Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hapa ndipo tunamuhitaji sana KUDUS kama yeye anavyotuhitaji.

Nadhani mpk siku ya mwisho wa dirisha la usajili tutegemee suprise yoyote aisee..
Bado naona Kuna surprise Kama mbili naziona ,hili dirisha nilakuziba mianya karibu yote ,

Had January tutakuwa tunamalizia CF
 
M
Fact. Kama KUDUS atakaza na kuonyesha he only wants Arsenal nadhani kuna jambo litatokea.

Nitaumia sana tukimkosa KUDUS, kwasababu hata bei yake ni reasonable kabisa yaani euro 40M inacheza kama kwenye paundi 34M hivi, sidhani kama itatushinda.

Plus kuna surplus to requirements nyingi sana za kuuza jumla na zingine kwa mkopo.
Mimi natumia kigezo kimoja tu Cha kumtaka Kudus:
Brighton wanamtaka. Hawa jamaa wako vizuri katika kutambua vipaji, nadhani kuliko hata sisi.
 
Kabla ya kuhangaika na RCB mi nataka tumlete KUDUS Kwanza.
Kuna Imani inaniambia soon zitaanza kutoka taarifa za kudus ,

Maana mwanzo wa dirisha ,Arsenal walifanya nae mazungumzo, juzi hapa wakafanya nae mazungumzo


Kuna sauti inaniambia siku chache zijazo au tutasikia taarifa ,
 
Kabla ya kuhangaika na RCB mi nataka tumlete KUDUS Kwanza.
Pale Ajax Sasa hivi tuna chawa wetu bwana Sven mislitant

Mwaka Jana alikuwepo Van der sar akatufanyia hujuma ili wampeleke Lisandro manjesta,maana ile ofa yetu waliichelewesha Sana kuikubali au kuikataa ,


Mwaka huu yupo Sven pale ,hata dili la Timber katufanyia wepes

Naiman Kama kweli Kudus yupo kwenye mipango Basi soon tutasikia habari ,ngoja wamalize kuwaondoa Pepe na wenzie ,
 
Arsenal still in the market for one more signing as it stands, likely to be a versatile forward

Outgoings remain the priority currently, more movement is expected soon in that respect

May be something else, but that will be if a market opportunity presents itself
 
Pale Ajax Sasa hivi tuna chawa wetu bwana Sven mislitant

Mwaka Jana alikuwepo Van der sar akatufanyia hujuma ili wampeleke Lisandro manjesta,maana ile ofa yetu waliichelewesha Sana kuikubali au kuikataa ,


Mwaka huu yupo Sven pale ,hata dili la Timber katufanyia wepes

Naiman Kama kweli Kudus yupo kwenye mipango Basi soon tutasikia habari ,ngoja wamalize kuwaondoa Pepe na wenzie ,
Kwhyo dogo Van De Sar alitufanyia fitina😅😅😅...
 
Pale Ajax Sasa hivi tuna chawa wetu bwana Sven mislitant

Mwaka Jana alikuwepo Van der sar akatufanyia hujuma ili wampeleke Lisandro manjesta,maana ile ofa yetu waliichelewesha Sana kuikubali au kuikataa ,


Mwaka huu yupo Sven pale ,hata dili la Timber katufanyia wepes

Naiman Kama kweli Kudus yupo kwenye mipango Basi soon tutasikia habari ,ngoja wamalize kuwaondoa Pepe na wenzie ,
Funny fact.
 
Huyu Jamaa alipoteza pass 2 tu

Takwimu zake hazina tofaut na Saliba
20230808_235658.jpg
 
Mikel Arteta’s influence in negotiations is notable. In his pitch to David Raya, Arteta offered a simple, precise assessment of the goalkeeper’s qualities before explaining how his addition would take the team up another level.


[@jamesbenge] #afc
 
Pale Ajax Sasa hivi tuna chawa wetu bwana Sven mislitant

Mwaka Jana alikuwepo Van der sar akatufanyia hujuma ili wampeleke Lisandro manjesta,maana ile ofa yetu waliichelewesha Sana kuikubali au kuikataa ,


Mwaka huu yupo Sven pale ,hata dili la Timber katufanyia wepes

Naiman Kama kweli Kudus yupo kwenye mipango Basi soon tutasikia habari ,ngoja wamalize kuwaondoa Pepe na wenzie ,
Atuchukulie Mason greenwood pale unyumbuni halafu mwakani atuuzie
 
Arsenal imekataa ofa yenye thamani ya karibu €40m kutoka kwa AS Monaco kwa ajili ya Folarin Balogun.

