Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yap , Raya soon anatinga Uzi

Kwasasa hata Carabao ambalo manjesta analitolea macho tunaweka full squad ,dharau zimezidi sana
Tatizo letu ni kuwa soon team itajaa vyuma kiasi kwamba huwezi kusema ipi full squad na ipi siyo. Wapinzani wataona tunawaonea tunawapangia masquad magumu kumbe ndiyo hivyo tu hatuna wachezaji wabovu, we can't help it.
 
Tatizo letu ni kuwa soon team itajaa vyuma kiasi kwamba huwezi kusema ipi full squad na ipi siyo. Wapinzani wataona tunawaonea tunawapangia masquad magumu kumbe ndiyo hivyo tu hatuna wachezaji wabovu, we can't help it.
Bado naona tutaongeza Beki hasa wakati , RW ,

Holding, Pepe,balogun, Cedric, Hawa wanatakiwa kuondoka kuachia nafas za wapya
 
Bado naona tutaongeza Beki hasa wakati , RW ,

Holding, Pepe,balogun, Cedric, Hawa wanatakiwa kuondoka kuachia nafas za wapya
Hivi mpk sasahv Cedric na mwanae Tavares wanasubiri nini....naona wapo wamejikausha tuli kama wapo kwny mipango ya timu vile...waende hata Ureno huko wakajipigie promo wapate timu...sisi wakija watu serious tutawapa bure kabisa Hawa jamaa na ikiwezekana na Holding juu tutawaongezea
 
Au hata Manyumbu sijui yanasuburi nini yaje tuyape Holding free kabisa achukue nafasi ya Captain fantastic Magwaya ambaye anachomesha Kila siku...Holding atawasaidia sana pale nyuma
Hivi mpk sasahv Cedric na mwanae Tavares wanasubiri nini....naona wapo wamejikausha tuli kama wapo kwny mipango ya timu vile...waende hata Ureno huko wakajipigie promo wapate timu...sisi wakija watu serious tutawapa bure kabisa Hawa jamaa na ikiwezekana na Holding juu tutawaongezea
 
Zinchenko kuhusu Saliba

"Sikuwa namfahamu kabla sijaja Arsenal, nilipomuona kutoka kwenye mazoezi, nilisema huyu ni nani?

Hafanyi makosa. Kisha wiki chache baadaye akafunga bao la kushangaza kwa mguu wake wa kushoto, nilishika kichwa changu nikisema "Mtu huyu anaweza kufanya kila kitu"
20230801_183221.jpg
 
Hivi mpk sasahv Cedric na mwanae Tavares wanasubiri nini....naona wapo wamejikausha tuli kama wapo kwny mipango ya timu vile...waende hata Ureno huko wakajipigie promo wapate timu...sisi wakija watu serious tutawapa bure kabisa Hawa jamaa na ikiwezekana na Holding juu tutawaongezea
Hao wameshaambiwa hawapo kwenye mipango ya timu ,hivo mawakala wao lazima wafait kuwatafutia timu
 
| Arsenal midfielder Jorginho is understood to have no intention of leaving the club this summer.

Telegraph Sport understands that Jorginho is keen to stay and fight for his place in the team amid reports in Turkey that he wants to move in this transfer window.

[@SamJDean, @TelegraphSport] #afc
 
Wazee wakupishana sio kwa sporting mlishindwa kupishana ndo mnaweza kumfunga bayern nyinyi au Liverpool au psg kuna first and second leg huko uefa mnaweza game ya kwanza mkapishana vizuriii then game ya pili mkala 4,5 au 6.

Uchezaji gani huu wa kina havertz au Nketiah sio? Timu imebakisha game 10 halafu ipo 8 points ahead inacheza jumapili to j2 lakini ikashindwa kuchukua kombe ndo ije kuchukua kombe saivi kweli?
Naposema upungufu wa akili ndo huu sasa!! Unategemea kuna timu ya kushinda game zoooooote duniani??? Ivi kwa unavyoona hao unaowataja wanauwezo wa kucheza na sisi na wakatufanya unavyowaza et 5? Hahaha kweli chuki ni mbaya sana hao unaowataja wamebaki majina ya timu tu ila kiuhalisia hakunamo timu ya kututisha hapo. Timu pekee ya kututisha sisi tukienda uwanjani ni City ya pep tu wala sio izo timu zenu zilizochoka.
 
Mwanangu sisi mpira tunaujua na tunaujua tena. Tunaweza na tukauweza tena. Ingawa tunazinguaga kijinga sana pumbavu zetu ila asili yetu kama arsenal ni kujua boli Mzee. Yaani tunajua boli mnooo

hilo tu hatukatai mnabidi mjue ball na makombe pia myajue kama man city anajua vyote ukitaka pasi zinapigwa na goli plus makombe. Sasa nyie mnapiga pasi mpaka golini then holla!!
Nakumbuka game 1 vs Leicester city under unai emery mlipiga sexy football mpaka ozil ikabidi aseme hatujawahi kucheza sexy
IMG_1627.jpg

football kama hiii . Nilikua naangalia hii game nikanyoosha mikono kwa ball lilipogwa hapo but at the end of season tunaangalia trophies only ndo maana jose anaheshimika hana mpira wa maana ila at the end kabati la timu linakuwa na trophies.
 
