Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yaan unatuchukia majiran ,unashindwa kuwachukia manjesta wapiga kelele
Mateso yanaendelea Leo kwa Wenger orphans.

Msimu huu mtalia sana
1689617744323.jpg
 
🤣🤣🤣🤣....mwaka jana Hawa watoto walipokuja na kina Lindegaard walikula 5 pale Emirates....Sasa leo ongeza 1 lingine...wanakula 6 leo...iwe statement kwa Manyumbu kwmba msipofanya usajili tena mtakuja kutulaumu tu mkija pale
Leo mushinde maana kikosi chenu kimeishajenga chemisty nzuri.
 
Lile ni sahani la kulia ubwabwa tu
Msimu huu wamenunua ubwabwa, FA ikaona bora iwazawadie Sinia la kuwekea ubwabwa.
Wazee wa one season wonder kama kawaida mechi za mchana wa jua kali hua haziwaachi salama.
Pale Nottingham Forest tuna agent wetu Antony Elanga na Straicker la magoli Taiwo awoniyi.
Arsenyau tunawakumbusha tu hawa Forest ni miongoni mwa zile timu zilizowafunga speed governor kwenye zile mechi za mwisho za ligi msimu ulioisha kwa kuwagonga goli 1 - 0 na kuzima ndoto yenu ya kubeba kombe.
1691825767244.jpg
 
Ww weka Kila matokeo ila leo tutatoa statement...maana tukicheza leo zinabaki mechi mbili then mje nyie ndugu zetu....Sasa kitakachowakuta wenzenu leo mkifanyie kazi mapema tusije tukaja kulalamikiana siku ya hukumu yenu pale Emirates
Msimu huu wamenunua ubwabwa, FA ikaona bora iwazawadie Sinia la kuwekea ubwabwa.
Wazee wa one season wonder kama kawaida mechi za mchana wa jua kali hua haziwaachi salama.
Pale Nottingham Forest tuna agent wetu Antony Elanga na Straicker la magoli Taiwo awoniyi.
Arsenyau tunawakumbusha tu hawa Forest ni miongoni mwa zile timu zilizowafunga speed governor kwenye zile mechi za mwisho za ligi msimu ulioisha kwa kuwagonga goli 1 - 0 na kuzima ndoto yenu ya kubeba kombe. View attachment 2715173
 
Ww weka Kila matokeo ila leo tutatoa statement...maana tukicheza leo zinabaki mechi mbili then mje nyie ndugu zetu....Sasa kitakachowakuta wenzenu leo mkifanyie kazi mapema tusije tukaja kulalamikiana siku ya hukumu yenu pale Emirates
Mbona tulishakifanyia kazi tokea Marekani, hatutaki tu vile visababu vyenu vya utetezi visivyo na mashiko baada ya kufungwa kua Man Utd tulikamia mechi.
Tunawaomba mapema kabisa kua kama kukamia mechi ni kitu rahisi na nyie kamieni basi mpate japo draw.
 
Mbona tulishakifanyia kazi tokea Marekani, hatutaki tu vile visababu vyenu vya utetezi visivyo na mashiko baada ya kufungwa kua Man Utd tulikamia mechi.
Tunawaomba mapema kabisa kua kama kukamia mechi ni kitu rahisi na nyie kamieni basi mpate japo draw.
Mechi ya audition tujisumbue...tungekamia siku ile watu wetu wte muhimu wangeumizwa....halafu City tungemdundaje Sasa🤣🤣🤣....nyie Emirates huwa mnakuja kutimiza ratiba tu ila matokeo huwa yanajulikana siku zte
 
Beki wengi hapo wa Nini?
Hii inahitaji beki watatu au wawil wengine wote Kule mbele kupeleka Moto
.
Kama alivyofanywa city kipindi Cha pili
Rowe, trossad, nketiah, odegard, saka, partey.
Watajua wenyewe watajipangaje
 
Drama za usajili

Kuanzia juzi usiku Liverpool alipopeleka ofa kwa Brighton,akaanza kutajwa Kama title Contender

Hiyo Hali imedumu kwa masaa machache ,Chelsea wanarudi ulingoni

Na Sasa wanakaribia kukomba na Lavia ambaye Liverpool alikuwa anategemea

Ndan ya masaa 24 watu wamemtoa Tena Liverpool Kama title Contender
 
EXCL:


Arsenal will receive 5% of the sale of harry kane which was entered in the transfers between academies for future sale of the player. Arsenal set to recieve around £6m if all bonuses are hit
 
Arteta on Declan Rice -

“His way of walking around the place. He’s confident, he’s a leader. He’s someone, already at 24, with a lot of experience that he’s bringing."

“[He has] tons and tons of ambition, and you feel that he wants to play at a different level, and he’s here to win. When players come here with that mentality, it changes the place."

“They are not here just to play well or experience it - the living of being an Arsenal player - you are here to win, and you will do anything to win, and that’s what we want.”

“In a really natural way. He’s a really intelligent person, I think he has the right experience,” he said. “He’s an international player as well, and he needs to forget about that [the price tag]."

“You cannot play to try and justify every ball the £100m that they pay for you. It doesn’t work like that."

“It has to come naturally, he needs to be himself, he’s an exceptional player and he needs to put that for the team in the best possible way.”

(@footballontnt )
 
Back
Top Bottom