Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hatukuwa na kikosi kipana..key players walipopata pancha basi ndo ukawa mwsho...ila safari hii msijichanganye mkatoa gepu kama lile..mtatema ndoano😅😅😅....halafu kuna mechi tulikuwa tunafanyiwa hujuma za wazi....mfano mechi na Brentford goli lao lilikuwa offside kabisa ila mtu wa VAR akaja ku admit baadae kwamba alisahau kuchota mstari wa offside...mechi na Southampton pale kwao Jesus anashikwa waziwazi ila refa anakausha yaani tulikuwa tunafukuzna na City na marefa juu
Sio jambo rahis ilo ndg yng.

Liver ndo mtu wa mwsh kumuona anatuchallenge serious sana kiasi kwmb hata mm nilikua naogopa.

Kiukwl Arsenal hamna ile Aura ambayo liver ile ya moto ilikua nayo ambayo tumepishana nayo mabega na vikumbo mara kwa mara.

Yan mm pa1 na nyie msimu uliopita kukaa kilelen mda mref nilikua hata siwawazii kbs maana nilijua Arsenal hii lzm tuwashushe tu kwa sbb 1 tu Arsenal siku zote ikifika mda wa kua serious na mambo ndo hapo ujue lzm wakuangushe tu tena Hawata kuangusha watahakikisha wanakudharirisha pia ndo Arsenal mlivo na team yenu iyo mda wa serious lzm iwaangushe vby sana.
 
Hatukuwa na kikosi kipana..key players walipopata pancha basi ndo ukawa mwsho...ila safari hii msijichanganye mkatoa gepu kama lile..mtatema ndoano....halafu kuna mechi tulikuwa tunafanyiwa hujuma za wazi....mfano mechi na Brentford goli lao lilikuwa offside kabisa ila mtu wa VAR akaja ku admit baadae kwamba alisahau kuchota mstari wa offside...mechi na Southampton pale kwao Jesus anashikwa waziwazi ila refa anakausha yaani tulikuwa tunafukuzna na City na marefa juu
Naona unajarb kuleta vijisababu bas nikubaliane na ww kua hamkufanyiwa fair sehem zngne.

Lkn nataka kukuuliza saiv swali moja la mwsh.

Je, kikosi chenu msimu huu mko tayar kutuchallenge na mko serious kbs kwenda mguu kwa mguu na sisi.. Na hakuna visingizio vyovyote vile?.

Kama ayo maswali ni ndio bas sitataka mwshn mwa msimu unikimbie natak uwepo hapa nikiwa nawapiga makombora ya kutupa kwa mkono.
 
Hpn mkuu mm nilikua shabik wa Barca tu.. Lkn 2009 ndo mahaba yng na City yalianza onekana wazi.

Na ndo tulikua tunaingia pia kwny project ya mwarabu.. Na kiukwl tunafurahia kupata Oil money project yetu imeBooom.
Wewe ni nyumbu bila shaka
 
Watu walalamishi hata kwa maisha hawafanikiwi timu ishinde yanalalamika ikifungwa ndio yanalalamika zaidi fatilien kwa maisha yakawaida yanayolalamika ndio Yana stress we timu gan hutaki ishambuliwe
 
Ndio Maana huwa siwajibu wanaojiita mashabiki eti wa mancity sijui Newcastle Maana kiuhalisia mshabiki wa city ni umri wa mwanangu ,hivo unaweza kuta unajibishana na mwanao

Sasa wewe unakuja humu unatoa kebehi ,angalia unaweza kuta unamtukana baba yako

Mashabiki wa city ninaowajua Wana miaka 7-10


Ni wewe tu Leo nimekujibu sababu umeni quote ,ila kanuni yangu sijibishani na wanaojiita mashabiki wa city au Newcastle
Glory hunter huyo, nenda jukwaa la psg utamuona
 
Mkuu mi nimeanza kushabikia Arsenal enzi forward yetu ni Anelka pale Highbury...zama hzo..mpk tunakuja kizazi cha kina Nwanko Kanu na Henry..Van Persie...podolski...mpk kina Chamakh...Giroud..mpk Sasa tupo hapa...Kila aina ya dhoruba tumepitia...mafanikio hayajengwi kwa siku moja ....tumeanza kuwa na kikosi cha ushindani na tutaanza kubeba makombe hvyo sina wasiwasi....ndo maana nikakuukiza lile swali umeanza lini kushabikia City maana najua walivyoanza kuja kina Tevez ndo hype zikawa juu na mengine yalofata ni history
Naona unajarb kuleta vijisababu bas nikubaliane na ww kua hamkufanyiwa fair sehem zngne.

Lkn nataka kukuuliza saiv swali moja la mwsh.

