Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Utawaona msimu ukianza punguza wenge .

Kai mtoto mdebwedo
Gabriel(Duck head)
White(kichwa cha mwenda wazimu)

Jiandaeni kukimbia jukwaa
Nitajie DM wako anayemzidi Jorginho

Taja

Mimi kwangu Jorginho ni 3rd choice

Sasa wewe taja DM wako anayemzidi 3rd choice kwetu
 
Ataje hapa mbadala wa VVD ni nani ..mbadala wa Konate ni nani.... Robertson ni nani...TAA ni nani...Salah akiumia mbadala ni nani....Luis Diaz akiumia nani anacheza
Kiburi chote kipo kwa Salah ,halafu hajui Salah ni 30+ ,anamchukulia Kama Saka 21yrs

Muda huu ndio wangemuuza Salah saudia kabla hajawachujia

Ukitoa salah ile timu haina tofauti na Fulham ,

Ila kelele anazopiga humu ,Bora manjesta asee Wana squad inaonekana
 
Kiburi chote kipo kwa Salah ,halafu hajui Salah ni 30+ ,anamchukulia Kama Saka 21yrs

Muda huu ndio wangemuuza Salah saudia kabla hajawachujia

Ukitoa salah ile timu haina tofauti na Fulham ,

Ila kelele anazopiga humu ,Bora manjesta asee Wana squad inaonekana
Jipapatue ila leo ndio Mateso yanaanza kwenu
images (2).jpeg
 
Basi na nyie ndo mtulie Sasa ligi ianze sio kuja kutujazia vi comment vyenu hmu na wakati hata wachezaji wenu hamsemi wanao cover nafasi zao wakiumia
Hawez kutaja ,timu yao spana mkononi ,

Hawa hata manjesta kashawaacha , manjesta Hana depth kubwa lakin ana strong squad kuliko wao

Wameondoka wachezaji 8 wameingiza wawili Average players , ambao hawajabadili chochote

Vvd ndio kachoka lakin inabidi acheze ili kuleta ahueni bila yeye wanakuwa ovyo ,

Anabwabwaja humu anadhani timu zao hatuzifuatilii kwa kina
 
Hatuna mkuu ila nyny mnao ndo maana mnaenda kucheza mechi za Alhamisi usiku
Wewe umecheza alhamis usiku toka 2016 mpka 2023.
Mbona kawaida hiyo.
Na umecheza EUROPA toka 2016 ajabu faunali umecheza moja tu, na hata kombe pia hukuchukua miaka yote hiyo.
UEFA utaiweza.??
 
Hatuna mkuu ila nyny mnao ndo maana mnaenda kucheza mechi za Alhamisi usiku
Yule Diaz ni like kuku aliyekatwa kichwa , mchezaji wakawaida tu

Hiyo timu yao matumaini yamebaki kwa salah 30+yrs ,VVD 30+yrs, GK
 
Wewe umecheza alhamis usiku toka 2016 mpka 2023.
Mbona kawaida hiyo.
Na umecheza EUROPA toka 2016 ajabu faunali umecheza moja tu, na hata kombe pia hukuchukua miaka yote hiyo.
UEFA utaiweza.??
Kabla hamjamuuza coutinho mkapata bajeti ya usajili ,simlikuwa mnacheza alhamis kila mwaka

Sasa hivi uzen mchezaji mpate bajeti ,lasivyo mtakuwa watu wa alhamis

Wewe mnashindwa kununua Lavia kwa 50 , Jude mngemuweza
 
Kabla hamjamuuza coutinho mkapata bajeti ya usajili ,simlikuwa mnacheza alhamis kila mwaka

Sasa hivi uzen mchezaji mpate bajeti ,lasivyo mtakuwa watu wa alhamis

Wewe mnashindwa kununua Lavia kwa 50 , Jude mngemuweza
Ninyi yenu ina hatari 7 years consecative.
Yaani non stop tena hata hiyo EUROPA hamjawahi kuichukua. ARSENAL ni midtable team bro.

Miaka Saba unacheza EUROPA hujawai kulichukua???. NYUMBU alikuwa mbovu ila alichukua EUROPA, CHELSEA alikuwa mbovu ila Alichukua EUROPA.

Tukiwaambia Arsenal ni Midtable team msiwe mnanuna.
 
Hlafu ni wepesi kutupa taulo mapema...Klopp kaanza kuongea na Jude mwaka mmoja nyuma anabembeleza dogo ikaonekana kakubaki...mwshoni wanakuja watu wanajibebea kilaini tu....sasahv wanaanza kujidanganya kwa Tchouameni na Mbappe....yaani kuna vitu ukivisikia unabaki kucheka tu
Kabla hamjamuuza coutinho mkapata bajeti ya usajili ,simlikuwa mnacheza alhamis kila mwaka

Sasa hivi uzen mchezaji mpate bajeti ,lasivyo mtakuwa watu wa alhamis

Wewe mnashindwa kununua Lavia kwa 50 , Jude mngemuweza
 
Ninyi yenu ina hatari 7 years consecative.
Yaani non stop tena hata hiyo EUROPA hamjawahi kuichukua. ARSENAL ni midtable team bro.

Miaka Saba unacheza EUROPA hujawai kulichukua???. NYUMBU alikuwa mbovu ila alichukua EUROPA, CHELSEA alikuwa mbovu ila Alichukua EUROPA.

Tukiwaambia Arsenal ni Midtable team msiwe mnanuna.
Haya nitajie Sasa DM katika timu yako ni Nani

Arsenal tuna Partey ,Rice , Jorginho Kama 3rd choice na anaubonda vzr tu
 
Ninyi yenu ina hatari 7 years consecative.
Yaani non stop tena hata hiyo EUROPA hamjawahi kuichukua. ARSENAL ni midtable team bro.

Miaka Saba unacheza EUROPA hujawai kulichukua???. NYUMBU alikuwa mbovu ila alichukua EUROPA, CHELSEA alikuwa mbovu ila Alichukua EUROPA.
Yy
Tukiwaambia Arsenal ni Midtable team msiwe mnanuna.
Na nyie ndo mmeanza rasmi mwaka huu....mzoee tu kucheza Alhamisi usiku maana hamna wa kumtoa pale juu uingie top 4....hamna
 
Haya nitajie Sasa DM katika timu yako ni Nani

Arsenal tuna Partey ,Rice , Jorginho Kama 3rd choice na anaubonda vzr tu
Wewe hata ungetaja maDM gani ,
Timu yako ni Midtable team.
Huna UEFA, huna hata hiyo futuhi cup(EUROPA). Yaani kabati la Arsenal limejaa Domestic cup tu😄.
images (3).jpeg
 
Back
Top Bottom