Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hizo prize money kwa makombe yote madogomadogo FA, carabao, ngao n.k kwa timu kubwa kama Man utd hua tunachukulia kama bonanza tu maana bajeti ya timu kwa matumizi ya siku moja tu hua ni mara mbili ya hizo pesa.
Ila kutumia uwanja wa Wembley mara 12 kwa kushinda ngao na FA ni matumizi mabaya ya huo uwanja wa Taifa.
Sasa huo Wembley yanachezwa hasa makombe gani Kama sio domestic cups

FA,FA COMMUNITY SHIELD,CARABAO
 
Sky sport News

Arsenal have rejected a bid from Monaco for striker Folarin Balogun. Arsenal value the player at £50m and Monaco offer fell short. Inter Milan are expected to push to sign Balogun. Balogun has 2 years left on his contract and would like a permanent move away from the club. #AFC
 
Sasa huo Wembley yanachezwa hasa makombe gani Kama sio domestic cups

FA,FA COMMUNITY SHIELD,CARABAO
Ndio matumizi yenyewe mabaya ninayo kuambia, hapo Wembley kwa timu zinazojilewa wameshakabidhiwa makombe ya Uefa na Europa.
Na msimu huu 2023/2024 Uefa final inapigwa hapohapo Wembley ambapo nyinyi mnapanajisi kwa vikombe vyenu vya mbuzi na hizo ngao.
 
Oya unafananisha Arsenal hii ya Asali na maziwa na ile ya miaka mitatu minne iliyopita ?

Unafananisha Arsenal hii iliyomchezea shoga enu mama cita , 1-3-6 ,huku wimbo wa UTATOA HUTOI ukiimbwaView attachment 2711032
Yani wanafananisha The gunners ya Tactician wa mpira Mikel Arteta the Masterclass, na Ile ya Mzee Wenger mwishonimwishoni
 
Hizi timu zinalia umaskini,zinamtaka balogun kwa less than £45-50m

Wao ukitaka mchezaji wao wakawaida zinataka €100m

Angalia Atalanta , Hojlund mchezaji wakawaida tu , goals 9 mechi 32 , yameuza kwa €85m

Goncalo Ramos , Ligi ureno rank ya 6 , ameuzwa €80m
 
Monaco nao walitoa ngapi....nao Wana ukata kama wa Inter😅😅
Hizi timu zinalia umaskini,zinamtaka balogun kwa less than £45-50m

Wao ukitaka mchezaji wao wakawaida zinataka €100m

Angalia Atalanta , Hojlund mchezaji wakawaida tu , goals 9 mechi 32 , yameuza kwa €85m

Goncalo Ramos , Ligi ureno rank ya 6 , ameuzwa €80m
 
Ni kweli tulikaa juu kwa mda mrefu na aliyetutoa alibeba makombe matatu makubwa it means alikuwa strong kuliko sisi mentally na kikosi Chao kilikuwa na depth ya kutosha....ndo maana tukatafuta watu kwny maeneo pungufu....kwa misimu sita Man City wamebeba kombe mara Tano Liver alijitutumimua ndo akabeba kombe mara moja pamoja na kuwa na prime ya kina Salah...Mane na firmino....hvyo only Man City is the only team to beat this time around....Sasa unapokuja kuanza kunijazia pumba hmu za kina Newcastle sijui mara Chelkenge nakuona kama hujielewi ndo maana nasema tena na narudia....mlicho achieve mwaka jana ndo mwanzo na mwsho....mchezaji mmojammoja tu mliyenaye tukisema tufanye comparison na wachezaji wengine wa vilabu vikubwa bdo mpo mbali sana kuwafikia....ndo maana nikakuambia fanyeni recruitment nzuri mcheze mzozeane kwa misimu 3 walau....ndo mje Sasa lakini sasahv kuja kushindana na sisi hapa bdo sana....narudia tena level zenu ni kina Brentford

Sawa mkuu mwezi ndo huu umefika tusubiri tuone kumbuka tu pale arsenal hakuna mchezaji aliyemzidi wilson kwa magoli, timu iliyofungwa goli chache ni Newcastle na hata game zake alizocheza na bingwa man city alionyesha kabisa anaweza kupambana nae sio kama wewe unakula vyuma 3 mara vyuma 4 .

Wewe unafikiri ulicho achieve kuwa tittle bottlers utakipata tena ? Kwa hawa kina kai na Nketiah? Msijeanza kutukana tu hapa, kama unajiona wewe ni bora kuliko Newcastle basi sawa.
 
Ndio matumizi yenyewe mabaya ninayo kuambia, hapo Wembley kwa timu zinazojilewa wameshakabidhiwa makombe ya Uefa na Europa.
Na msimu huu 2023/2024 Uefa final inapigwa hapohapo Wembley ambapo nyinyi mnapanajisi kwa vikombe vyenu vya mbuzi na hizo ngao.
Elewa kwamba tukifika tu hii fainali....Kwa kuwa ni uwanja wetu wa nyumbani, jua tunabeba kombe
 
Sawa mkuu mwezi ndo huu umefika tusubiri tuone kumbuka tu pale arsenal hakuna mchezaji aliyemzidi wilson kwa magoli, timu iliyofungwa goli chache ni Newcastle na hata game zake alizocheza na bingwa man city alionyesha kabisa anaweza kupambana nae sio kama wewe unakula vyuma 3 mara vyuma 4 .

