Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Latest: Luton Town are interested in signing Arsenal defender Rob Holding who's available for £6m. Cedric is wanted by PL & La Liga clubs. Besiktas are in advanced negotiations with #AFC over Nicolas Pepe.
Habari nzuri hizi
 
Latest: Luton Town are interested in signing Arsenal defender Rob Holding who's available for £6m. Cedric is wanted by PL & La Liga clubs. Besiktas are in advanced negotiations with #AFC over Nicolas Pepe.
Hawa watu wasepe tu ili tuongeze mtu mwingine mmoja wa mwisho dirisha hili.
 
Labda wachezaji wa Arsenyau wamuumize kwa makusudi.
Hili jini magoli linajua mpaka linajua tena, asubuhi nilikua naliangalia likiwa linacheza pale Carrington nikajikuta nabubujikwa na machozi ya furaha baada ya kumuona marehemu Edson Arantes do Nasciment (Pele) katika version ya kizungu.
Na ukalia kabisa, mshambuliaji aliepitwa na kiungo mkabaji wa timu yake kwa magoli
 
BREAKING: Inter are losing the race for Folarin Balogun. AS Monaco are firmly in the race and Lens entered the battle yesterday. Reports, @MohamedTERParis.

Tuendelee kushikiria bomba hivihivi hadi watoe hela tunayoitaka.
 
BREAKING: Inter are losing the race for Folarin Balogun. AS Monaco are firmly in the race and Lens entered the battle yesterday. Reports, @MohamedTERParis.

Tuendelee kushikiria bomba hivihivi hadi watoe hela tunayoitaka.
Kabisa mkuu....Inter ni wapumbavu sana
 
BREAKING: Inter are losing the race for Folarin Balogun. AS Monaco are firmly in the race and Lens entered the battle yesterday. Reports, @MohamedTERParis.

Tuendelee kushikiria bomba hivihivi hadi watoe hela tunayoitaka.
Kabisa mkuu ,hizi timu ndogo zinapenda mteremko Sana ,

Ukitaka mchezaji wao wanaropoka €100m
 
Mikel Arteta's spending at Arsenal

January 2020 - £0
Summer 2020 - £81.5m
January 2021 - £900k
Summer 2021 - £156.8m
January 2022 - £0
Summer 2022 - £121.5m
January 2023 - £59m
Summer 2023 - £238m*

Total - £657.7m

Alafu hata haturingi na tuna uhakika wa kufanya makubwa sana kuanzia msimu huu.
 
Kusoma maoni ya wengine ili kutanua uelewa siyo dhambi shida ni inapotokea unachokisoma haukichanganyi na unachokijua na ulichokiona na kukipima na uelewa wako.

Kuna dogo yupo Twitter alianza kwa kumkataa Martinelli alivyotoka hapo akaenda kwa Odegaard kisha akahamia kwa Partey na hajamuachia Partey hadi leo.

Nisiwe muongo washkaji wote waliokua wanasema Partey hafai aondoke hoja walizokua wanatoa walikua wanazitoa kwa huyo dogo anaitwa Nonewthing.

Alivyokuja Jorginho wakasema huyu Partey tulisema hafai na ndiyo anaondoka hivyo ngoja Rice aje. I was quick kusema Rice akija hapa ili kukabidhiwa dimba tutaisha, acha aje Zubimendi haitachukua muda yeye kuadopt.

Nikabishiwa. Rice akaja, nikarudi hapa kusema Partey akiondoka kisa Rice yupo tutakua tunacheza makida makida. Well Rice played and proved what I said, juzi Rice akasifiwa kwakua alisprint kufanya recovery, thats a 100M price tag, unajua nani mwingine alikua anasprint kila mechi dk zote 90? F.u.c.king Torreira.

How much tulimnunua? I hope you see my point. Tumelipa 100M ili tuwe na mrithi LCM? Fvcking LCM? With 100M wewe unatakiwa uwe umenunua orchestrator hapo dimbani, ataamua tempo na rhythm ya timu not a fvcking LCM.

Rice atasubiriwa aadopt
 
David Raya joins Arsenal on initial loan for £3m plus £27m buy option clause — as @TheAthleticFC reported

Brentford accepted this way as it helps Arsenal with Financial Fair Play.

Buy clause, automatically activated after few games otherwise available for #AFC in 2024.
 
EXCLUSIVE: Arsenal 2003 born talent Charlie Patino closing in on loan move to Swansea, here we go! #AFC

Verbal agreement at final stages, club source confirms — details being sorted.

Understand it’s loan until June then back to Arsenal, deal expires in 2025.
 
| Jurrien Timber: “[Working under Mikel Arteta] has been really good, it’s also been intense!

“They expect a lot from you at this club which is good, and I think it makes you better. The training makes you better and also your teammates at the competition here, that all is really good.

“I’m excited, and curious about the Premier League. I’m also excited to play in the Emirates and at different stadiums.

“I’ve settled in pretty good. The club make it easy and the people here are helping me really, well and my teammate too.” [@arsenal] #afc
 
David Raya joins Arsenal on initial loan for £3m plus £27m buy option clause — as @TheAthleticFC reported

Brentford accepted this way as it helps Arsenal with Financial Fair Play.

Buy clause, automatically activated after few games otherwise available for #AFC in 2024.
Shikamoo Edu
 
|| FC Nantes have reached a total agreement with Arsenal for the loan of Marquinhos, there will reportedly be no purchase option. The Arsenal player is scheduled to arrive in France on Friday


@LEquipe].
 
EXCLUSIVE: Arsenal 2003 born talent Charlie Patino closing in on loan move to Swansea, here we go! #AFC

Verbal agreement at final stages, club source confirms — details being sorted.

Understand it’s loan until June then back to Arsenal, deal expires in 2025.
Deal until 2025? Two seasons!
 
Back
Top Bottom