Klabu hiyo ya Ufaransa itatejea tena kumtaka Mmarekani huyo.

Monaco tayari wana makubaliano na mchezaji huyo.


Ripoti, @FabriceHawkins.
 
Uzuri wa Balogun ni katoka academy na hakuwahi kuwa na mshahara mkubwa. Hivyo hapa ni faida zaidi ya hasara katika kumuachia aende. Tukiweka clauses za kutunufaisha zaidi baadae ni poa pia
Arsenal imekataa ofa yenye thamani ya karibu €40m kutoka kwa AS Monaco kwa ajili ya Folarin Balogun.

Klabu hiyo ya Ufaransa itatejea tena kumtaka Mmarekani huyo.

Monaco tayari wana makubaliano na mchezaji huyo.


Ripoti, @FabriceHawkins.
 
Kama Mkorea anavyowaambiaga, wataita maji mma.
Huku Ramsdale, huku Raya. Teta ball itaua watu. Na hivi Kuna 5 subs...umeshawahi kuona kipa anaingia sub?

Sasa tutakuwa tunamuanzisha Ramsdale wakati mpinzani ana nguvu tunapiga pass zetu fupi to play out from the back na kubuild up taratibu na kufunga magoli machache.

Baadae tunamleta Raya Mzee wa long distance distribution wakati timu zinajitahidi kutushambulia Ili angalau wapate kigoli Cha kufutia machozi. Hapo ndo wanajichanganya, Raya anapokea pasi au anadaka Kona anapiga quality long ball yake yenye ideal projectile na mpira haukawii angani. Projectile moja Kwa Martinelli au Saka wakiwa wametanua uwanja na kutoka nduki kuelekea golini na mabeki washachoka....

Wapinzani tunawahurumia sana
 
Kama Mkorea anavyowaambiaga, wataita maji mma.
Huku Ramsdale, huku Raya. Teta ball itaua watu. Na hivi Kuna 5 subs...umeshawahi kuona kipa anaingia sub?

Sasa tutakuwa tunamuanzisha Ramsdale wakati mpinzani ana nguvu tunapiga pass zetu fupi to play out from the back na kubuild up taratibu na kufunga magoli machache.

Baadae tunamleta Raya Mzee wa long distance distribution wakati timu zinajitahidi kutushambulia Ili angalau wapate kigoli Cha kufutia machozi. Hapo ndo wanajichanganya, Raya anapokea pasi au anadaka Kona anapiga quality long ball yake yenye ideal projectile na mpira haukawii angani. Projectile moja Kwa Martinelli au Saka wakiwa wametanua uwanja na kutoka nduki kuelekea golini na mabeki washachoka....

Wapinzani tunawahurumia sana
🤣🤣🤣🤣....hii Sasa mikwara
 
TETESI

NEW: Arsenal and Tottenham will battle it out to sign Aston Villa midfielder Douglas Luiz before the window shuts. The player wants Arsenal. The Villains value him at £50m.

[@MailOnline & @footyinsider247]
 
TETESI

NEW: Arsenal and Tottenham will battle it out to sign Aston Villa midfielder Douglas Luiz before the window shuts. The player wants Arsenal. The Villains value him at £50m.

[@MailOnline & @footyinsider247]
Why another midfielder....we need a RW au tyri washapitisha msaidizi wa Saka ni Nelson....dogo ni mzuri ila pancha nyingi pale
 
Why another midfielder....we need a RW au tyri washapitisha msaidizi wa Saka ni Nelson....dogo ni mzuri ila pancha nyingi pale
Broo huyu luiz mpira anaujua aisee ata add. Kitu kikubwa arsenal kwangu mm bora yeye kuliko kudus..ana faida nying haswa tayar yupo England lkn anaujua sana mpira tukimuadd app huyu aisee arsenal itazdi kuwa na depth kubwa.
 
Back
Top Bottom