Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Bruno sidhani kama ataondoka Newcastle kiurahisi Mkuu, Newcastle wenyewe wana mpango wa kumfanya kua Icone wa timu yao kama ilivyokua kwa Alan Shearer na Michael Owen.Yule jamaa anajua Sana , soon ataenda Madrid ,wanamtaka Sana, Newcastle apambanie Europa safari hii, last season kidogo apelekwe Europa na Liverpool
Halafu yule kocha wa Brazil alivyokuwa mwehu, alikuwa anampiga bench Bruno anamchezesha Paqueta au Fred
Kuna makocha wanavuta bangi
EXCLUSIVE
Arteta amewaambia wachezaji wa Arsenal anataka washindane kwa kiwango cha juu kati yao katika kila nafasi ikiwa wanatarajia kushinda mara kwa mara mataji makubwa.



| If Kane were to leave #Spurs, he would prefer his boyhood club to get a fee out of it 

