Wajaze wenzio ujinga, hao hao akina mudryk ndio wanakuja kuwatandika. Tena mudryk akiwaweka goli awachokonoe pale pale kwnye kidonda.Ukienda Chelsea ujiandae ku flop mda wwte....lile ni genge la wafukuza upepo...mchezaji akitaka kuchagua timu ya kwenda kucheza na walau akawa ana risk ndogo ya ku flop katika ya Manyumbu na Chelkenge...ntamuona ana akili kama ataenda kwa Manyumbu maana wale ingawa wanafukuza upepo nao ila wanafukuza kwa akili siyo kama kwa Hawa kina Madueke



