Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Broo huyu luiz mpira anaujua aisee ata add. Kitu kikubwa arsenal kwangu mm bora yeye kuliko kudus..ana faida nying haswa tayar yupo England lkn anaujua sana mpira tukimuadd app huyu aisee arsenal itazdi kuwa na depth kubwa.
Na pia luiz can play as a RW ila sajili za arteta mostly haangalii position yeye anasajili mchezaji anaeyona ata fit na mfumo wake usishangaa pia akawa kaja chukua nafasi ya martineli ambaye kwakwel mm naona sio perfect sana kama watu wanamvyomuona.
 
Na pia luiz can play as a RW ila sajili za arteta mostly haangalii position yeye anasajili mchezaji anaeyona ata fit na mfumo wake usishangaa pia akawa kaja chukua nafasi ya martineli ambaye kwakwel mm naona sio perfect sana kama watu wanamvyomuona.
Mkuu hyu sio typical winger....hyu ni DM au sometimes can play box to box...tuna watu wengi kwny hlo eneo...wengiii...Sasa huwezi chukua watu bila kuangalia mahitaji yko...unless rumors za Georginho kuondoka ziwe kweli ila kwa Sasa tunahitaji typical RW ambaye wkti mwingine anaweza kucheza hata pale katikati...ndo maana profile ya Kudus Ina fit.... Douglas Luiz ni mchezaji mzuri ila kwa Sasa nafasi ni finyu kwa kikosi tulichonacho na ukiangalia vilevile price tag yke
 
Kama Mkorea anavyowaambiaga, wataita maji mma.
Huku Ramsdale, huku Raya. Teta ball itaua watu. Na hivi Kuna 5 subs...umeshawahi kuona kipa anaingia sub?

Sasa tutakuwa tunamuanzisha Ramsdale wakati mpinzani ana nguvu tunapiga pass zetu fupi to play out from the back na kubuild up taratibu na kufunga magoli machache.

Baadae tunamleta Raya Mzee wa long distance distribution wakati timu zinajitahidi kutushambulia Ili angalau wapate kigoli Cha kufutia machozi. Hapo ndo wanajichanganya, Raya anapokea pasi au anadaka Kona anapiga quality long ball yake yenye ideal projectile na mpira haukawii angani. Projectile moja Kwa Martinelli au Saka wakiwa wametanua uwanja na kutoka nduki kuelekea golini na mabeki washachoka....

Wapinzani tunawahurumia sana
Inapigwa projectile motion moja matata Sana yeye martinel kazi yake ni kuukimbiza na kumalizia ku-shoot

Wakitaka pass fupi fupi pia watashughulikiwa

Wakija kwa namna yoyote ile maji wataita mma
 
Nimetoka kwa Ras Simba ngoja nitest mitambo

Aseno fans dont be fooled by Community shield trophy,Remember even loverpool won the tittle but there season turned into a nightmare.

Still wondering how can you celebrate a win while the goal was scored 101 minutes.Trust me u're goin' to have a fxckin worst season ever

Kwako Mwalimu
Kenge kama Kenge
 
Atuchukulie Mason greenwood pale unyumbuni halafu mwakani atuuzie
Kutoka 20:17 BHN

“Usiitamani nyumba ya jirani yako, wala mke wake, wala mtumwa wake wa kiume au wa kike, wala ng'ombe wake, wala punda wake, wala chochote kilicho mali ya jirani yako.”
 
Na pia luiz can play as a RW ila sajili za arteta mostly haangalii position yeye anasajili mchezaji anaeyona ata fit na mfumo wake usishangaa pia akawa kaja chukua nafasi ya martineli ambaye kwakwel mm naona sio perfect sana kama watu wanamvyomuona.
luiz wa aston villa sijawai muona popote akicheza kama RW..
 
Manchester City are exploring a deal to sign Lucas Paqueta from West Ham. No formal offer yet but interest firm + 25yo Brazil international an option #MCFC are looking at to strengthen midfield. #WHUFC do not want to sell. W/ @mjcritchley @TheAthleticFC


Kuna jamaa umu nmemsahau jina alikua ana muhusudu sana huyu jamaa hata kabla hajaenda West ham, na alikua anamuona zaid kwenye LCM kwenye mfumo wa 433 kipindi ichooooo....
 
Manchester City are exploring a deal to sign Lucas Paqueta from West Ham. No formal offer yet but interest firm + 25yo Brazil international an option #MCFC are looking at to strengthen midfield. #WHUFC do not want to sell. W/ @mjcritchley @TheAthleticFC


Kuna jamaa umu nmemsahau jina alikua ana muhusudu sana huyu jamaa hata kabla hajaenda West ham, na alikua anamuona zaid kwenye LCM kwenye mfumo wa 433 kipindi ichooooo....
@Castr nadhani

Binafsi namkubali Sana Bruno Guimares huyu ndio anaweza kukaribia akili na ubongo wa Ikay ,
 
Kima tena mkuu...kuuza au kununua wachezaji ni suala la kawaida tu kwny mpira
Ukisikia shabiki yoyote wa Arsenyo anaitwa kwa nickname ya Kondoo, Kima au Nyani usishtuke mkuu.

*Kondoo inatokana na ile Hashtag yenu ya Arseno ndoo Haaland kiatu so baada ya kuikosa ndoo ndio Hashtag ikabadilika rasmi na kua Arsenyo Kondoo.

*Nyani na Kima ni kitu kimoja inatokana na nickname ya Arsenyani.

Timu 4 kubwa za Epl tumuamua kuzipea majina ya wanyama ili kuleta ufanisi katika yale yanayosadifu matendo yao.

Man Utd a.k.a yake ni Nyumbu
Chelsea a.k.a yake ni Kenge
Liverpool a.k.a yake ni Punda (Liverpunda)
Arsenyo a.k.a yake ni Kondoo au Kima/Nyani.
 
The relationship between Arteta and Thomas Partey is just that of Xhaka and Arteta, not surprised he said he was part of his plans after several rumours of him leaving the club.


Trust the process 🥹
20230809_121150.jpg
 
@Castr nadhani

Binafsi namkubali Sana Bruno Guimares huyu ndio anaweza kukaribia akili na ubongo wa Ikay ,
Bruno G ndio ubongo wa Newcastle, waarabu wa Newcastle ndio wanamtegemea sana katika process ya kuijenga timu, hivyo hata ukienda na £300m zako utapewa jibu tu kua hauzwi.
Newcastle ni vile tu sheria za FFP zinawabana la sivyo dirisha hili la usajili wangefanya kufuru kubwa kama vile wanavyofanya huko kwao Saudia.
 
Bruno G ndio ubongo wa Newcastle, waarabu wa Newcastle ndio wanamtegemea sana katika process ya kuijenga timu, hivyo hata ukienda na £300m zako utapewa jibu tu kua hauzwi.
Newcastle ni vile tu sheria za FFP zinawabana la sivyo dirisha hili la usajili wangefanya kufuru kubwa kama vile wanavyofanya huko kwao Saudia.
Yule jamaa anajua Sana , soon ataenda Madrid ,wanamtaka Sana, Newcastle apambanie Europa safari hii, last season kidogo apelekwe Europa na Liverpool


Halafu yule kocha wa Brazil alivyokuwa mwehu, alikuwa anampiga bench Bruno anamchezesha Paqueta au Fred

Kuna makocha wanavuta bangi
 
HABARI NDIO HIYO

David Raya and Aaron Ramsdale will compete for the No 1 jersey at Arsenal and there will be no automatic first choice

(@MelissaReddy_ / @SkySportsPL )-Tier 1
20230808_192854.jpg
 
Back
Top Bottom