Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyie kwanza mna dhambi kuu ya tokea msimu uliopita kwa kuuhadaa ulimwengu kua lazima mtachukua ndoo, baada ya Mancity kuwafanyia kitu mbaya badala mtubu dhambi zenu mkasingizia fezi foo.
Kabla ya ligi kuanza tunaomba muweke wazi mapema kabisa kua msimu huu mnapambania ubingwa au fezi foo bado haijaisha?
Hatutaki yale mambo ya kubadilishiwa gia angani na kina Mc Masingeli tutapofika mwisho wa msimu.
Dhambi mtubu nyie mliosema hata top 6 hatuingii

Tunachofurahi Sasa mnatuweka nafas za kugombea ubingwa
 
Nyie kwanza mna dhambi kuu ya tokea msimu uliopita kwa kuuhadaa ulimwengu kua lazima mtachukua ndoo, baada ya Mancity kuwafanyia kitu mbaya badala mtubu dhambi zenu mkasingizia fezi foo.
Kabla ya ligi kuanza tunaomba muweke wazi mapema kabisa kua msimu huu mnapambania ubingwa au fezi foo bado haijaisha?
Hatutaki yale mambo ya kubadilishiwa gia angani na kina Mc Masingeli tutapofika mwisho wa msimu.
Naona Atalanta wameshawatapeli wamewauzia Kimeo

Sajili zenu zinanikumbusha ,Simba waliwahi msajili huyu jamaa hapa
FB_IMG_1691562332317.jpg
 
Bukayo Saka 21, William Saliba 22, Jurriën Timber 22, Gabriel Martinelli 22, Emile Smith Rowe 23, Jakub Kiwior 23, Declan Rice 24, Kai Havertz 24, Martin Ødegaard 24

It’s going to be scary, but not for us.


This team is going to rule for years to come
 
Nyie kwanza mna dhambi kuu ya tokea msimu uliopita kwa kuuhadaa ulimwengu kua lazima mtachukua ndoo, baada ya Mancity kuwafanyia kitu mbaya badala mtubu dhambi zenu mkasingizia fezi foo.
Kabla ya ligi kuanza tunaomba muweke wazi mapema kabisa kua msimu huu mnapambania ubingwa au fezi foo bado haijaisha?
Hatutaki yale mambo ya kubadilishiwa gia angani na kina Mc Masingeli tutapofika mwisho wa msimu.
Oya fanyen kumtafuta Vincent abubakari

7hag kashapiga % yake

Sajili zake nyingi Zina utapeli
IMG-20230809-WA0046.jpg
 
Oya fanyen kumtafuta Vincent abubakari

7hag kashapiga % yake

Sajili zake nyingi Zina utapeli View attachment 2712733
Nyie endeleeni tu kudanganyana kwenye hizo platform zenu 3september sio mbali.
Mnyama huyu hapa tulikua nae leo asubuhi mazoezini na katupia kamba za kutosha.
Uzuri wa huyu mwamba sio kufunga magoli tu bali anawafunga mpaka midomo wale wote wanaomuombea mabaya.
1691590736900.jpg
 
Nyie endeleeni tu kudanganyana kwenye hizo platform zenu 3september sio mbali.
Mnyama huyu hapa tulikua nae leo asubuhi mazoezini na katupia kamba za kutosha.
Uzuri wa huyu mwamba sio kufunga magoli tu bali anawafunga mpaka midomo wale wote wanaomuombea mabaya. View attachment 2712773
Mbona sura yake haioneshi furaha kabisa?
 
