hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,310
- 26,704
Huyu anadhan timu yao hatuijui ,Hlafu ni wepesi kutupa taulo mapema...Klopp kaanza kuongea na Jude mwaka mmoja nyuma anabembeleza dogo ikaonekana kakubaki...mwshoni wanakuja watu wanajibebea kilaini tu....sasahv wanaanza kujidanganya kwa Tchouameni na Mbappe....yaani kuna vitu ukivisikia unabaki kucheka tu
Et Kuna kipind walikuwa wanamtaka saka

Hawa jamaa kusajili mpaka wauze ndio sela Yao
Mwaka 2018 walimuuza coutinho ndio wakapata fungu kubwa la usajili
Sasa hivi kwenye ushindan huu wa kumwaga pesa ,wanataka kuokoteza wachezaji
Wale wachezaj wawili waliowasajili ni wakawaida ,klopp hakuwataka ila Hana namna ,aliwataka Jude, Tchoumeni ,akashindwa ku compete
Lavia wameambiwa £50m wamerudi nyuma ,
Astonvilla Sasa hivi anatoa €60m analeta mchezaji ,wao wanasubiri miujiza ya klopp

.



️ #AFC