Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hlafu ni wepesi kutupa taulo mapema...Klopp kaanza kuongea na Jude mwaka mmoja nyuma anabembeleza dogo ikaonekana kakubaki...mwshoni wanakuja watu wanajibebea kilaini tu....sasahv wanaanza kujidanganya kwa Tchouameni na Mbappe....yaani kuna vitu ukivisikia unabaki kucheka tu
Huyu anadhan timu yao hatuijui ,

Et Kuna kipind walikuwa wanamtaka saka

Hawa jamaa kusajili mpaka wauze ndio sela Yao

Mwaka 2018 walimuuza coutinho ndio wakapata fungu kubwa la usajili

Sasa hivi kwenye ushindan huu wa kumwaga pesa ,wanataka kuokoteza wachezaji

Wale wachezaj wawili waliowasajili ni wakawaida ,klopp hakuwataka ila Hana namna ,aliwataka Jude, Tchoumeni ,akashindwa ku compete

Lavia wameambiwa £50m wamerudi nyuma ,

Astonvilla Sasa hivi anatoa €60m analeta mchezaji ,wao wanasubiri miujiza ya klopp
 
Wewe hata ungetaja maDM gani ,
Timu yako ni Midtable team.
Huna UEFA, huna hata hiyo futuhi cup(EUROPA). Yaani kabati la Arsenal limejaa Domestic cup tu.
View attachment 2709853
Wewe timu yako unasema inaenda kugombea ubingwa tufanye analysis ya kikosi

Mm naamin Astonvilla, manjesta Wana squad Bora kuliko nyie kuku

nitajie Sasa DM katika timu yako ni Nani,

Arsenal tuna Partey ,Rice , Jorginho Kama 3rd choice na anaubonda vzr tu

Nitajie Asipokuwepo Salah Nan anawabeba ,
 
Most valuable squad in the world inacheza leo

Chukua kina manjesta,namungo, Kitayosye, Gwambina , Chelsea ,Mancity, Barcelona ,n.k

Ambaye squad yake ina gharama anacheza Leo pale Wembley

Hongereni mkuu. Kufungua Dirisha la EPL siyo kazi ndogo ni mafanikio makubwa.

Leo natamani mmbebe Community Shield mbele ya kipara. Ili muendelee kuwepo kwenye jukwaa hili
 
Wewe timu yako unasema inaenda kugombea ubingwa tufanye analysis ya kikosi

Mm naamin Astonvilla, manjesta Wana squad Bora kuliko nyie kuku

nitajie Sasa DM katika timu yako ni Nani,

Arsenal tuna Partey ,Rice , Jorginho Kama 3rd choice na anaubonda vzr tu

Nitajie Asipokuwepo Salah Nan anawabeba ,
Kabadilisheni kwanza hiki kitu WIKIPEDIA huko ni Aibu hii. Ndio maana mnaitwa midtable team.
Screenshot_20230806_112150_Chrome.jpg
 
Hongereni mkuu. Kufungua Dirisha la EPL siyo kazi ndogo ni mafanikio makubwa.

Leo natamani mmbebe Community Shield mbele ya kipara. Ili muendelee kuwepo kwenye jukwaa hili
Tupo na tutaendelea kuwepo,

Community shield tunayo nadhan 16 , huyo city hata 5 hayafiki

Leo no matter what tunaenda kupambana ,karibu uone mbinu ,mpira mzuri
 
Kabadilisheni kwanza hiki kitu WIKIPEDIA huko ni Aibu hii. Ndio maana mnaitwa midtable team.View attachment 2709856
Hili swali umegoma ?

Wewe unajinasibu safari hii hamtaishia no 5

Sasa ili tuamini nimeomba machache kuhusu kikos chenu



Wewe timu yako unasema inaenda kugombea ubingwa tufanye analysis ya kikosi

Mm naamin Astonvilla, manjesta Wana squad Bora kuliko nyie kuku

nitajie Sasa DM katika timu yako ni Nani,

Arsenal tuna Partey ,Rice , Jorginho Kama 3rd choice na anaubonda vzr tu

Nitajie Asipokuwepo Salah Nan anawabeba ,
 
Tupo na tutaendelea kuwepo,

Community shield tunayo nadhan 16 , huyo city hata 5 hayafiki

Leo no matter what tunaenda kupambana ,karibu uone mbinu ,mpira mzuri
That's a point.
Hatujasema tunaenda kumfunga citzen,tunaenda kucheza mechi na dakika tisini zimebeba fate ya comunity shield
 
Fabrizio Romano

Now round of talks will take place today for David Raya deal between Arsenal and Brentford. Negotiations are advancing to key, final stages ️ #AFC

Matt Turner will join Nottingham Forest on permanent deal.
 
Hili swali umegoma ?

Wewe unajinasibu safari hii hamtaishia no 5

Sasa ili tuamini nimeomba machache kuhusu kikos chenu



Wewe timu yako unasema inaenda kugombea ubingwa tufanye analysis ya kikosi

Mm naamin Astonvilla, manjesta Wana squad Bora kuliko nyie kuku

nitajie Sasa DM katika timu yako ni Nani,

Arsenal tuna Partey ,Rice , Jorginho Kama 3rd choice na anaubonda vzr tu

Nitajie Asipokuwepo Salah Nan anawabeba ,
Leo ngoja uonyeshwe kuwa unatimu mbovu kupindukia.
Maana nikisema mimi utasema najipakulia minyama
 
Hahaaa naona wanga wameanza kabla ya mech kuanza
Keep in mind tukifungwa tupo,tukishinda tupo.hatuend popote.

Karibuni baadae msisahau kubeba popcon na sharubati
Jamaa ana hasira Liverpool haisajili ,analazimisha fujo

Sisi matani yetu hasa ni dhidi ya manjesta

Hata social media , Arsenal vs manjesta ndio wanaongoza kwa banter
 
Huyo Mc anajielewa yeye na kondoo wake tu, sisi hawa kondoo hatuwezi kuwaelewa,ngoja akifungwa atarud hapa na visingizio kibaaooo
Akifungwa hua anakawaida ya kukimbilia mafichoni na kuwaacha kondoo wake wanazurura hovyo tu kwenye mashamba ya watu.
Masingeli leo ukigongwa na City tunakuomba usiitelekeze mifugo yako.
 
Hahaaa naona wanga wameanza kabla ya mech kuanza
Keep in mind tukifungwa tupo,tukishinda tupo.hatuend popote.

Karibuni baadae msisahau kubeba popcon na sharubati
Usitafute sympathy mkuu.
Leo mtajua kuwa Arsenal ni mbovu na ni ile ile ya kina Chamack.
 
Back
Top Bottom