BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 5,902
- 11,707
Luxury DM jorginho???Watu Kama Hawa nyie hamuwajuagi ,Mimi nikishaona akili zao ,huwa siwajibu ,anataka mbishane
Anakwambia tunamtegemea Partey![]()
Mara Martinelli kamaliza na goli 6
Huyu kwanza mpira hafatilii ni mshabiki maandazi
Arsenal tuna luxury ya DM wa kutosha ,tuna luxury ya Mabeki wakutosha
Tunaweza kuanza Ligi na majeruhi wanne na tusitetereke ,wakaja kuungana mbele kuongeza nguvu
Na timu lilivyo la kipuuzi kila mwaka linapewa matapishi ya CHELSEA.
Hii timu ndio maana hata ufalme wa London imenyang'anywa na RENT BOYS wa Darajani , Sababu ya vichwa bata kama nyie.