Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kipindi wanatufunga sisi tukiwa dhaifu mbona wao walikuwa hawaombei tuwe strong.....Ubaya Ubaya tu...Kama waarabu wanamtaka Salah wamchukue haraka sana ..ikiwezekana Salah agome alazimishe kuondoka...Manyumbu yabaki hvihvi yasipate wachezaji wengine wa maana .....Chelsea wabaki na kikundi Chao cha ma Rasta hivihivi...Man City De Bruyne aumie mwaka mzima...ikiwezekana na Rodri naye aumie mda mrefu...
Hakuna watu wenye stress kama mashabiki wa arsenal ..
 
Hakuna watu wenye stress kama mashabiki wa arsenal ..
Stress zitoke wapi mkuu....hakuna watu wanaopigwa vita kama Arsenal mpk unajiuliza haya mashambulizi yte ni ya nn....sio Liverkuku sio Manyumbu sio Chelkenge sio Man shittyy yaani wte tena kama Shitty walivyobeba UEFA tu ndo imezidi na wao wanajiona bonge la timu lenye history kubwa kumbe ni vitoto ambavyo 2009 tu hapo vilikuwa havieleweki...vimetumia mihela vikaanza kupata mafanikio vinashupaza shingo....Sasa tumekaribia kujenga timu imara...bado Saini chache sana tuanze kuoneshana makali....jana ilikuwa ni bonanza tu...tukutane EPL....Bernado Silva alazimishe kuondoka...De Bruyne aumie mwaka mzima....Rodri avunjike kabisa....Ubaya Ubaya tu
 
Kipindi wanatufunga sisi tukiwa dhaifu mbona wao walikuwa hawaombei tuwe strong.....Ubaya Ubaya tu...Kama waarabu wanamtaka Salah wamchukue haraka sana ..ikiwezekana Salah agome alazimishe kuondoka...Manyumbu yabaki hvihvi yasipate wachezaji wengine wa maana .....Chelsea wabaki na kikundi Chao cha ma Rasta hivihivi...Man City De Bruyne aumie mwaka mzima...ikiwezekana na Rodri naye aumie mda mrefu...
Nakubaliana na wewe mkuu, yaani tuwaombee wawe vzr ili iweje?

Kutwa wanatupiga mawe humu ,ubaya ubaya tu,

Ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga
 
Stress zitoke wapi mkuu....hakuna watu wanaopigwa vita kama Arsenal mpk unajiuliza haya mashambulizi yte ni ya nn....sio Liverkuku sio Manyumbu sio Chelkenge sio Man shittyy yaani wte tena kama Shitty walivyobeba UEFA tu ndo imezidi na wao wanajiona bonge la timu lenye history kubwa kumbe ni vitoto ambavyo 2009 tu hapo vilikuwa havieleweki...vimetumia mihela vikaanza kupata mafanikio vinashupaza shingo....Sasa tumekaribia kujenga timu imara...bado Saini chache sana tuanze kuoneshana makali....jana ilikuwa ni bonanza tu...tukutane EPL....Bernado Silva alazimishe kuondoka...De Bruyne aumie mwaka mzima....Rodri avunjike kabisa....Ubaya Ubaya tu
Wanatuandama ,then tuwaombee mema ,Hakuna kitu kama hicho

Jino kwa jino Kama torati isemavyo

Yule jamaa wa livakuku kaja Jana mapema kutusumbua humu na kukebehi, Sasa msaudia yupo Uingereza Sasa anataka aondoke na Salah wanayemtegemea ,maana ukimtoa salah ,wengine pale mbele Tia maji Tia maji .
 
Kuna muda tuliingiza Midfielders wote ,beki nyuma akabaki Saliba ,wengine wote mbele

Mfumo ukawa 1-3-6

Pale ndipo ukapigwa wimbo UTATOA HUTOI ,
20230807_092346.jpg
 
Nakubaliana na wewe mkuu, yaani tuwaombee wawe vzr ili iweje?

