwez sem kai ni sajili bora kwetu na hii inaonekn mchn kweupe angalia Rice na timber wanatupa energy uwanjani na upambanaji
Tukiwaambia wenzako humu hawatak kusikia hoja mbadala.. Wao wanataka kusikia maneno matamu tu kuhusu kila kitu khs Gunners yao.. Huyu dg tutawacheka sana khs yy kwa sbb Chelsea wamewatapeli na ndo maana walimuuza hrk hrk walivo sikia 65 zipo tyr
 
Huu mfumo ni mpya?

Patey amekuwa beki duh🥸🥸

IMG_4195.jpg
 
Tofaut kati ya newcastle na arsenal ni hii castle anakuvizia anapokonya anapiga counter ya harak kulingn na silaha zake arsenal sisi tunajitahd kuukamata mchezo mzima sasa wewe kama ubongo wako unafikir vzr utaamua yupi mwenye uwezo mkubwa wa kushinda mechi wakikutana na mechi nyingi zaidi
Newcastle, Astonvilla hawana mpira wakushindana na Arsenal
 
Tukiwaambia wenzako humu hawatak kusikia hoja mbadala.. Wao wanataka kusikia maneno matamu tu kuhusu kila kitu khs Gunners yao.. Huyu dg tutawacheka sana khs yy kwa sbb Chelsea wamewatapeli na ndo maana walimuuza hrk hrk walivo sikia 65 zipo tyr
Kitu naona arteta anakifanya kwa kai kwanza ni mchezaji wake lazm amtaftie way amchezeshe ili atleast atuprove wrong kias fln,kingine positive kidogo kai anajitahidi kwenye kubugudhi/kupress wapinzani wasikae na mali kuanzia golini kwao odegaard,kai na jesus ni wazuri kwa kazi hii ila ukweli siku zote haukawii kujulikana Arteta atarudi sokoni kutafuta mchezaji mwingine mwenye uwezo wa kucheza kam striker au second striker mwenye energy ya kutosha zaid ya kai harvets hatoshi kuingia nae vitani huo ni mtazamo wangu sabb hana uwezo wa kujibeba pale panapohitajika ajitwishe bomu kwaajili ya timu kupata matokeo,binafsi ni usajili wa 50/50.
 
Huu mfumo ni mpya?

Patey amekuwa beki duh🥸🥸

View attachment 2715942
Kwenye makaratasi anakuwa Beki ,ndani anakuwa Kiungo

3-diamond-3

Tumeucheza hata vs Mancity 2nd half

Tutaucheza Sana msimu huu


Thomas Partey is inverting from RB in possession.
But it’s not a 3-2-2-3, but Arteta’s new 3-diamond-3 that we have already seen at the Community Shield a week ago.
20230813_080633.jpg
 
Kitu naona arteta anakifanya kwa kai kwanza ni mchezaji wake lazm amtaftie way amchezeshe ili atleast atuprove wrong kias fln,kingine positive kidogo kai anajitahidi kwenye kubugudhi/kupress wapinzani wasikae na mali kuanzia golini kwao odegaard,kai na jesus ni wazuri kwa kazi hii ila ukweli siku zote haukawii kujulikana Arteta atarudi sokoni kutafuta mchezaji mwingine mwenye uwezo wa kucheza kam striker au second striker mwenye energy ya kutosha zaid ya kai harvets hatoshi kuingia nae vitani huo ni mtazamo wangu sabb hana uwezo wa kujibeba pale panapohitajika ajitwishe bomu kwaajili ya timu kupata matokeo,binafsi ni usajili wa 50/50.
Narudia Tena tuache ujuaji, Arteta hampangi mtu kwa kujuana ,majukumu uliyotataja kwa Kai ndiyo yanaamua apangwe au asipangwe


Hata Nketiah amemuelezea Jana ,dogo amefanya mazoezi kwa nguvu sana kapambana Sana mazoezini

Akamwambia Arteta na deserve kuanza


Mikel Arteta on Nketiah scoring:


“Delighted for him. He was so disappointed with the absence of Gabby & not to play a final [Community Shield]. The way he trained this week, he was telling me, ‘Gaffer, if I don’t play, you are blind’.” [@HaytersTV]
 
We just kicked off the season, watu wanaanza kuwa so critical na timu. Ni mapema mno kufanya hivyo.