Wewe unafikiri ulicho achieve kuwa tittle bottlers utakipata tena ? Kwa hawa kina kai na Nketiah? Msijeanza kutukana tu hapa, kama unajiona wewe ni bora kuliko Newcastle basi sawa.
Ww ongea yte....ila mi nimeshakueleza...suala la kupambana na sisi halipo...bado watoto wadogo sana nyny...bdo sana....nafasi zenu ni za 8 huko kushuka chini
 
Sawa mkuu mwezi ndo huu umefika tusubiri tuone kumbuka tu pale arsenal hakuna mchezaji aliyemzidi wilson kwa magoli, timu iliyofungwa goli chache ni Newcastle na hata game zake alizocheza na bingwa man city alionyesha kabisa anaweza kupambana nae sio kama wewe unakula vyuma 3 mara vyuma 4 .

Wewe unafikiri ulicho achieve kuwa tittle bottlers utakipata tena ? Kwa hawa kina kai na Nketiah? Msijeanza kutukana tu hapa, kama unajiona wewe ni bora kuliko Newcastle basi sawa.
Mkuu umesahau na beki ya Maghalasa a.k.a kichwa cha bata
 
BREAKING:

Arsenal have turned down a formal offer from AS Monaco for Folarin Balogun. [@David_Ornstein]

Monaco had an opening verbal proposal for the USMNT international rejected following a pre-season friendly between the clubs last week

Ashaanza kua deal, kugombewa na vilabu zaid ya viwili sio mbaya
 
Mkuu umesahau na beki ya Maghalasa a.k.a kichwa cha bata

beki akishika mpira tu anatetemeka anakutana na madogo janja kina gordon, garnacho na pellestiri si ndo kabisa itakuwa vituko.

Kuna mwamba hapo juu anakuambia tukifika fainali yani kushinda hio shilingi 5 anafikiri uefa ni sehemu ya vituko sijuiii yani europa tu kashindwa kufika ndo afike fainali ya uefa.
 
beki akishika mpira tu anatetemeka anakutana na madogo janja kina gordon, garnacho na pellestiri si ndo kabisa itakuwa vituko.

Kuna mwamba hapo juu anakuambia tukifika fainali yani kushinda hio shilingi 5 anafikiri uefa ni sehemu ya vituko sijuiii yani europa tu kashindwa kufika ndo afike fainali ya uefa.
hawa wazee wa false hope tuwachukulie tu hivyohivyo, hizi bashasha na hopes zao za mwanzo wa ligi hua zinawafanyaga wanateseka sana inapofika mwisho wa msimu.
 
beki akishika mpira tu anatetemeka anakutana na madogo janja kina gordon, garnacho na pellestiri si ndo kabisa itakuwa vituko.

Kuna mwamba hapo juu anakuambia tukifika fainali yani kushinda hio shilingi 5 anafikiri uefa ni sehemu ya vituko sijuiii yani europa tu kashindwa kufika ndo afike fainali ya uefa.
Ubaya wenu mna mapungufu ya akili,mentality zetu zimegana hata mabadiliko yanayotokea kiuchezaji hamuwezi kuyaona,kimfumo hamuwezi kuyaona, mnazani arsenal ndo ile ile ya kumaliza nafasi ya 8 kwenye msimamo, badilisheni izo mentality na mkubali ukweli uliopo,

Ivyo viporo mlivyokua mmeviandaa jana kama tungepoteza pasingetosha humu.
 
eti fainali wakati mnatolewa mapema tu kwenye makundi.
Hivi nyie maArsenyau mnafikiria Uefa ni kama Ngao au Fa?
Sisi tukisikia tu fainali ni Wembley inatutosha kufika. Na tukifika tu Kila aliye na pumzi anajua kitachotokea
 
Ubaya wenu mna mapungufu ya akili,mentality zetu zimegana hata mabadiliko yanayotokea kiuchezaji hamuwezi kuyaona,kimfumo hamuwezi kuyaona, mnazani arsenal ndo ile ile ya kumaliza nafasi ya 8 kwenye msimamo, badilisheni izo mentality na mkubali ukweli uliopo,

Ivyo viporo mlivyokua mmeviandaa jana kama tungepoteza pasingetosha humu.

Wazee wakupishana sio kwa sporting mlishindwa kupishana ndo mnaweza kumfunga bayern nyinyi au Liverpool au psg kuna first and second leg huko uefa mnaweza game ya kwanza mkapishana vizuriii then game ya pili mkala 4,5 au 6.

Uchezaji gani huu wa kina havertz au Nketiah sio? Timu imebakisha game 10 halafu ipo 8 points ahead inacheza jumapili to j2 lakini ikashindwa kuchukua kombe ndo ije kuchukua kombe saivi kweli?
 
Wazee wakupishana sio kwa sporting mlishindwa kupishana ndo mnaweza kumfunga bayern nyinyi au Liverpool au psg kuna first and second leg huko uefa mnaweza game ya kwanza mkapishana vizuriii then game ya pili mkala 4,5 au 6.

Uchezaji gani huu wa kina havertz au Nketiah sio? Timu imebakisha game 10 halafu ipo 8 points ahead inacheza jumapili to j2 lakini ikashindwa kuchukua kombe ndo ije kuchukua kombe saivi kweli?
sema hawa wanangu wenyewe wazee wa teta ball burudani kwa wote, chini ya Tactician Mikel Arteta the Masterclass hua nawakubali kinyama jinsi wanavyokuwaga na maconfidence wakati ligi inavyoanza.
 
Back
Top Bottom