Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yule jamaa anajua Sana , soon ataenda Madrid ,wanamtaka Sana, Newcastle apambanie Europa safari hii, last season kidogo apelekwe Europa na Liverpool


Halafu yule kocha wa Brazil alivyokuwa mwehu, alikuwa anampiga bench Bruno anamchezesha Paqueta au Fred

Kuna makocha wanavuta bangi
Bruno sidhani kama ataondoka Newcastle kiurahisi Mkuu, Newcastle wenyewe wana mpango wa kumfanya kua Icone wa timu yao kama ilivyokua kwa Alan Shearer na Michael Owen.
 
EXCLUSIVE

Arteta amewaambia wachezaji wa Arsenal anataka washindane kwa kiwango cha juu kati yao katika kila nafasi ikiwa wanatarajia kushinda mara kwa mara mataji makubwa.

Inafahamika kuwa Ramsdale atakaribisha changamoto ya kuchuana na Raya na klabu inaamini itawasukuma makipa wote wawili kuinua viwango vyao.

Source : (@MelissaReddy_ )

skysports.com

 
Bruno sidhani kama ataondoka Newcastle kiurahisi Mkuu, Newcastle wenyewe wana mpango wa kumfanya kua Icone wa timu yao kama ilivyokua kwa Alan Shearer na Michael Owen.
Ni ngumu kwakweli, maana Madrid walijaribu last season wakashindwa
 
Raya vs Ramsdale
20230809_123910.jpg
 
Matt Turner has been registered by Nottingham Forest in time to face Arsenal this Saturday.

(@TikiTakaConnor )
 
Yule jamaa anajua Sana , soon ataenda Madrid ,wanamtaka Sana, Newcastle apambanie Europa safari hii, last season kidogo apelekwe Europa na Liverpool


Halafu yule kocha wa Brazil alivyokuwa mwehu, alikuwa anampiga bench Bruno anamchezesha Paqueta au Fred

Kuna makocha wanavuta bangi
hata mm nilishangaa sana aisee
 
Na pia luiz can play as a RW ila sajili za arteta mostly haangalii position yeye anasajili mchezaji anaeyona ata fit na mfumo wake usishangaa pia akawa kaja chukua nafasi ya martineli ambaye kwakwel mm naona sio perfect sana kama watu wanamvyomuona.

Mkuu unasema humkubali martineli???

Mi naona martineli ndo engine ya asenal pale mbele asee.

Ukiangalia kasi alokua nayo, jinsi anavyosumbua beki za wapinzani kule mbele dah

Martinel kwa mtazamo wangu ni muhimu sanaaa kwa arsenal !!!
 
Ukisikia shabiki yoyote wa Arsenyo anaitwa kwa nickname ya Kondoo, Kima au Nyani usishtuke mkuu.

*Kondoo inatokana na ile Hashtag yenu ya Arseno ndoo Haaland kiatu so baada ya kuikosa ndoo ndio Hashtag ikabadilika rasmi na kua Arsenyo Kondoo.

*Nyani na Kima ni kitu kimoja inatokana na nickname ya Arsenyani.

Timu 4 kubwa za Epl tumuamua kuzipea majina ya wanyama ili kuleta ufanisi katika yale yanayosadifu matendo yao.

Man Utd a.k.a yake ni Nyumbu
Chelsea a.k.a yake ni Kenge
Liverpool a.k.a yake ni Punda (Liverpunda)
Arsenyo a.k.a yake ni Kondoo au Kima/Nyani.
Arsenal anabaki kuwa na aka arsenal NDOO

sema mmeamua kulazimisha mizani i-balance tu
 
Arsenal and Brentford are exchanging contracts today for David Raya deal — medical tests booked on Thursday, if all goes to plan with documents timing

️ Raya will sign this week his #AFC deal valid until June 2028.
 
Nasikia Kane akiuzwa Baryen Kuna Pesa Arsenal tunapata

Aliondoka academy ya Arsenal ,Kuna % iliwekwa

| If Kane were to leave #Spurs, he would prefer his boyhood club to get a fee out of it 󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿

@SamiMokbel81_DM
 
Nasikia Kane akiuzwa Baryen Kuna Pesa Arsenal tunapata

Aliondoka academy ya Arsenal ,Kuna % iliwekwa

| If Kane were to leave #Spurs, he would prefer his boyhood club to get a fee out of it 󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿

@SamiMokbel81_DM
Kwmba anatuonesha shukrani kwa kumlea na ubonge wake kipindi kile😅😅😅
 
Kutoka 20:17 BHN

“Usiitamani nyumba ya jirani yako, wala mke wake, wala mtumwa wake wa kiume au wa kike, wala ng'ombe wake, wala punda wake, wala chochote kilicho mali ya jirani yako.”
Nyie mnatamani kikosi chetu chote mpaka Arteta na Edu na tajiri mwembamba wetu wawe kwenu. Sisi tunamtaka greenwood pekee. labda na Bruno. Sasa yupi mwenye dhambi nyingi kati yetu?
 
Nyie mnatamani kikosi chetu chote mpaka Arteta na Edu na tajiri mwembamba wetu wawe kwenu. Sisi tunamtaka greenwood pekee. labda na Bruno. Sasa yupi mwenye dhambi nyingi kati yetu?
Nyie kwanza mna dhambi kuu ya tokea msimu uliopita kwa kuuhadaa ulimwengu kua lazima mtachukua ndoo, baada ya Mancity kuwafanyia kitu mbaya badala mtubu dhambi zenu mkasingizia fezi foo.
Kabla ya ligi kuanza tunaomba muweke wazi mapema kabisa kua msimu huu mnapambania ubingwa au fezi foo bado haijaisha?
Hatutaki yale mambo ya kubadilishiwa gia angani na kina Mc Masingeli tutapofika mwisho wa msimu.
 
Nyie kwanza mna dhambi kuu ya tokea msimu uliopita kwa kuuhadaa ulimwengu kua lazima mtachukua ndoo, baada ya Mancity kuwafanyia kitu mbaya badala mtubu dhambi zenu mkasingizia fezi foo.
Kabla ya ligi kuanza tunaomba muweke wazi mapema kabisa kua msimu huu mnapambania ubingwa au fezi foo bado haijaisha?
Hatutaki yale mambo ya kubadilishiwa gia angani na kina Mc Masingeli tutapofika mwisho wa msimu.
Mkuu fezi foo Bado hata haijaanza. kugombea ubingwa ni fezi srii ambayo ndiyo hii. Ukituona tu tumebeba kombe ujue fezi foo hiyo
 
Back
Top Bottom