Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,241
- 4,876
Kuna watu humu tuliwaambia kai mmepigwa wakaanza oooh mara mbona tonali nae ni flopyaani maestro tonali unafananisha na ngongoti kai kweliii?.
Tonali na diaby unaona game ya kwanza tu lakini unaona wana kitu na watafanya vizurii epl lakini kuna huyu ngongoti msimu wake wa tatu lakini utadhani ni msimu wa 1.
Kulikua kuna jamaa humu anakuambia diaby anacheza winger na sio verstalite player lakini leo tumemuona kacheza as midfielder.
NB: ushabiki wa mpira hauangalii umri sio bia hio kwamba “ not for sale under 18 “mpira ni kwa watu wote kuna ndezi humu badala alete story za mpira anatuletea story za watoto wake nyumbani
Mkuu wavumilie.. Ww najua unawajua vzr maana ulikua shabik wa team hii.Unajua kbs kuna baadhi ya mashabik ni oya oya na wanaponza wenzao kwa kuwajaza upepo wakihisi lbd wana super team ya kufanya jambo kubwa.
Tuendelee kuwavumilia.. Ndo maama unaona shabik yoyote wa Arsenal mwny akil timamu akijarb kuongea senses za ukwl khs Arsenal hawa wakina Mc na genge lao la wahuni wanamshambulia vikali kwa sbb wao wanatk sikia maneno matamu tu khs Arsenal hawatak upinzan hata kdg.

| Bukayo Saka: