Hiki kikosi hata kwa UTOPOLO ya Jangwani hakitoki.My lineup kwa jumapili
Ramsdale,
Timber
Gabriel
Saliba
White
Partey
Rice
Odegaard
Saka
Trossard
Nelli
4CBs plus Rice awe ana drop chin tukiwa hatuna mpira ,Tutakuwa solid kwenye backline
Mnayo nyie asee kina VVD,Hiki kikosi hata kwa UTOPOLO ya Jangwani hakitoki.
Mnafalse hope sana hii timu.
HAMNA TIMU NYIE YA KUPAMBANA NA CITY.
Hawa jamaa ni kama kenge.Yeah mwaka jana mliteleza bahati mbaya sana this season hata nafasi tu ya kuteleza hamtakuwa nayo.
Mwaka jana flow ya mpira wenu pre season it was best mzee na ilionesha mna kitu , tukicheki flow ya mpira this pre season mliyonayo na energy iliyotumika last season tunaona kabisa kama hamtoboiii hio top 4 na si kwa ubaya kabisa.
Liverpool karudii kwenye ubora sidhani kama kuna injuries zozote kwao ila last season kina diaz, thiago na jota walikua injuries now wapo full mkoko ,Chelsea madogo janja wakina mudryk, Jackson, nkunku , enzo na valhovic anakaribia kutua usiwachukulie poa mzee.
Wakati wenzenu wanapiga picha na trophies nyie mtabaki kupiga picha na clock la highubryView attachment 2707650
Hawa jamaa ni kama kenge.
Huu msimu watadundwa mpaka huu uzi wataombaufutwemwaka k
Liverpool atakuwa bingwa mkuu, usitesekeHawa jamaa ni kama kenge.
Huu msimu watadundwa mpaka huu uzi wataomba ufutwe.
Huyo jamaa ni anaubongo wa bata.Sasa ulitegemea amponde mbele ya camera?
Nani kasema Liverpool bingwa??Liverpool atakuwa bingwa mkuu, usiteseke
Punguza jazba ,, msijipe matumaini.Kweli kabisa na Liver atakuwa bingwa....mwaka jana majeruhi tu yaliwa cost
Unaona tunakuchekea unajifurahisha humu,Nani kasema Liverpool bingwa??
Shida hampendi kusikia ukweli.
Nyie hata mkimaliza top 5 ni bahati sana.
Kwani Arsenal mara ya mwisho kumfunga City kwenye mashindano yoyote yale ni lini?August 10, 2014.
Wembley Stadium
️ @19SCazorla 21’
️ @aaronramsey 42’
️ @_OlivierGiroud_ 61’
Throwback to when Arsenal beat Man City 3-0 to lift the Community Shield
Arsenal
Liverpool mna quality gan, pre season mmecheza na matapeli ,mmekuja kucheza na Bayern tumeona mlivyodhalilishwaPunguza jazba ,, msijipe matumaini.
Hii timu bado haina quality ambayo mnajipamba nayo humu kwenye huu uzi wenu![]()
Liverpool inamadhaifu mengi ,, ila huwezi maliza juu ya Liverpool msimu huu.Unaona tunakuchekea unajifurahisha humu,
Squad ya Arsenal unaweza fananisha na wale wazee wako?
Timu mpaka Sasa haina kiungo mkabaji ,£50m kwa Lavia imewashinda unakuja kubwabwaja humu
Timu yako ina quality gani ,mbona ipo EuropaPunguza jazba ,, msijipe matumaini.
Hii timu bado haina quality ambayo mnajipamba nayo humu kwenye huu uzi wenu![]()


Game za pre-season zinakutia uleviLiverpool mna quality gan, pre season mmecheza na matapeli ,mmekuja kucheza na Bayern tumeona mlivyodhalilishwa
Umeona ujipe matumainiLiverpool inamadhaifu mengi ,, ila huwezi maliza juu ya Liverpool msimu huu.
Nasema HUWEZI.
Mara ya mwisho kumfunga city lini??? Nikumbushe mkuuTimu yako ina quality gani ,mbona ipo Europa![]()
Huna timu bhana , timu imejaa wazeeGame za pre-season zinakutia ulevi
Jibu swali timu yako ina quality gan ?Mara ya mwisho kumfunga city lini??? Nikumbushe mkuu