Je, kikosi chenu msimu huu mko tayar kutuchallenge na mko serious kbs kwenda mguu kwa mguu na sisi.. Na hakuna visingizio vyovyote vile?.

Kama ayo maswali ni ndio bas sitataka mwshn mwa msimu unikimbie natak uwepo hapa nikiwa nawapiga makombora ya kutupa kwa mkono.
 
Ili swali mbona nilishajibu sana hapa na majukwaa mengne.

Kwa kua umeuliza ntajibu tena kwa mara ya mwsh.

Mm nilikua shabik wa Barcelona tu ndo ilikua team yng pekee.. Lkn nikaona sometimes nakosa sana uhondo wa Epl kwa sbb ina amsha amsha na mashabik oya oya wengi.. Bas 2009 ndo nikadevelop interest na City wkt kocha bado akiwa Mark Hughes na team ndo December yake 2009 ndo akapewa Roberto Mancini.
Wewe ni Plastic fan, a.k.a glory hunter
Screenshot_20230725-190042.png
 
Mkuu mi nimeanza kushabikia Arsenal enzi forward yetu ni Anelka pale Highbury...zama hzo..mpk tunakuja kizazi cha kina Nwanko Kanu na Henry..Van Persie...podolski...mpk kina Chamakh...Giroud..mpk Sasa tupo hapa...Kila aina ya dhoruba tumepitia...mafanikio hayajengwi kwa siku moja ....tumeanza kuwa na kikosi cha ushindani na tutaanza kubeba makombe hvyo sina wasiwasi....ndo maana nikakuukiza lile swali umeanza lini kushabikia City maana najua walivyoanza kuja kina Tevez ndo hype zikawa juu na mengine yalofata ni history
Sipangani na ww mkuu.

Lkn jua kwamb ntakusurubu vilivyo kama kawaida.
 
Mfumo aliojaribu arteta leo ni majanga mnoo kwa timu inayopiga counter, yenye kumtumia winga kiberenge.

Kina saliba chini pale walikuwa wanakaa na mpira, anaweza kusimama na mpira mpaka sekunde kadhaa hampasii mwenzie,sijajua ni kwaninj, kuna haja ya kuchangamka.

Kai anaruka ruka, rice anaonesha kitu kadri siku zinavyokwenda.
Hata kama ozil ni lazy huyu kai sijui tumpe sifa gani🤣, leo kuuficha mpira tu tabu kwake🤣.

Nketiah timu si wa kutegemea.

Possession, na chance tulizotengeneza, na magoli tuliyofunga ni vitu viwili tofauti, kwa possession ya 80+% unategemea kuwe na chance created za kutosha, goli za kutosha.
 
Wewe ni Plastic fan, a.k.a glory hunterView attachment 2715832
Unachoshindwa Kujua ni kwmb Alipo Messi, Me nipo ni shabik lia lia wa Messi.

Kwa mfano saiv yuko Miami mm ni shabik pia Wa Inter Miami na Game za alfajir kama sina ratba na Stream vile vile.

Messi ndo mpr wnyw.

Kama ulikua unatafuta kunipiga mawe ulikua hujui tu kua ushabik wangu wa La Pulga ni next level mkuu.
 
Hpn mkuu mm nilikua shabik wa Barca tu.. Lkn 2009 ndo mahaba yng na City yalianza onekana wazi.

Na ndo tulikua tunaingia pia kwny project ya mwarabu.. Na kiukwl tunafurahia kupata Oil money project yetu imeBooom.
Mwaka 2021 ulikua shabiki lialia wa timu Gani??
Screenshot_20230725-185709.png
 
Nilkua shabik lia lia wa Psg kwa sbb ya Messi.. Alipo Messi me nipo.

Hata leo hii wakicheza Inter Miami na Man City.. Ntakua upande wa Messi ashinde.

Nadhan nimekujib swali lako vyema kbs.
Had pale siku Messi anastafu ndo ntabak na Team zng Mbili Barcelona na Man City.

Lkn kwa ss pia ni shabik lia lia wakutupwa wa mda mref sana Wa Inter Miami.
 
Unachoshindwa Kujua ni kwmb Alipo Messi, Me nipo ni shabik lia lia wa Messi.

Kwa mfano saiv yuko Miami mm ni shabik pia Wa Inter Miami na Game za alfajir kama sina ratba na Stream vile vile.

Messi ndo mpr wnyw.

Kama ulikua unatafuta kunipiga mawe ulikua hujui tu kua ushabik wangu wa La Pulga ni next level mkuu.
Kwahiyo Mess alivyoenda PSG, ukaacha kuishabikia Man City kwa muda?
Screenshot_20230725-190042.png
 
Back
Top Bottom