arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,357
- 4,402
Nikuulize mkuu umeanza kushabikia City lini....[emoji23]Mkuu wavumilie.. Ww najua unawajua vzr maana ulikua shabik wa team hii.
Unajua kbs kuna baadhi ya mashabik ni oya oya na wanaponza wenzao kwa kuwajaza upepo wakihisi lbd wana super team ya kufanya jambo kubwa.
Tuendelee kuwavumilia.. Ndo maama unaona shabik yoyote wa Arsenal mwny akil timamu akijarb kuongea senses za ukwl khs Arsenal hawa wakina Mc na genge lao la wahuni wanamshambulia vikali kwa sbb wao wanatk sikia maneno matamu tu khs Arsenal hawatak upinzan hata kdg.