Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,701
- 13,671
Tajiri miluzi tayari kishaanza kumtibulia Liva.Drama za usajili
Kuanzia juzi usiku Liverpool alipopeleka ofa kwa Brighton,akaanza kutajwa Kama title Contender
Hiyo Hali imedumu kwa masaa machache ,Chelsea wanarudi ulingoni
Na Sasa wanakaribia kukomba na Lavia ambaye Liverpool alikuwa anategemea
Ndan ya masaa 24 watu wamemtoa Tena Liverpool Kama title Contender![]()

