hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,313
- 26,716
Sasa huo Wembley yanachezwa hasa makombe gani Kama sio domestic cupsHizo prize money kwa makombe yote madogomadogo FA, carabao, ngao n.k kwa timu kubwa kama Man utd hua tunachukulia kama bonanza tu maana bajeti ya timu kwa matumizi ya siku moja tu hua ni mara mbili ya hizo pesa.
Ila kutumia uwanja wa Wembley mara 12 kwa kushinda ngao na FA ni matumizi mabaya ya huo uwanja wa Taifa.
FA,FA COMMUNITY SHIELD,CARABAO
Sky sport News


kwa sporting mlishindwa kupishana ndo mnaweza kumfunga bayern nyinyi au Liverpool au psg kuna first and second leg huko uefa mnaweza game ya kwanza mkapishana vizuriii then game ya pili mkala 4,5 au 6.