Nyie endeleeni tu kudanganyana kwenye hizo platform zenu 3september sio mbali.
Mnyama huyu hapa tulikua nae leo asubuhi mazoezini na katupia kamba za kutosha.
Uzuri wa huyu mwamba sio kufunga magoli tu bali anawafunga mpaka midomo wale wote wanaomuombea mabaya. View attachment 2712773
Mchezesheni akutane na wahuni watoneshe hlo jeraha muanze kulialia
 
Mbona sura yake haioneshi furaha kabisa?
Wewe unataka kila picha anayopigwa atokezee anachekacheka ndio unajua mtu yuko na furaha?
Haya hii hapa nyingine anacheka baada ya kufunga na hii ya chini akiwa na demu wake wakivinjari katika jiji la Manchester.
1691591662684.jpg
1691591678782.jpg
 
Mchezesheni akutane na wahuni watoneshe hlo jeraha muanze kulialia
Labda wachezaji wa Arsenyau wamuumize kwa makusudi.
Hili jini magoli linajua mpaka linajua tena, asubuhi nilikua naliangalia likiwa linacheza pale Carrington nikajikuta nabubujikwa na machozi ya furaha baada ya kumuona marehemu Edson Arantes do Nasciment (Pele) katika version ya kizungu.
 
Why another midfielder....we need a RW au tyri washapitisha msaidizi wa Saka ni Nelson....dogo ni mzuri ila pancha nyingi pale
Juve hawajakata tamaa kabisa kumsaka Tom, nadhani huenda ndio sababu ya sisi kumtaka Douglas Luiz..
 
🤣🤣🤣....usifananishe Pele na takataka mkuu...nimeenda kumuangalia Huko YouTube...hyu dogo ni WA kawaida sana...wacha ligi ianze halafu ndo utajua kuwa huu ni usajili mwingine mmepigwa mchana kweupeee
 
Juve hawajakata tamaa kabisa kumsaka Tom, nadhani huenda ndio sababu ya sisi kumtaka Douglas Luiz..
Waache wajifurahishe kuwapa ma journalist cha kuandika....he is not for sale especially baada ya kuonesha kile alichokionesha kwny ngao ya jamii...yaani uhame Nyumba ghorofa ukakae Nyumba ya tope mkuu
 
Juve hawajakata tamaa kabisa kumsaka Tom, nadhani huenda ndio sababu ya sisi kumtaka Douglas Luiz..
DiMarzio anaongea tu, Arteta alishaweka wazi hawawez muuza

Alishafunga mjadala , DiMarzio kwa habari za Arsenal huwa anapuyanga sana
20230809_121150.jpg
 
Nyie endeleeni tu kudanganyana kwenye hizo platform zenu 3september sio mbali.
Mnyama huyu hapa tulikua nae leo asubuhi mazoezini na katupia kamba za kutosha.
Uzuri wa huyu mwamba sio kufunga magoli tu bali anawafunga mpaka midomo wale wote wanaomuombea mabaya. View attachment 2712773
Hapa mmepigwa ,ningeshangaa Sana sajili za Ten hag zisiwe na skendo

Sasa hivi kahamia kwa injury prone Pavard


Garry Neville nae ashaanza kuingia ubaridi

Screenshot_20230809-123400_1.jpg
 
Wewe unataka kila picha anayopigwa atokezee anachekacheka ndio unajua mtu yuko na furaha?
Haya hii hapa nyingine anacheka baada ya kufunga na hii ya chini akiwa na demu wake wakivinjari katika jiji la Manchester. View attachment 2712777View attachment 2712778
Mbona hapo siyo Manchester ni Manzese bro? Hapo tayari Kuna baharia nyuma yao anawafuatilia awapige roba ya mbao pamoja na kujitahidi kwao kuvaa kihovyo hovyo wasionekane Wana pesa. Kwenu ndo uswazi wa England Manzese united nyie
 
| FC Nantes reached a total agreement with Arsenal for Marquinhos loan without a purchase option. The Arsenal player is scheduled to arrive in France on Friday. [@lequipe] #afc
 
Latest: Luton Town are interested in signing Arsenal defender Rob Holding who's available for £6m. Cedric is wanted by PL & La Liga clubs. Besiktas are in advanced negotiations with #AFC over Nicolas Pepe.
 
@ChrisWheatley:

“It’s our understanding that Declan Rice is playing with a slight injury. Imagine now he’s probably playing at about 80 per cent of his level. If he’s playing at 100 per cent of his level, I think he’s going to be one of the best #6’s in the Premier League.”
20230806_210729.jpg
 
Back
Top Bottom