arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Wakati mwingine mkiishi vzuri na mchezaji kuna favour mnampa kwny uhamisho wake....ndo haya yalotokeaKuna sauti inaniambia bado Kuna sajili 2 Zaidi
Raya kuitaka Arsenal kumerahisisha dili
Spurs alikataliwa £30m+
Baryen kakataliwa loan
Brentford waungwana Sana ,Wala hawajavutana







