Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Drama za usajili

Kuanzia juzi usiku Liverpool alipopeleka ofa kwa Brighton,akaanza kutajwa Kama title Contender

Hiyo Hali imedumu kwa masaa machache ,Chelsea wanarudi ulingoni

Na Sasa wanakaribia kukomba na Lavia ambaye Liverpool alikuwa anategemea

Ndan ya masaa 24 watu wamemtoa Tena Liverpool Kama title Contender
Tajiri miluzi tayari kishaanza kumtibulia Liva.
 
1691831315088.png
 
Drama za usajili

Kuanzia juzi usiku Liverpool alipopeleka ofa kwa Brighton,akaanza kutajwa Kama title Contender

Hiyo Hali imedumu kwa masaa machache ,Chelsea wanarudi ulingoni

Na Sasa wanakaribia kukomba na Lavia ambaye Liverpool alikuwa anategemea

Ndan ya masaa 24 watu wamemtoa Tena Liverpool Kama title Contender
 
Hamu ya kumharakisha Rice kukaa pale kati inafanya Partey awe beki wakati Tomiyasu yupo
 
Nachoona Partey mara nyingi atakua katikati kwenye kuanzisha mashambulizi lazima atausika kwa aslimia kubwa sana

Sent from my CPH2239 using JamiiForums mobile app
Mimi naona hii game itakuwa na fluidity ambayo ni more diffensive uwepo wa saliba,white na timber ambao ni CB na partey ambaye ni DM kwangu hii inaniambia ingawa tunatafuta ushindi lakini tunaangalia usalama kwanza.
Kwa benchmark aliyoiweka jana city ya goli 3 ni kama amewapa presha counterparts wengine na atakayeingia kwa kujilipua asishangae akaacha points kwenye game 1
 
Back
Top Bottom