Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

hawa wazee wa false hope tuwachukulie tu hivyohivyo, hizi bashasha na hopes zao za mwanzo wa ligi hua zinawafanyaga wanateseka sana inapofika mwisho wa msimu.
Malalamiko pekekeni polisi
20230806_210722.jpg
 
sema hawa wanangu wenyewe wazee wa teta ball burudani kwa wote, chini ya Tactician Mikel Arteta the Masterclass hua nawakubali kinyama jinsi wanavyokuwaga na maconfidence wakati ligi inavyoanza.
Huyo shoga yenu mnayeachaga timu zenu mnaanza kumshangilia

Ilifika muda akawekewa 1-3-6 ,ukaanza kupigwa wimbo wa UTATOA HUTOI
20230807_092346.jpg
 
Ofa ya ada kwa Balogun ya euro 30m na nyongeza za milioni 5 na asilimia kubwa ya mauzo kwa kipengele cha Arsenal kuwasili wiki hii.

Hata hivyo Arsenal itamuuza kwa dau la juu zaidi na Lens pia wanamtaka mchezaji huyo.

Hata hivyo Balogun anataka kwenda Inter.


(@Gazzetta_it )
 
Malalamiko pekekeni polisiView attachment 2711120
Safi sana hilo ni picha moja la kibabe sana, yaani ni picha la kutisha, hizi sasa ndio sajili za kuchukua mpaka Uefa msimu huu chini ya The Masterclass wenyewe Tactician Mikel Arteta
Hongereni sana Gunners, msimu huu Chelkenge, Nyumbu, Liverpunda na mliMancity watateseka sana na Teta ball pira biriani burudani kwa wote
 
Safi sana hilo ni picha moja la kibabe sana, yaani ni picha la kutisha, hizi sasa ndio sajili za kuchukua mpaka Uefa msimu huu chini ya Tactician Mikel Arteta the Masterclass.
Hongereni sana Gunners, msimu huu Chelkenge, Nyumbu, Liverpunda na mliMancity watateseka sana na Teta ball pira biriani burudani kwa wote
Ewaaaa
20230806_213424.jpg
 
Nilichogundua flano, unaikubali Sana the Gunner chama la Wana
unyumbuni utaaga vipi?, ndio swali linakuumiza
Gunners ni wanangu sana tu, nakumbuka kipindi nipo O'level nilikua nakaa dawati moja na gunner halafu alikua ni mwanangu kinyama, kipindi hicho Arsenyo alikua ni kama mchepuko wetu wa kudumu yaani simu moja tu tayari kashatangulia magetoni iwe Trafford au Highbury unamkuta tayari kasaula,
anagongwa bao zake za kutosha kisha anasubiria simu nyingine.
Sasa huyu msela wangu kila Arsenyo ikifungwa na Utd alikua haji kabisa shule maana anajua habari atakayoipata kutoka kwa Le captain Flano Maguire.
 
Gunners ni wanangu sana tu, nakumbuka kipindi nipo O'level nilikua nakaa dawati moja na gunner halafu alikua ni mwanangu kinyama halafu kipindi hicho sasa Arsenyo alikua ni kama mchepuko wetu yaani simu moja tu tayari kashatangulia magetoni unamkuta kasaula mpaka nguo.
Timu sio kabila njoo huku kwenye teta ball, burudani inatandazwa soka safi
 
sema hawa wanangu wenyewe wazee wa teta ball burudani kwa wote, chini ya Tactician Mikel Arteta the Masterclass hua nawakubali kinyama jinsi wanavyokuwaga na maconfidence wakati ligi inavyoanza.
Mwanangu sisi mpira tunaujua na tunaujua tena. Tunaweza na tukauweza tena. Ingawa tunazinguaga kijinga sana pumbavu zetu ila asili yetu kama arsenal ni kujua boli Mzee. Yaani tunajua boli mnooo
 
Ukiona mtu anashabikia Manyumbu na Chelkenge fatilia hata normal life yake utakuta ni watu wa vuruguvurugu maana hzi ndo timu ndo zinacho offer
Mwanangu sisi mpira tunaujua na tunaujua tena. Tunaweza na tukauweza tena. Ingawa tunazinguaga kijinga sana pumbavu zetu ila asili yetu kama arsenal ni kujua boli Mzee. Yaani tunajua boli mnooo
 
Back
Top Bottom