Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Watu Kama Hawa nyie hamuwajuagi ,Mimi nikishaona akili zao ,huwa siwajibu ,anataka mbishane

Anakwambia tunamtegemea Partey
emoji1787.png


Mara Martinelli kamaliza na goli 6

Huyu kwanza mpira hafatilii ni mshabiki maandazi

Arsenal tuna luxury ya DM wa kutosha ,tuna luxury ya Mabeki wakutosha

Tunaweza kuanza Ligi na majeruhi wanne na tusitetereke ,wakaja kuungana mbele kuongeza nguvu
Luxury DM jorginho???
Na timu lilivyo la kipuuzi kila mwaka linapewa matapishi ya CHELSEA.

Hii timu ndio maana hata ufalme wa London imenyang'anywa na RENT BOYS wa Darajani , Sababu ya vichwa bata kama nyie.
 
Sasa wewe ambae aliumia Saliba tu ukawa unagawa hovyo tu vipiwakiumia key player wa 3 au 4??
Arsenal hakuumia Saliba pekee ,

Msimu huu tuna luxury na bado tupo sokon

Kesho tunaongeza GK no.2 kwa £40m

Livakuku anashindwa kusajili Lavia kwa £50m

Mabeki wote wazee
 
Luxury DM jorginho???
Na timu lilivyo la kipuuzi kila mwaka linapewa matapishi ya CHELSEA.

Hii timu ndio maana hata ufalme wa London imenyang'anywa na RENT BOYS wa Darajani , Sababu ya vichwa bata kama nyie.
Nitajie DM wako anayemzidi Jorginho

Taja

Mimi kwangu Jorginho ni 3rd choice

Sasa wewe taja DM wako anayemzidi 3rd choice kwetu
 
Arsenal hakuumia Saliba pekee ,

Msimu huu tuna luxury na bado tupo sokon

Kesho tunaongeza GK no.2 kwa £40m

Livakuku anashindwa kusajili Lavia kwa £50m

Mabeki wote wazee
Nani mwingine aliumia?? Usiniambie Jesus maana still mliendelea kuscore ila mlikuwa mnaruhusu zaidi.

Sasa vuta Picha akaumia Saliba na Gabriel(kichwa cha bata).

Huwezi chukua EPL na beki ya GABRIEL(kichwa cha bata) na kiungo ya partey( miguu ya biskuti).
 
Luxury DM jorginho???
Na timu lilivyo la kipuuzi kila mwaka linapewa matapishi ya CHELSEA.

Hii timu ndio maana hata ufalme wa London imenyang'anywa na RENT BOYS wa Darajani , Sababu ya vichwa bata kama nyie.
Nina Rice ,Partey , Jorginho

Nitajie DM wako anayemzidi Jorginho

Tukisema mnaenda kugombea kushiriki Europa mnakasirika ,
 
Arsenal hakuumia Saliba pekee ,

Msimu huu tuna luxury na bado tupo sokon

Kesho tunaongeza GK no.2 kwa £40m

Livakuku anashindwa kusajili Lavia kwa £50m

Mabeki wote wazee
Luxury ya akina Nketiah na Lokonga??
 
Nani mwingine aliumia?? Usiniambie Jesus maana still mliendelea kuscore ila mlikuwa mnaruhusu zaidi.

Sasa vuta Picha akaumia Saliba na Gabriel(kichwa cha bata).

Huwezi chukua EPL na beki ya GABRIEL(kichwa cha bata) na kiungo ya partey( miguu ya biskuti).
Sasa kama Jesus aliumia na timu ikaendelea kufunga itakuwa hvyohvyo msimu huu....Saliba amekuja Timber na Ben White atecheza eneo lake pia....mbele viungo ndo wapo wa kutosha....Partey akikaa nje...Rice anacheza...Jorginho anacheza
 
Nani mwingine aliumia?? Usiniambie Jesus maana still mliendelea kuscore ila mlikuwa mnaruhusu zaidi.

Sasa vuta Picha akaumia Saliba na Gabriel(kichwa cha bata).

Huwezi chukua EPL na beki ya GABRIEL(kichwa cha bata) na kiungo ya partey( miguu ya biskuti).
Nikisema unaropoka unakataa ,Kafatilie waliumia mabeki wangapi ,

Nitajie DM wako ambaye anaweza kuanza kikos Cha Arsenal ,

Hata huyo Salah anayewapa kiburi sitashangaa msimu ujao akipoteana Zaid , maana tulishamuona last season, huu ndio muda mumuuze saudia



Squad yangu hii hapa

Leta yako tuone

20230801_224625.jpg
 
Sasa kama Jesus aliumia na timu ikaendelea kufunga itakuwa hvyohvyo msimu huu....Saliba amekuja Timber na Ben White atecheza eneo lake pia....mbele viungo ndo wapo wa kutosha....Partey akikaa nje...Rice anacheza...Jorginho anacheza
Martineli aliumia Trossard anacheza....Saka upande wake ndo bdo kuna simntofahamu...Odegaard...kuna Kai kuna Rice bdo anaweza cheza kuna ESR bdo ...Sasa tutajie ww kikosi chako akiumia nani ana kava nafasi
 
Taja DM wako wacha manenomaneno...
Utawaona msimu ukianza punguza wenge .
Nikisema unaropoka unakataa ,Kafatilie waliumia mabeki wangapi ,

Nitajie DM wako ambaye anaweza kuanza kikos Cha Arsenal ,

Hata huyo Salah anayewapa kiburi sitashangaa msimu ujao akipoteana Zaid , maana tulishamuona last season, huu ndio muda mumuuze saudia



Squad yangu hii hapa

Leta yako tuone

View attachment 2709841
Kai mtoto mdebwedo
Gabriel(Duck head)
White(kichwa cha mwenda wazimu)

Jiandaeni kukimbia jukwaa
 
Huyo huyo


Haya Nitajie DM wako anayemzidi Jorginho

Taja

Mimi kwangu Jorginho ni 3rd choice

Sasa wewe taja DM wako anayemzidi 3rd choice kwetu
Ataje hapa mbadala wa VVD ni nani ..mbadala wa Konate ni nani.... Robertson ni nani...TAA ni nani...Salah akiumia mbadala ni nani....Luis Diaz akiumia nani anacheza
 
Luxury ya akina Nketiah na Lokonga??
nimekutajia DM wetu

Rice

Partey

Jorginho

Taja wakwako anayemzidi uwezo 3rd choice wetu Jorginho,

Hapo ndio utajua huu ujinga mnaodanganyana mnagombea top 4 ni wakutupiliwa mbali

Hata winger zako Sion yakuingia Arsenal

Hao viungo wenu ni wakawaida
 
Back
Top Bottom