hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,661
- 27,520
Ni ngumu kwakweli, maana Madrid walijaribu last season wakashindwaBruno sidhani kama ataondoka Newcastle kiurahisi Mkuu, Newcastle wenyewe wana mpango wa kumfanya kua Icone wa timu yao kama ilivyokua kwa Alan Shearer na Michael Owen.