Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Maoni yangu style of play na Manchester city:
1. Achana naye. Kaa nyuma, vizia counter kama wananjanjajana orijino manyumbu.
2. Komaa naye. Kama unataka kuwa the best katika possession based football na Kuna mpinzani wako Bora kuliko wewe, basi pambana mpaka umfikie level yake na umpite.

Sasa tuamue tu kukomaa mpaka kieleweke au tusijisumbue Kwa City mpaka Pep aondoke?
 
Maoni yangu style of play na Manchester city:
1. Achana naye. Kaa nyuma, vizia counter kama wananjanjajana orijino manyumbu.
2. Komaa naye. Kama unataka kuwa the best katika possession based football na Kuna mpinzani wako Bora kuliko wewe, basi pambana mpaka umfikie level yake na umpite.

Sasa tuamue tu kukomaa mpaka kieleweke au tusijisumbue Kwa City mpaka Pep aondoke?
Sion Arteta akicheza mpira wa kimanjesta ,

Hawa ni kukomaa nao kumiliki mpira ,nafasi zitumike vzr tu,

2020 ndio ilikuwa mwisho kukaa nyuma labda tuzidiwe
 
Mazoezi magumu

Jorginho missing through a slight muscle injury. Not a serious one.
 
Maoni yangu style of play na Manchester city:
1. Achana naye. Kaa nyuma, vizia counter kama wananjanjajana orijino manyumbu.
2. Komaa naye. Kama unataka kuwa the best katika possession based football na Kuna mpinzani wako Bora kuliko wewe, basi pambana mpaka umfikie level yake na umpite.

Sasa tuamue tu kukomaa mpaka kieleweke au tusijisumbue Kwa City mpaka Pep aondoke?
Na ndio maana arteta anatumia leo 4-2-3-1 hio system huwa ni yakuvizia na kupiga mtu ...aka transitional progressive and defensive counter attack football philosophy
Kwa wanangu wa man utd tunaelewa hilo pira letu
 
Mwanangu Kai ,akiwasili kufanya yake
20230806_172409.jpg
 
Most valuable squad in the world inacheza leo

Chukua kina manjesta,namungo, Kitayosye, Gwambina , Chelsea ,Mancity, Barcelona ,n.k

Ambaye squad yake ina gharama anacheza Leo pale Wembley
Baadae Ila usikimbie hapa maana tumekuzoea.

Weka prediction yako leo

Mimi yangu

Wenger orphans 0 vs Manchester City 2
 
Baadae Ila usikimbie hapa maana tumekuzoea.

Weka prediction yako leo

Mimi yangu

Wenger orphans 0 vs Manchester City 2
Wewe mwenyewe Arsenal ikishinda huonekani humu

Kila mtu achague upande wake

Halafu mna mechi yenu ,why mmejazana huku
 
Asenali anavita ngumu sana dhidi ya man siti kuliko baadhi ya mashabiki humu ndani wanavyoongelea😂😂😂.

Asenali kumfunga man siti itabidi awe na ufanisi mkubwa kwenye kumalizia nafasi nakwenye kuzuia 😂😂😂

Kuna uwezekano Mpaka sasa hamna hamna haland anagoli tayari na gabriel/ramzidaleee anamchomo😂
 
Rice kwenye LCM

Havertz kwenye False 9


Pre season yooote kweli wamecheza kwenye nafasi izo?

Troussard mara nyingi kapata nafasi na kaonyesha kitu kikubwa sana why hajampa nafasi leo kwenye nafasi ile ile


Au leo Arteta kaamua ajilipue tu.

Ngoja tuone
 
Back
Top Bottom