hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,286
- 26,689
Malalamiko pekekeni polisihawa wazee wa false hope tuwachukulie tu hivyohivyo, hizi bashasha na hopes zao za mwanzo wa ligi hua zinawafanyaga wanateseka sana inapofika mwisho wa msimu.
Malalamiko pekekeni polisihawa wazee wa false hope tuwachukulie tu hivyohivyo, hizi bashasha na hopes zao za mwanzo wa ligi hua zinawafanyaga wanateseka sana inapofika mwisho wa msimu.
Huyo shoga yenu mnayeachaga timu zenu mnaanza kumshangiliasema hawa wanangu wenyewe wazee wa teta ball burudani kwa wote, chini ya Tactician Mikel Arteta the Masterclass hua nawakubali kinyama jinsi wanavyokuwaga na maconfidence wakati ligi inavyoanza.
Ofa ya ada kwa Balogun ya euro 30m na nyongeza za milioni 5 na asilimia kubwa ya mauzo kwa kipengele cha Arsenal kuwasili wiki hii.
Hata hivyo Arsenal itamuuza kwa dau la juu zaidi na Lens pia wanamtaka mchezaji huyo.
Hata hivyo Balogun anataka kwenda Inter. 

Wape vidonge vyaoMalalamiko pekekeni polisiView attachment 2711120
Safi sana hilo ni picha moja la kibabe sana, yaani ni picha la kutisha, hizi sasa ndio sajili za kuchukua mpaka Uefa msimu huu chini ya The Masterclass wenyewe Tactician Mikel ArtetaMalalamiko pekekeni polisiView attachment 2711120




EwaaaaSafi sana hilo ni picha moja la kibabe sana, yaani ni picha la kutisha, hizi sasa ndio sajili za kuchukua mpaka Uefa msimu huu chini ya Tactician Mikel Arteta the Masterclass.
Hongereni sana Gunners, msimu huu Chelkenge, Nyumbu, Liverpunda na mliMancity watateseka sana na Teta ball pira biriani burudani kwa wote![]()
Kama vipi tupewe kombe letu kabisa kabla ligi haijaanza, maana msimu huu haina kupoa ni barafu mwanzo mwisho mpaka tunamaliza ligi.
Yap , Raya soon anatinga Uzi
Kwasasa hata Carabao ambalo manjesta analitolea macho tunaweka full squad ,dharau zimezidi sana




mkuu acha kuwatisha nyumbuzKatika kombora tatu za mbali, moja ni goalN
Ndo maana nikasema Kwa sasa tutaanza mazoezi ya kupiga magoli ya mbali




Nilichogundua flano, unaikubali Sana the Gunner chama la WanaKama vipi tupewe kombe letu kabisa kabla ligi haijaanza, maana msimu huu haina kupoa ni barafu mwanzo mwisho mpaka tunamaliza ligi. View attachment 2711132



Nilichogundua flano, unaikubali Sana the Gunner chama la Wana
unyumbuni utaaga vipi?, ndio swali linakuumiza![]()



Gunners ni wanangu sana tu, nakumbuka kipindi nipo O'level nilikua nakaa dawati moja na gunner halafu alikua ni mwanangu kinyama, kipindi hicho Arsenyo alikua ni kama mchepuko wetu wa kudumu yaani simu moja tu tayari kashatangulia magetoni iwe Trafford au Highbury unamkuta tayari kasaula, Sasa eti Omama akutane na vitu vya design hii from 30 yards out. si tutamuua Kwa pressure yule dogo?Perfection
View attachment 2711137
Timu sio kabila njoo huku kwenye teta ball, burudani inatandazwa soka safiGunners ni wanangu sana tu, nakumbuka kipindi nipo O'level nilikua nakaa dawati moja na gunner halafu alikua ni mwanangu kinyama halafu kipindi hicho sasa Arsenyo alikua ni kama mchepuko wetu yaani simu moja tu tayari kashatangulia magetoni unamkuta kasaula mpaka nguo.
Mwanangu sisi mpira tunaujua na tunaujua tena. Tunaweza na tukauweza tena. Ingawa tunazinguaga kijinga sana pumbavu zetu ila asili yetu kama arsenal ni kujua boli Mzee. Yaani tunajua boli mnooosema hawa wanangu wenyewe wazee wa teta ball burudani kwa wote, chini ya Tactician Mikel Arteta the Masterclass hua nawakubali kinyama jinsi wanavyokuwaga na maconfidence wakati ligi inavyoanza.
Mrembo tu yule alibana akaachia. Kwenye penati mweupe kama cocaine tukajibebea sinia letu la pilau kiulainiiiHuyo shoga yenu mnayeachaga timu zenu mnaanza kumshangilia
Ilifika muda akawekewa 1-3-6 ,ukaanza kupigwa wimbo wa UTATOA HUTOIView attachment 2711123
Mwanangu sisi mpira tunaujua na tunaujua tena. Tunaweza na tukauweza tena. Ingawa tunazinguaga kijinga sana pumbavu zetu ila asili yetu kama arsenal ni kujua boli Mzee. Yaani tunajua boli mnooo