Ukiona mtu anashabikia Manyumbu na Chelkenge fatilia hata normal life yake utakuta ni watu wa vuruguvurugu maana hzi ndo timu ndo zinacho offer

Na anayeshabikia Arsenal always anakua mnyonge sana. Unaanza vipi kufanya vurugu wakati huna kombe si utapigwa vibao asee, yaani ni vile kama kikao cha ukoo wewe ndo huna hela , kuchangia unakosa unakuwa unaona wanafanya vurugu mtu anakwambia “ tuvunje hii nyumba tujenge nyingine hii imechoka “ kwa ambae hana hata mia si vurugu hizo sasa ndo kama kwenye mpira
 
Ni wehu pekee ndio watakubaliana na hiyo mambo. Sema mungu na refa alikua upande wenu. Manavyodanganyana hapa kama mliupga mwiiiiingi kondoo nyie.
Unashinda humu kutafuta furaha kuliko jukwaa lenu la ukengeni

Kuanzia wiki ijayo mkianza kugombea kushuka daraja hutaonekana humu

Tafuta furaha Mara ya mwisho mwisho
 
Naposema upungufu wa akili ndo huu sasa!! Unategemea kuna timu ya kushinda game zoooooote duniani??? Ivi kwa unavyoona hao unaowataja wanauwezo wa kucheza na sisi na wakatufanya unavyowaza et 5? Hahaha kweli chuki ni mbaya sana hao unaowataja wamebaki majina ya timu tu ila kiuhalisia hakunamo timu ya kututisha hapo. Timu pekee ya kututisha sisi tukienda uwanjani ni City ya pep tu wala sio izo timu zenu zilizochoka.
Chuki zimewajaa Hadi huruma ,

Wamepiga ramli Jana zimegoma ,chuki ndio zimezidi Mara Mia

Yaan mtu anamtaja PSG . .

Barcelona tulimuonjesha kidogo ,Xavi akalia

Ndio maaana daily nasema watu wanabwabwaja hawaangalii timu nyingine ,mtu mpaka leo anaamini Baryen ,Madrid ,Barcelona zinatisha , ndio Maana last season Mancity aliwabonda huko UCL hakuwa na mpinzani

Hizo timu zimechoka na tunazifatilia kwa ukaribu Sana Kama baryen wanahaha wampate Kane angalau warud kwenye ubora , Madrid bila kumpata mbappe ni wakawaida , Barcelona ndio huyo ilikuwa tumfumue Goli 7

Timu ya kusumbua ni city ambaye Jana tumegawana vipindi

Huwa nacheka Sana mtu anawataja Baryen, Barcelona akidhan ni zile zile za miaka 10 iliyopita
 
Naposema upungufu wa akili ndo huu sasa!! Unategemea kuna timu ya kushinda game zoooooote duniani??? Ivi kwa unavyoona hao unaowataja wanauwezo wa kucheza na sisi na wakatufanya unavyowaza et 5? Hahaha kweli chuki ni mbaya sana hao unaowataja wamebaki majina ya timu tu ila kiuhalisia hakunamo timu ya kututisha hapo. Timu pekee ya kututisha sisi tukienda uwanjani ni City ya pep tu wala sio izo timu zenu zilizochoka.

Wapi nimesema game zote, hakuna timu inayoshinda game zote ila naongelea kushinda game 10 tu uwe bingwa ukashindwa just only 10 games to go and upo na points 8 ahead still ukachoma .
Real madrid ana uwezo wakukupiga 4+ wewe usione kapigika na man city then na wewe ukaja kichwa kichwa tu utaumia sana.

Arsenal mkijitahidi sana uefa mnaishia nafasi yenu ya siku zote Round 16 , ngoja nikujuze tu kidogo the last time arsenal kacheza robo fainali uefa ni 2009/2010
 
Na anayeshabikia Arsenal always anakua mnyonge sana. Unaanza vipi kufanya vurugu wakati huna kombe si utapigwa vibao asee, yaani ni vile kama kikao cha ukoo wewe ndo huna hela , kuchangia unakosa unakuwa unaona wanafanya vurugu mtu anakwambia “ tuvunje hii nyumba tujenge nyingine hii imechoka “ kwa ambae hana hata mia si vurugu hizo sasa ndo kama kwenye mpira
Hujaelewa hata nilichoongea kama kawaida umerukia...kwhyo ukiwa na hela ndo unakuwa na vurugu...akili za wapi hzi😅😅😅....zimebaki siku kadhaa muanze kuona nafasi mtakazoshika huko chini....level ya kina Brentford na Fulham huko
 
Back
Top Bottom