Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hujaelewa hata nilichoongea kama kawaida umerukia...kwhyo ukiwa na hela ndo unakuwa na vurugu...akili za wapi hzi....zimebaki siku kadhaa muanze kuona nafasi mtakazoshika huko chini....level ya kina Brentford na Fulham huko

Wewe una hisi ni vurugu lakini hizo sio vurugu hizo ni furaha ambazo kwenye mpira huwa zipo ila wewe ndo ukiangalia kwa unyonge wako unaona ni vurugu . Huwezi kushangilia kombe kinyonge mkuu tatizo huna experience ya kushangilia kombe ndo maana huwezi kuelewa, mtu anaweza kushangilia ubingwa kwa kupanda juu ya meza kurusharusha viti au vinywaji juu kupiga mziki au kelele kwa sauti ya juu sasa arsenal fans mkiona ivyo mnajua ni vurugu kisa tu hamna uzoefu wa kuwa champions.
Angalia grealish na other players wa city walivyokuwa wanafanya unakuta KDB anafanya press conference wanakuja na kelele na speaker wanapiga kelele wanamwangia pombe na vitu vingine sasa trophless fan kama arsenal mkiona vile mnajua fujo
 
Wewe una hisi ni vurugu lakini hizo sio vurugu hizo ni furaha ambazo kwenye mpira huwa zipo ila wewe ndo ukiangalia kwa unyonge wako unaona ni vurugu . Huwezi kushangilia kombe kinyonge mkuu tatizo huna experience ya kushangilia kombe ndo maana huwezi kuelewa, mtu anaweza kushangilia ubingwa kwa kupanda juu ya meza kurusharusha viti au vinywaji juu kupiga mziki au kelele kwa sauti ya juu sasa arsenal fans mkiona ivyo mnajua ni vurugu kisa tu hamna uzoefu wa kuwa champions.
Angalia grealish na other players wa city walivyokuwa wanafanya unakuta KDB anafanya press conference wanakuja na kelele na speaker wanapiga kelele wanamwangia pombe na vitu vingine sasa trophless fan kama arsenal mkiona vile mnajua fujo
Bado hujanielewa tena...unazidi kukurupuka....anyway basi wacha tuende kwa level ya uelewa wako...sawa sisi hatuna makombe ndo maana hatuna vurugu basi tufanye hvyo mkuu😅😅😅
 
15 points clearly
IMG-20230807-WA0032.jpg
 
Bado hujanielewa tena...unazidi kukurupuka....anyway basi wacha tuende kwa level ya uelewa wako...sawa sisi hatuna makombe ndo maana hatuna vurugu basi tufanye hvyo mkuu

Kwani mkuu arsenal nyie mna kombe ivi unajua toka 2004 ni almost 20 years ushangiliaji ni tofauti kabisa wa sasa na kipindi icho cha kina viera na lauren maya huko na kina pascal cygan unaongelea makombe ya 2 decades nyuma mzee. Miaka 20 unaichukuliaje ?
 
Nyny Newcastle mmechukua lini mara ya mwsho kwni maana naona unataka tuanze kuongelea historia sasa
Kwani mkuu arsenal nyie mna kombe ivi unajua toka 2004 ni almost 20 years ushangiliaji ni tofauti kabisa wa sasa na kipindi icho cha kina viera na lauren maya huko na kina pascal cygan unaongelea makombe ya 2 decades nyuma mzee. Miaka 20 unaichukuliaje ?
 
Arsenal pressing structure/adaptation against Man City:

  • flat 4-4-2 low/mid block
  • Havertz force GK to one side, wingers narrow
  • Rice push high/Odegaard cover shadow pivot
  • Partey screen between the lines

Restrict central access and block wide zone.

 
Kwani mkuu arsenal nyie mna kombe ivi unajua toka 2004 ni almost 20 years ushangiliaji ni tofauti kabisa wa sasa na kipindi icho cha kina viera na lauren maya huko na kina pascal cygan unaongelea makombe ya 2 decades nyuma mzee. Miaka 20 unaichukuliaje ?
Mwanangu Labyrinth 84 wewe Asenyo unaijua nje ndani ndio maana hii misukule inakuchukia kinyama, yaani bora hata sisi wa Unyumbuni kidogo tunapendwa.
Labyrinth usije ukathubutu kukaa meza moja na mashabiki wa Arsenyo kisha ukanyanyuka na kuwaachia glass ya maji ukaenda msalani, na ukienda kibanda umiza usikubali kukaribishwa kinywaji chochote na haya maArsenyau.
 
Elneny amebadilishiwa majukumu au maana yy haponagi....anakula hela ya bure tu hyu muhuni
Elneny ni mchezaji muaminifu kwa klabu amekuwa halalamik hata anapokosa nafas ,ni mtu muhimu dressing room ,

Anasomea ukocha ,field anafanyia kwa academy,
 
Back
Top Bottom