Kutwa wanatupiga mawe humu ,ubaya ubaya tu,

Ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga
Tujiulize hapa 2008 kushuka chini Man Shitty walikuwa na nn...kilikuwa ni kikundi tu cha wafanya jogging pale Uingereza...hawakuwa na history yyte ile...Chelkenge ndo walikuwa wamepata tajiri anamwaga mihela wakaanza kuonja ladha ya makombe...Manyumbu ndo Yana haki ya kubweka kidogo sababu ya Sir Alex Ferguson....kuna kipindi Evra alikuwa anatuchana kwmba kugombea ubingwa tena bdo sana kwakuwa timu ytu Ina watoto wengi na ulikuwa ni ukweli mchungu...na tulikuwa tukikutana na Man U wanatu bully kwlikwli....sasahv watoto wachache....wanaume wengi....tuchezeni mpira....ashinde anayetandaza soka safi....ize tu
 
Baada ya miaka sita UEFA kuwa unfollow,Sasa wamewafollow Tena arsenal na wamewapost mmewin community shield
 
Tujiulize hapa 2008 kushuka chini Man Shitty walikuwa na nn...kilikuwa ni kikundi tu cha wafanya jogging pale Uingereza...hawakuwa na history yyte ile...Chelkenge ndo walikuwa wamepata tajiri anamwaga mihela wakaanza kuonja ladha ya makombe...Manyumbu ndo Yana haki ya kubweka kidogo sababu ya Sir Alex Ferguson....kuna kipindi Evra alikuwa anatuchana kwmba kugombea ubingwa tena bdo sana kwakuwa timu ytu Ina watoto wengi na ulikuwa ni ukweli mchungu...na tulikuwa tukikutana na Man U wanatu bully kwlikwli....sasahv watoto wachache....wanaume wengi....tuchezeni mpira....ashinde anayetandaza soka safi....ize tu
Utaumia Sana kama unaishi Kwa kuaangalia nyuma ...utateseka Sana focus bro focus mbele ....hio ni zaidi ya maika 15 imepita ...
 
️ | Balogun Wants Inter Move.

Arsenal striker Folarin Balogun is pushing for a move to Inter Milan this summer. He has already informed the Arsenal management regarding his preferred destination.

Inter are lining up a £35m offer for the US international. The Gunners still want £50m.

Arsenal in no rush to sell. West Ham and Crystal Palace also interested.
 
Hvyohvyo...hakuna kufata presha za mchezaji...vigezo vizingatiwe
️ | Balogun Wants Inter Move.

Arsenal striker Folarin Balogun is pushing for a move to Inter Milan this summer. He has already informed the Arsenal management regarding his preferred destination.

Inter are lining up a £35m offer for the US international. The Gunners still want £50m.

Arsenal in no rush to sell. West Ham and Crystal Palace also interested.
 
Tujiulize hapa 2008 kushuka chini Man Shitty walikuwa na nn...kilikuwa ni kikundi tu cha wafanya jogging pale Uingereza...hawakuwa na history yyte ile...Chelkenge ndo walikuwa wamepata tajiri anamwaga mihela wakaanza kuonja ladha ya makombe...Manyumbu ndo Yana haki ya kubweka kidogo sababu ya Sir Alex Ferguson....kuna kipindi Evra alikuwa anatuchana kwmba kugombea ubingwa tena bdo sana kwakuwa timu ytu Ina watoto wengi na ulikuwa ni ukweli mchungu...na tulikuwa tukikutana na Man U wanatu bully kwlikwli....sasahv watoto wachache....wanaume wengi....tuchezeni mpira....ashinde anayetandaza soka safi....ize tu
Manjesta ndio maana napenda battle lao , Hawa ni wakongwe wa EPL

Ndio manaa baada ya Wenger kuondoka , manjesta tumekuwa tukiwapiga na wao wanashinda kwao, na mwaka juz tumebeba points 6 kwao ,huo ni mwanzo,
 
William Saliba's game by numbers vs. Man City:

96% pass accuracy
86 touches
74 passes
6 passes into final ⅓
6 x possession won
4 clearances
4 duels won
2 tackles made
0 fouls

