Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

My lineup kwa jumapili

Ramsdale,

Timber
Gabriel
Saliba
White

Partey
Rice
Odegaard

Saka
Trossard
Nelli

4CBs plus Rice awe ana drop chin tukiwa hatuna mpira ,Tutakuwa solid kwenye backline
Hiki kikosi hata kwa UTOPOLO ya Jangwani hakitoki.

Mnafalse hope sana hii timu.
HAMNA TIMU NYIE YA KUPAMBANA NA CITY.
 
Yeah mwaka jana mliteleza bahati mbaya sana this season hata nafasi tu ya kuteleza hamtakuwa nayo.
Mwaka jana flow ya mpira wenu pre season it was best mzee na ilionesha mna kitu , tukicheki flow ya mpira this pre season mliyonayo na energy iliyotumika last season tunaona kabisa kama hamtoboiii hio top 4 na si kwa ubaya kabisa.

Liverpool karudii kwenye ubora sidhani kama kuna injuries zozote kwao ila last season kina diaz, thiago na jota walikua injuries now wapo full mkoko ,Chelsea madogo janja wakina mudryk, Jackson, nkunku , enzo na valhovic anakaribia kutua usiwachukulie poa mzee.

Wakati wenzenu wanapiga picha na trophies nyie mtabaki kupiga picha na clock la highubry View attachment 2707650
Hawa jamaa ni kama kenge.
Huu msimu watadundwa mpaka huu uzi wataomba ufutwe.
 
Nani kasema Liverpool bingwa??
Shida hampendi kusikia ukweli.

Nyie hata mkimaliza top 5 ni bahati sana.
Unaona tunakuchekea unajifurahisha humu,

Squad ya Arsenal unaweza fananisha na wale wazee wako?

Timu mpaka Sasa haina kiungo mkabaji ,£50m kwa Lavia imewashinda unakuja kubwabwaja humu
 
Punguza jazba ,, msijipe matumaini.

Hii timu bado haina quality ambayo mnajipamba nayo humu kwenye huu uzi wenu
Liverpool mna quality gan, pre season mmecheza na matapeli ,mmekuja kucheza na Bayern tumeona mlivyodhalilishwa
 
Game za pre-season zinakutia ulevi
Huna timu bhana , timu imejaa wazee

Last season wakat unadai utapambania ubingwa Niki quote nikakwambia huwez gombania ,ulibisha Sana

Mwisho Europa ikawaita

Msimu huu Hakuna mlichoboresha had sasa
 
Back
Top Bottom