Congratulations to the gunners!!
Hao hao ndio wakwanza kusema kocha Hana plan B

Timu zinazokaa nyuma kina manjesta,forest ,n.k walishatujulia kwenye 4-3-3

Forest walikuwa wanapaki Basi na watu 5 tukicheza 4-3-3 tunashindwa kuwafungua

Jana Kocha katumia 3-diamond-3 yenye attackers 6

MTU anakwambia huo mfumo mbaya sababu tulipigwa kaunta moja

Ni mfumo gani ambao haujawahi kupigwa kaunta
 
Kitu naona arteta anakifanya kwa kai kwanza ni mchezaji wake lazm amtaftie way amchezeshe ili atleast atuprove wrong kias fln,kingine positive kidogo kai anajitahidi kwenye kubugudhi/kupress wapinzani wasikae na mali kuanzia golini kwao odegaard,kai na jesus ni wazuri kwa kazi hii ila ukweli siku zote haukawii kujulikana Arteta atarudi sokoni kutafuta mchezaji mwingine mwenye uwezo wa kucheza kam striker au second striker mwenye energy ya kutosha zaid ya kai harvets hatoshi kuingia nae vitani huo ni mtazamo wangu sabb hana uwezo wa kujibeba pale panapohitajika ajitwishe bomu kwaajili ya timu kupata matokeo,binafsi ni usajili wa 50/50.
Hauwez kuwa na wachezaji wote nguvu nyingi akili chache

Haya malalamiko ndio amelalamikiwa Øde,Vieira , na Sasa Kai

Arteta ameshaulizwa Sana kuhusu kusema Kai sio physical

Akasema physical ina Maana nyingi kwake akasema ni physical sababu ana press anawin Duels , n.k

Kai vs city kacheza CF ,Jana kacheza no.10 , atacheza LCM no.8

Kote huko mwalimu anaangalia faida zake ni zipi atakazo offer kwenye mfumo

Kai vs city Ndiye alikuwa key players kuharibu buildup Yao

Jana vs Forest kwenye attackers 6 , unakuwa na no.10/8 watatu Rice Kai Øde
Kai Havertz had a good Arsenal debut vs Nottingham Forest

2 Chances Created
100% tackles won
1 clearance
1 headed clearance
1 recoveries
5/9 ground duels won
3/7 aerial duels won

But because he didn’t get GA ppl will call him shit
 
Mikel Arteta:


"Wachezaji wengi huja na kusema, 'Ah, kwa nini sichezi?', lazima ujaribu na kuelezea. Wachezaji wengine wanakuambia sababu kwa nini wanastahili kucheza, hivi ndivyo Eddie hufanya. Kisha anaingia kwenye uwanja na anafanya. Ni mfano mzuri sana kwa kila mtu."
 
Mikel Arteta kuhusu Nketiah kufunga goli na wachezaji wengine kupata nafasi


"Nimefurahishwa naye. Alisikitishwa sana na kutokuwepo kwa Gabby Jesus na kutocheza fainali [Ngao ya Jamii]. Jinsi alivyofanya mazoezi wiki hii, alikuwa akiniambia, ‘Gaffer, ikiwa sitacheza, wewe ni kipofu’.”
 
Champions League group stage draw will be made on Thursday, 31 August at 18:00 CET.

At the moment we have 26 confirmed teams in the group stage, while remaining six will be confirmed in the week of a draw.

Do you already have a 'group of death' that you would like to be drawn?
20230813_084105.jpg
 
Back
Top Bottom