Rolls Royce.
20230801_172807.jpg
 
Stress zitoke wapi mkuu....hakuna watu wanaopigwa vita kama Arsenal mpk unajiuliza haya mashambulizi yte ni ya nn....sio Liverkuku sio Manyumbu sio Chelkenge sio Man shittyy yaani wte tena kama Shitty walivyobeba UEFA tu ndo imezidi na wao wanajiona bonge la timu lenye history kubwa kumbe ni vitoto ambavyo 2009 tu hapo vilikuwa havieleweki...vimetumia mihela vikaanza kupata mafanikio vinashupaza shingo....Sasa tumekaribia kujenga timu imara...bado Saini chache sana tuanze kuoneshana makali....jana ilikuwa ni bonanza tu...tukutane EPL....Bernado Silva alazimishe kuondoka...De Bruyne aumie mwaka mzima....Rodri avunjike kabisa....Ubaya Ubaya tu
Wasaudia wapo macho kutufanyia hizi kazi

The Saudi Pro League is plotting a major raid on the Premier League next summer!

Top of their list of targets is Kevin de Bruyne!

(Source: @MirrorFootball)
 
Wasaudia wapo macho kutufanyia hizi kazi

The Saudi Pro League is plotting a major raid on the Premier League next summer!

Top of their list of targets is Kevin de Bruyne!

(Source: @MirrorFootball)
Ndo maana Guardiola anang'aka...wao Wana target wachezaji wenye Miaka kuanzia 29 kwenda mbele...atafute damu mpya..kina De Bruyne itafika Rodri na kina Akanji wte watataka kwenda kuchota mihela ya mwshomwsho kwa waarabu huko...kwhyo kipara aingie sokoni atafute wachezaji mapema
 


FabrizioRomano:


“Hali ya Folarin Balogun ni ngumu. Ni ngumu kumuona akisalia Arsenal msimu huu wa joto.

"Mchezaji anataka kuondoka, na anataka changamoto, pamoja na mkataba wa kudumu kwa sababu anahisi Gabriel Jesus atakuwa chaguo la kwanza kila wakati chini ya Mikel Arteta, na Eddie Nketiah bila shaka ndiye msaidizi.

"Kwa hivyo ni hisia za pande zote, kila mtu anayehusika anataka kupata suluhisho. Kwa hakika Inter Milan itarejea na kujaribu kumsajili Balogun tena.


"Vyanzo vilivyo karibu na mazungumzo vinatarajia haitakuwa rahisi lakini wanataka kujaribu tena wiki hii."

[@caughtoffside]

 
Ndo maana Guardiola anang'aka...wao Wana target wachezaji wenye Miaka kuanzia 29 kwenda mbele...atafute damu mpya..kina De Bruyne itafika Rodri na kina Akanji wte watataka kwenda kuchota mihela ya mwshomwsho kwa waarabu huko...kwhyo kipara aingie sokoni atafute wachezaji mapema
Mimi nasema hivi wasaudia wamwage hela , klopp nae anapiga kelele

Subiri Salah awekewe €45m kwa mwaka Kama ataziachia
 
Ivany Toney au Ivan Ferguson wa Brighton nafikiri one day watahusika pale Emirates

Binafsi natamani sanaa Toney aje pale atafiti vzr Sana.,

Kocha wa Brentford mwaka Jana alisema Toney watamuuza £100m ,

He needs us and We need Him.
 


FabrizioRomano:


“Hali ya Folarin Balogun ni ngumu. Ni ngumu kumuona akisalia Arsenal msimu huu wa joto.

"Mchezaji anataka kuondoka, na anataka changamoto, pamoja na mkataba wa kudumu kwa sababu anahisi Gabriel Jesus atakuwa chaguo la kwanza kila wakati chini ya Mikel Arteta, na Eddie Nketiah bila shaka ndiye msaidizi.

"Kwa hivyo ni hisia za pande zote, kila mtu anayehusika anataka kupata suluhisho. Kwa hakika Inter Milan itarejea na kujaribu kumsajili Balogun tena.


"Vyanzo vilivyo karibu na mazungumzo vinatarajia haitakuwa rahisi lakini wanataka kujaribu tena wiki hii."

[@caughtoffside]

Waje na hela...waache manenomaneno...sisi tunauza ila wafikie au kukaribia dau...ize tu
 
Back
Top Bottom