Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 1,093
- 3,151
Hujaelewa hata nilichoongea kama kawaida umerukia...kwhyo ukiwa na hela ndo unakuwa na vurugu...akili za wapi hzi....zimebaki siku kadhaa muanze kuona nafasi mtakazoshika huko chini....level ya kina Brentford na Fulham huko
Wewe una hisi ni vurugu lakini hizo sio vurugu hizo ni furaha ambazo kwenye mpira huwa zipo ila wewe ndo ukiangalia kwa unyonge wako unaona ni vurugu . Huwezi kushangilia kombe kinyonge mkuu tatizo huna experience ya kushangilia kombe ndo maana huwezi kuelewa, mtu anaweza kushangilia ubingwa kwa kupanda juu ya meza kurusharusha viti au vinywaji juu kupiga mziki au kelele kwa sauti ya juu sasa arsenal fans mkiona ivyo mnajua ni vurugu kisa tu hamna uzoefu wa kuwa champions.
Angalia grealish na other players wa city walivyokuwa wanafanya unakuta KDB anafanya press conference wanakuja na kelele na speaker wanapiga kelele wanamwangia pombe na vitu vingine sasa trophless fan kama arsenal mkiona vile mnajua fujo




