Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,544
- 6,494
Psg nayo ni timu sasašWewe UEFA unaenda kutalii tu.
Hata 1/4 huwezi toboa. Kama kina sporting walikukamua ije kuwa kina PSG huko na Kina Bayern.
Psg nayo ni timu sasašWewe UEFA unaenda kutalii tu.
Hata 1/4 huwezi toboa. Kama kina sporting walikukamua ije kuwa kina PSG huko na Kina Bayern.
hamna sio timuPsg nayo ni timu sasaš
Man UTD??š¤£š¤£š¤£....mkuu kama bdo hujanywa chai nenda kanywe...unaongea pumba... Liverpool msiposajili watu watatu zaidi msahau kusumbua....timu itakayowasumbua tena ni City tu....sio hzo takataka zngineJamaa zako hawataki kukubalj ukweli .
Kigezo cha kuwa bingwa wa EPL kwasasa ni kuhakikisha unaenda toe to toe dhidi ya man city. Arsenal bado haina uwezo wa kuichallange city na sio City tu even Liverpool na sio Liverpool tu even Manchester united.
Watu waache kuwa na false hope humu eti uchukue EPL na beki ya Gabriel na DM ya partey (trip shamba trip garage)
Ikawaje mnagombea kucheza EuropaSisi ipo.
Msimu jana kila mtu kachukua point kwake.
Na bado nilimdunda ngao.
Vip wewe msimu jana umepata nini ??


2020....nusu fainali FA cup...kuna lingine????Hujanijibu bado mara ya mwisho kumfunga manchester city ni linj??
Mm nacheka Sana anayeiweka livakuku kugombea ubingwa ,nacheka SanaMan UTD??....mkuu kama bdo hujanywa chai nenda kanywe...unaongea pumba... Liverpool msiposajili watu watatu zaidi msahau kusumbua....timu itakayowasumbua tena ni City tu....sio hzo takataka zngine
Ile ni takataka mkuu japo sijui kwa msimu huu watakujajehamna sio timu
Hyu akipata pancha ya wachezaji 2 tu kwny kikosi chake tyri yanajirudia ya msimu ulopita....Ikawaje mnagombea kucheza Europa
Ulitamba hivi hivi mwanzo wa Ligi nilikwambia huna timu umejaza wazee
Unaanza Ligi Sasa unamtegemea salah akubebe
Kununua DM huwezi
Vvd kawa uchochoro
Sobozalai na makalista Hawa ni wachezaji wakawaida ,unataka kugombea top 4?
Astonvilla kwasasa ana squad Bora kuliko livakuku
| Zinchenko:
Amini nakuambia huna timu wewe.Man UTD??š¤£š¤£š¤£....mkuu kama bdo hujanywa chai nenda kanywe...unaongea pumba... Liverpool msiposajili watu watatu zaidi msahau kusumbua....timu itakayowasumbua tena ni City tu....sio hzo takataka zngine
Mtu anakuja kusumbua hmu na kikosi chake finyu....Luis Diaz mwaka jana alivyopata pancha tu....msimu wte ukaharibika...alaf anakuja kutupigia kelele hmuMm nacheka Sana anayeiweka livakuku kugombea ubingwa ,nacheka Sana
Wamesajili wale jamaa sobozalai na makalista ni wachezaji wakawaida ,tofaut na walioondoka ,hapo hapo beki Yao inavuja Sana
Matumaini Yao ni salah ambaye umri unazidi kumtupa mkono
Hawa safari hii Wana points 6 zetu,
Hii ni 2023. Una miaka mitatu CITY huwa anakukanda tu. LEO HUTOKI2020....nusu fainali FA cup...kuna lingine????
Ndo maana nikasema ww unaongelea kishabiki...huongei kimpira...kaangalie tena stats za Martineli halafu ndo uje....tuna luxury ya kuwa hata na majeruhi wa4 sasahv na timu ikaenda....ww ukipata pancha 2 tu huna shughuli tenaAmini nakuambia huna timu wewe.
Huna, timu ina kiungo cha Pertey(Miguu biskuti),, beki Gabriel( kichwa cha bata)
Na forward Nketiah( maji kupwa maji kujaa). Maana msitegemee Jesus atawaoffer game nyingi hilo msahau.
Saka last season na kumpa sifa nyingi kafunga goal 12 msimu mzimaššš
Martinel kafunga goal 6 msimu mzimaššš.
Pancha 2 si anagombea top 10, hiyo hiyo timu waliyonayo Sasa ipo limited , hao wachezaji wapya waliowasajili ni wakawaida tu,Hyu akipata pancha ya wachezaji 2 tu kwny kikosi chake tyri yanajirudia ya msimu ulopita....
Ni kwli wametufunga sana...huna haja ya kutuletea mapicha hmu...ila ww kugombea ubingwa sahau ni hiko kikundi chako cha kina Trent Alexander Arnold....sahau mkuu...unless mpate watu wa 4 zaidi wa maana....huna uwezo wa kuhimili majeruhi kabisa ....hunaHii ni 2023. Una miaka mitatu CITY huwa anakukanda tu. LEO HUTOKIView attachment 2709835
Kwan wewe last season umefanya kipi kikubwa? Au kupigwa comeback na WHU wakati upo kwenye title runup??Pancha 2 si anagombea top 10, hiyo hiyo timu waliyonayo Sasa ipo limited , hao wachezaji wapya waliowasajili ni wakawaida tu,
Kocha wao aliwataka Jude, Tchoumeni ,Josko , ila hawana hela
Lavia wameambiwa £50m wanasuasua kulipa
Anaongea as if Salah ambaye wanamtegemea Sana ana miaka 20, Salah Kasi ilishaanza kushuka toka last season , Midfield Yao ndio hao jamaa wapya wawili ,
Walicheza na timu za ovyo na Kuna nyingine zilikuwa zikifika katikati wanashambuliwa sana,walipokutana na Bayern pia hivo hivo
Nashangaa anavyokuja kupiga porojo humu
Watu Kama Hawa nyie hamuwajuagi ,Mimi nikishaona akili zao ,huwa siwajibu ,anataka mbishaneNdo maana nikasema ww unaongelea kishabiki...huongei kimpira...kaangalie tena stats za Martineli halafu ndo uje....tuna luxury ya kuwa hata na majeruhi wa4 sasahv na timu ikaenda....ww ukipata pancha 2 tu huna shughuli tena

Sasa wewe ambae aliumia Saliba tu ukawa unagawa hovyo tu vipiwakiumia key player wa 3 au 4??Ni kwli wametufunga sana...huna haja ya kutuletea mapicha hmu...ila ww kugombea ubingwa sahau ni hiko kikundi chako cha kina Trent Alexander Arnold....sahau mkuu...unless mpate watu wa 4 zaidi wa maana....huna uwezo wa kuhimili majeruhi kabisa ....huna
Hamkuwa vzr wapi, Ligi inaanza wewe siulisema mnagombea ubingwa na city ,acha uzushiKwan wewe last season umefanya kipi kikubwa? Au kupigwa comeback na WHU wakati upo kwenye title runup??
Msimu ulioisha mmeonekana bora sababu, timu zenye nguvu hazikuwa vizuri,, Huu msimu hata top5 hamtoboii