Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Assume wewe ndio football director wa westaham kwa Harry Maguire una bid kwa shilingap?

Acheni utapeli nyumbuz hasira zenu za kupigwa msitafute na nyie wakumpiga[emoji1]
Kwa ushauri wangu Westham wasikubali kulipa zaidi ya £5m kwa Maguire, lakini inawezekana Westham wanamtaka Maguire sio kumchezesha kama beki, huenda wakamuweka mbele akawa stricker maana ukimfatilia vizuri Maguire ana uLukaku ndani yake.
 
Kwa ushauri wangu Westham wasikubali kulipa zaidi ya £5m kwa Maguire, lakini inawezekana Westham wanamtaka Maguire sio kumchezesha kama beki, huenda wakamuweka mbele akawa stricker maana ukimfatilia vizuri Maguire ana uLukaku ndani yake.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Man U wakufukuze ushabiki wa team yao
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Man U wakufukuze ushabiki wa team yao
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mashabiki wa Man Utd karibia wote hua tuko very humble.
Mpira ukiuchukulia kama burudani utakua unaenjoy, ila ukiuchukulia serious sana utakua unakaribisha maradhi ya moyo, kiharusi, depression bila kusahau upungufu wa nguvu za kiume kwenye mwili wako.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mashabiki wa Man Utd karibia wote hua tuko very humble.
Mpira ukiuchukulia kama burudani utakua unaenjoy, ila ukiuchukulia serious sana unakua unakaribisha maradhi ya moyo, kiharusi, depression na upungufu wa nguvu za kiume kwenye mwili wako.
Ni hali tu imewafanya muwe humble, nyie kipindi cha Ferguson mnataka mpaka Valencia na chenga yake moja apewe balloon dor [emoji23][emoji23].

Sahv ni muda wa Terta ball! Be humble guys
 
Ni hali tu imewafanya muwe humble, nyie kipindi cha Ferguson mnataka mpaka Valencia na chenga yake moja apewe balloon dor [emoji23][emoji23].

Sahv ni muda wa Terta ball! Be humble guys
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] kama kua humble kunatokana na hali basi nyinyi Arsenyani mngekua mko humble zaidi yetu maana miaka zaidi ya 20 hamna Epl, mmeenda miaka 7 mfululizo bila kuingia top4, hamjawahi kubeba kombe lolote la ulaya lakini ndio kwanza mnazidi kuchachuka.
Sisi miaka 5 tu iliyopita tumetoka kubeba kombe la Ulaya halafu tuko calm tu kama vile sio sisi.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] kama kua humble kunatokana na hali basi nyinyi Arsenyani mngekua mko humble zaidi yetu maana miaka zaidi ya 20 hamna Epl, mmeenda miaka 7 mfululizo bila kuingia top4, hamjawahi kubeba kombe lolote la ulaya lakini ndio kwanza mnazidi kuchachuka.
Sisi miaka 5 tu iliyopita tumetoka kubeba kombe la Ulaya halafu tuko calm tu kama vile sio sisi.
[emoji23][emoji23][emoji23] sisi ndo tupo humble, basi tu mna wivu na arsenal brand.

Huoni hamtoki hapa?

Eti kombe la ulaya [emoji1787][emoji1787]europa??? Haki nyumbu mmejaliwa midomo
 
[emoji23][emoji23][emoji23] sisi ndo tupo humble, basi tu mna wivu na arsenal brand.

Huoni hamtoki hapa?

Eti kombe la ulaya [emoji1787][emoji1787]europa??? Haki nyumbu mmejaliwa midomo
[emoji16][emoji16][emoji16] sasa wivu utoke wape kwa katimu ambako hakana historia yoyote ya makombe duniani?
Yaani tuionee wivu timu ambayo kabati lake limejazwa kwa misinia ya ngao ya hisani, vikombe vya Emirates na FA kweli?
Kama ni hivyo basi hayo yatakua ni matumizi mabaya ya wivu[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
[emoji16][emoji16][emoji16] sasa wivu utoke wape kwa katimu ambako hakana historia yoyote ya makombe duniani?
Yaani tuionee wivu timu ambayo kabati lake limejazwa kwa misinia ya ngao ya hisani, vikombe vya Emirates na FA kweli?
Kama ni hivyo basi hayo yatakua ni matumizi mabaya ya wivu[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji1787][emoji1787]unaniuliza au unajiuliza
 
Jurrien Timber on what he's noticed about Arteta -

"The way he thinks, the way he makes you better."

(@footballdaily )
 
[emoji16][emoji16][emoji16] sasa wivu utoke wape kwa katimu ambako hakana historia yoyote ya makombe duniani?
Yaani tuionee wivu timu ambayo kabati lake limejazwa kwa misinia ya ngao ya hisani, vikombe vya Emirates na FA kweli?
Kama ni hivyo basi hayo yatakua ni matumizi mabaya ya wivu[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Malalamiko pekekeni polisi

UCL wameanza kuhesabu 1, wewe upo kiembesamaki unasema sio taji
20230807_192825.jpg
 
“I always wanted to play for 𝘼𝙧𝙨𝙚𝙣𝙖𝙡. When the choice came this summer, it wasn’t a hard choice to make.”

Jurrien Timber on leaving Ajax for Arsenal. [emoji1179]
20230808_155749.jpg
 
Community shield anapewa zawad kubwa kuliko mshindi wa Carabao energy drink
Sawa lakini tukubaliane mapema kabisa kua Sinia sio kombe na wala FA wenyewe hilo sinia waliowapea hua hawalihesabii kama ni kombe.

TAHADHARI:
Shabiki yoyote wa Arsenyo ukiulizwa msimu huu mmebeba kombe gani?
Usithubutu kusema tumebeba kombe la community shield.
Kombe litabaki kua kombe na Ngao itaendelea kua Ngao.
 
Jibu lipo wazi, kila siku mnalia lia humu, mnameza piriton ila bado mpo tu [emoji23][emoji23]
Mkuu kuna ule msemo wa kiswahili unaosema "Chizi anaefurahisha hua hatokei kwenu"
Ndio maana tuko humu tukiendelea kufurahia vituko vya chizi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa tusipofurahia vituko vya comedians wa humu unataka twende tukafurahie wapi?
 
Sawa lakini tukubaliane mapema kabisa kua Sinia sio kombo na wala FA wenyewe hilo sinia waliowapea hua hawalihesabii kama ni kombe.

TAHADHARI:
Shabiki yoyote wa Arsenyo ukiulizwa msimu huu mmebeba kombe gani?
Usithubutu kusema tumebeba kombe la community shield.
Kombe litabaki kua kombe na Ngao itaendelea kua Ngao.
Msimu huu mkimaliza top 4 mtakuwa mna bahati sana ndugu zetu
 
Nimetoka kwa Ras Simba ngoja nitest mitambo

Aseno fans dont be fooled by Community shield trophy,Remember even loverpool won the tittle but there season turned into a nightmare.

Still wondering how can you celebrate a win while the goal was scored 101 minutes.Trust me u're goin' to have a fxckin worst season ever

Kwako Mwalimu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom