Point ni kwa kai tulisema kuwa mmepigwa kitambo then match ya leo kuna arsenal fans wameanza kukubliana na sisi kuwa sometimes hata “makenge nao huingia mkenge

” . Martineli hajafunga lakini yeah unarizika na performance yake , wewe umerizika na performance ya ngongoti kai?.
Sisi tunamuangalia kai kwasabau mliaminisha umma kuwa kai anachezeshwa nafasi ambayo sio yake ndio maana anakuwa vile , now tukimuona akiwa anacheza nafasi yake hana tofautiiii na yule kai wa chelsea pia tumekubali kuwapa muda tuone maajabu ya kai mkuu wala usiwe na wasiwasi .
Nahisi huyu kai ana kipengele cha kuanzishwa au lazima acheze maana kamaliza zote 90 au ana mganga maana hata chelsea alikua anapiga mwanzo mwisho
