Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna sauti inaniambia bado Kuna sajili 2 Zaidi

Raya kuitaka Arsenal kumerahisisha dili

Spurs alikataliwa £30m+

Baryen kakataliwa loan


Brentford waungwana Sana ,Wala hawajavutana
Wakati mwingine mkiishi vzuri na mchezaji kuna favour mnampa kwny uhamisho wake....ndo haya yalotokea
 
Kuanzia leo ntakua nawasapot wanangu brendford aka nyuki
Wiki mbili zilizopita , baryen alikula za Uso




After new meeting earlier today, talks between FC Bayern and Brentford for David Raya are collapsing — the deal is currently off

Bayern offered loan + option deal — rejected by both player & Brentford.

Arsenal are now interested, as called by @David_Ornstein. No bid yet.
 
Wakati mwingine mkiishi vzuri na mchezaji kuna favour mnampa kwny uhamisho wake....ndo haya yalotokea
Kumbe dili limebadilishwa ,awali Arsenal walishakubali kulipa £30m ,naona wakaona hawatasajili nafasi nyingine sababu ya FFP , hivo Brentford wakarahisisha mambo ndio imekuwa loan ya £3m+ option to buy kwa £27m akifikisha namba fulan za kucheza

Hii inaonesha tupo bado sokon kwa sajili 1 au 2
 
Understand Marquinhos will join Nantes on loan from #AFC for the season. Deal set to be completed in the next 48 hours
 
Kumbe dili limebadilishwa ,awali Arsenal walishakubali kulipa £30m ,naona wakaona hawatasajili nafasi nyingine sababu ya FFP , hivo Brentford wakarahisisha mambo ndio imekuwa loan ya £3m+ option to buy kwa £27m akifikisha namba fulan za kucheza

Hii inaonesha tupo bado sokon kwa sajili 1 au 2
Watawapa hyo hela next window...maana nadhani kabla ya kufikia haya makubaliano mchezaji atakuwa ame activate option ya mwaka mmoja zaidi kwny mkataba wake....rasmi na mm nawaombea Brentford waingie top 4...Manyumbu yamalize wa 7 huko
 
Watawapa hyo hela next window...maana nadhani kabla ya kufikia haya makubaliano mchezaji atakuwa ame activate option ya mwaka mmoja zaidi kwny mkataba wake....rasmi na mm nawaombea Brentford waingie top 4...Manyumbu yamalize wa 7 huko
Yah nimeona ka extend Mwaka Zaidi kwa security ya mkataba wake

Naamini Arsenal wanataka wailipe hiyo hela Mwaka mwingine wa fedha

Manjesta yameshatapeliwa yameuziwa mchezaji kafeli vipimo
 
Understand David Raya will extend his contract at Brentford before completing £3m loan move to #AFC. Arsenal will then have the option to buy for £27m, no obligation. Just like with Odegaard 2.5 years ago, Arsenal keen to try before they buy with Raya.




@ArsenalFC_fl
 
Understand David Raya will extend his contract at Brentford before completing £3m loan move to #AFC. Arsenal will then have the option to buy for £27m, no obligation. Just like with Odegaard 2.5 years ago, Arsenal keen to try before they buy with Raya. More on @ArsenalFC_fl
 
David Raya’s loan move to Arsenal is expected to be in time for him to feature against Nottingham Forest.

Reports, @kayakaynak97.
 
Kuna sauti inaniambia bado Kuna sajili 2 Zaidi

Raya kuitaka Arsenal kumerahisisha dili

Spurs alikataliwa £30m+

Baryen kakataliwa loan


Brentford waungwana Sana ,Wala hawajavutana
Edu deserves massive credit for his work this summer

Edu na Mikel
 
Why another midfielder....we need a RW au tyri washapitisha msaidizi wa Saka ni Nelson....dogo ni mzuri ila pancha nyingi pale
Arsenal tunahitaji LCM sababu ipo wazi harvertz atatumika kama Striker, tetesi za usajili wa douglas Luiz zinaonesha kuwa ndiye alternative ya Moses Caicedo, maana yake Arsenal bado wanamuhitaji Caicedo tatizo bei yake ipo juu sana, in the long run inavyoonekana Declan Rice atarudi kama #6 na ikiwa Luiz atasajiliwa basi atatumika kama LCM.
 
Chukueni hii
Moja kati ya tofauti ya Rambo na Raya

Mipira ya mbali accuracy ya Rambo ni ndogo sana, hii inapelekea kum-term kama mbutuaji

Kwa upande wa Raya mipira ya mbali, Kama anatumia pima maji. Pale pale ulipo inakufikia, au anakusogeze kwa mbele kazi ya saka/martinel itakua ni kutimua mbio tu kuelekea kufunga
 
Yah nimeona ka extend Mwaka Zaidi kwa security ya mkataba wake

Naamini Arsenal wanataka wailipe hiyo hela Mwaka mwingine wa fedha

Manjesta yameshatapeliwa yameuziwa mchezaji kafeli vipimo
Hii deal imekaa kwenye win-win situation kwa pande zote 3,

1: Brentford kama wangekaza muda huu na ilihali mchezaji kabakiza mwaka mmoja tu angeondoka free next summer.
2: Arsenal kachungulia FFP kaona hapa sitoboi na ninahitaji kuongeza mtu mmoja kwaajili ya RW,so edu na Mikel wamechanga karata vizuri sana kwa kuona muda uliobaki kwenye mkataba wa Raya na timu yake.

3: Raya kaona ili asibet hovyo na thamani yangu iwepo palepale ni bora niongeze mkataba walau kwa mwaka mmoja ili niwe kwenye safe zone.

Edu,edu,edu
 
Back
Top Bottom