Mkuu RW back up ni Reiss Nelson...hli ndo naloliona...sioni mtu mwingine tukimnyatiaWelcome Raya to Arsenal
Bado sajili 2
RW na RCB
Mimi nipo happy na Nelson ,shida yake injuryMkuu RW back up ni Reiss Nelson...hli ndo naloliona...sioni mtu mwingine tukimnyatia
Sioni sajili 3 zikikamilika tena may be 1 au mbili tu.Welcome Raya to Arsenal
Bado sajili 2
RW na RCB
Yaani una miaka zaidi ya 10 hata draw haujawahi kupata kwa City kila siku unachezea vipigo tu halafu unasema bahati mbaya?Kwann mzee baba unataka niseme tunafungwa ndio roho yako ifurahi
Sisi tunaingia kushindana ,Mambo mengine yanatokea tu bahati mbaya
Chelsea akiingilia hlo dili anaweza kumpata maana tajiri miluzi atamshawishi kwmba kijana tunajenga project nzuri hapa na kocha pia ni mzuri...ila sisi tukiingilia Haina haja ya kujieleza sanaKama kweli Arteta anamtaka kudus Basi tunaweza mpata ,kwa ku match ofa otherwise Kuna target nyingineView attachment 2709617
Huyo Mc anajielewa yeye na kondoo wake tu, sisi hawa kondoo hatuwezi kuwaelewa,ngoja akifungwa atarud hapa na visingizio kibaaoooYaani una miaka zaidi ya 10 hata draw haujawahi kupata kwa City kila siku unachezea vipigo tu halafu unasema bahati mbaya?
Hivi Masingeli unaijua maana ya bahati mbaya kweli wewe?
Na wewe atataka tukiete MWAJUMA au MBWA JIKE ikitokea hiyo win?Nimekaa pale![]()
Nimechukua FA 2019 nimempiga huyo bwana wenu City ,Yaani una miaka zaidi ya 10 hata draw haujawahi kupata kwa City kila siku unachezea vipigo tu halafu unasema bahati mbaya?
Hivi Masingeli unaijua maana ya bahati mbaya kweli wewe?
Kuna ukweli hapa??Done Deal and confirmed! David #Raya to #Arsenal from #Brentford for 30M. Contract until 2028. #transfers #AFC
@Nicolashira
80%Kuna ukweli hapa??
Mlipotaka kushuka daraja ,visingizio ilikuwa nnHuyo Mc anajielewa yeye na kondoo wake tu, sisi hawa kondoo hatuwezi kuwaelewa,ngoja akifungwa atarud hapa na visingizio kibaaooo
Na wewe atataka tukiete MWAJUMA au MBWA JIKE ikitokea hiyo win?