hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,254
- 26,642
Karudi kaanza kiburi anataka awe first choice , bila hivo auzwe ,Wameweka Price tag £45-50mhuyo wa miaka miwili angekuwa humble tu aendelee kucheza ili awe anajitafutia bei, atakuja kuwekwa kwenye benchi mpaka akose timu baadaye shenzy kabisa
Bado anawataka Arsenal washushe chini zaidi
️




