Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 1,093
- 3,151
Halafu kuna mikondoo humu inasema Halland hamna kitu bora jesus!!, ndio mana tunawaonaga hamna akili.
Yaani nilisikitika kabisa kuona ile comment , mtu anakwambia halland mchezaji wa kawaida

sasa kama halland kawaida hawa wakina jesus na Nketiah tuwaite vipi? KDB amekuepo lakini kina aguero na jesus hawajawahi kufika goli 30 , halland tumemuona borrusia dortmund na salzurbg huko na bado alitisha
Gabriel Jesus injury is not as bad as first feared with the player expected back in the gym next week, and then back on the training pitch the week after.