Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Inter kafanyiwa umafia ,Sasa njia nyeupe waje kwa Balogun

() Gianluca Scamacca to Atalanta is a DONE DEAL in a deal worth €25m fixed fee, €5m easy add ons; 10% sell on clause also included. #Atalanta

(via @FabrizioRomano)
 
Inter kafanyiwa umafia ,Sasa njia nyeupe waje kwa Balogun

() Gianluca Scamacca to Atalanta is a DONE DEAL in a deal worth €25m fixed fee, €5m easy add ons; 10% sell on clause also included. #Atalanta

(via @FabrizioRomano)
Safi....ukilialia watu wanachukua....Inter na Juve wanajifanya wanaijua hela sana
 
Caisedo price tag kubwa...£100 million...Chelsea mpk leo wanavutana na Brighton...Zubimendi nahisi ana kitu kinaitwa home sickness bado hajakuwa tyri kucheza nje ya spain...Lavia naye inaonekana price tag yke kubwa maana hata Liver wanamhitaji sana ila wanaona bei ni ya kupigwa kwhyo wana bargain...Rice anachezeshwa LCM lakini kiuhalisia ni DM...mi naona eneo lenye uhitaji ni RW ila viungo so far somehow tuko sawa...ila with arsenal kitu chchte kinaweza tokea maana hata kipa tumeshtukizwa....kwhyo U never know
DM tuna watu watatu Partey , Jorginho na Rice

LCM tuna Trosaard ,Smith ,Kai na Rice tunapotaka kuwa wagumu Zaid

Kwasasa hatuhitaji DM , Ngumu kuongeza DM atasugua bench ,huwez muweka nje Partey,huwez weka bench £105m


Now ni GK, RW nasikia labda na RCB ,
 
Safi....ukilialia watu wanachukua....Inter na Juve wanajifanya wanaijua hela sana
Wanhufanya wao ni matapeli Sana , Balogun angekuwa wao ,na Arsenal tunamtaka wagetuuzia €80-90m

Waliwauzia Chelsea lukaku kwa £97m

Mwaka mmoja baadae wakamuhitaji lukaku hawataki kutoka €35m

Walimpata Onana Bure , wamewakazia manjesta bila €55-60m hawauzi

Hakuna timu kichefuchefu kufanya nao biashara Kama za Italy ,
 
Wanhufanya wao ni matapeli Sana , Balogun angekuwa wao ,na Arsenal tunamtaka wagetuuzia €80-90m

Waliwauzia Chelsea lukaku kwa £97m

Mwaka mmoja baadae wakamuhitaji lukaku hawataki kutoka €35m

Walimpata Onana Bure , wamewakazia manjesta bila €55-60m hawauzi

Hakuna timu kichefuchefu kufanya nao biashara Kama za Italy ,
Wana matatizo ya kiuchumi sasahv hasa Juve baada ya mabalaa yalowakuta kwhyo hata 40 kwao ni nyng sana
 
Sijui Kama Ina ukweli ,chanzo ni


Standard sport


Arsenal remain locked in talks over David Raya while looking to offload some deadwood, and a surprise move for Moises Caicedo is on their radar.
 
Even 40m euros may not be enough for Arsenal to sell Partey. Club already turned down Saudi clubs offering 25-30m euros. Arsenal happy with the player and will need big money for them to consider selling

(@FabrizioRomano on YouTube)
 
Sijui Kama Ina ukweli ,chanzo ni


Standard sport


Arsenal remain locked in talks over David Raya while looking to offload some deadwood, and a surprise move for Moises Caicedo is on their radar.
With £100 million on his head ni ngumu sana....Chelsea watamchukua lakini nahisi kwa £90 million plus add ons maana wao ndo wanamuhitaji sana na kibunda wanacho ila natamani sana na sisi tuingilie tumpandishe thamani tajiri miluzi atoboke
 
DM tuna watu watatu Partey , Jorginho na Rice

LCM tuna Trosaard ,Smith ,Kai na Rice tunapotaka kuwa wagumu Zaid

Kwasasa hatuhitaji DM , Ngumu kuongeza DM atasugua bench ,huwez muweka nje Partey,huwez weka bench £105m


Now ni GK, RW nasikia labda na RCB ,
bro joginho unamuhesabia kama ni DM
 
Inter kafanyiwa umafia ,Sasa njia nyeupe waje kwa Balogun

() Gianluca Scamacca to Atalanta is a DONE DEAL in a deal worth €25m fixed fee, €5m easy add ons; 10% sell on clause also included. #Atalanta

(via @FabrizioRomano)
Hivi huyu Scamacca asingetufaa kwel
 
Decline rice.

Kwangu mimi siamini kama jamaa ni gifted sana technically.kama unamuangalia rice kwa perspective ya david silva,benado silva,locatell,zubimend,carzola,rosisky ,gundo kroose,camavinga nk ni rahisi kuona tumepigwa.

Hivi ushawahi kujiuliza kwanini
Liverpool wana hernderson na klop anapambana mara kadhaa kumbakisha babu milner?
Chelsea bora ilikuwa na Terry na lampard
Man city imemleta jack glealish,stones na sasa kuna foden.hawa wote technically sio wachezaji wa guardiola.

Hao wote wana sifa moja inayowaunganisha,ni waingereza.
Waingereza wanatabia ya upambanaji hasa bila kujali wanakipaji au hawana ila watapambana kupata wanachotaka.
Mwingereza anaweza asiwe bora ila akaamini yeye ni bora kuliko wewe na akakushinda.

Waingereza wanaamini kwenye hard working kuliko kipaji.they give it all to preserve their pride.na kwa timu inayohitaji kupambania mataji hii akili na tabia ni muhimu saana.guardiola aliliona akaleta waingereza and it paid.

Decline rice.mwangalie body language yake na umri wake haviendani.ana seniority body language.anaamini anastahili kilicho bora na anaamini anacho kilicho bora cha kuoffer.

Decline rice.Angalia statement zake haamini kama kuna team bora kuliko aliyopo,hakuna kocha bora kuliko anayemfundisha na kikosi chenye wachezaji bora kuliko wanaomzunguka kwa sasa. Hii inaondoa inferior feelings na inaimarisha self esteem yake.Mbishi hasa.

Check anavyohandle media na expectations zinazotokana na price tag yake, Its like I don't care.Price tag imemmaliza pepe,inamtesa mudrick na inamyoosha nunez pale Liverpool .
Mwangalie glealish,hata hakumbuki alinunuliwa kiasi gani.its none of his business anahisi alistahili.Rice ameonyesha kuhandle presha.
Mimi natarajia kumuona rice kuanzia february na hapo kila mmoja atajua thamani ya roho ya kiingereza hasa hawa WEUPE NOT BLACKS.

Mpeni muda decline rice,sio mech kadhaaa,wiki kadhaa au mwezi.mpeni muda awaaambukize tabia ya ushindi.
"Decline rice.
Kwangu mimi siamini kama jamaa ni gifted sana technically.kama unamuangalia rice kwa perspective ya david silva,benado silva,locatell,zubimend,carzola,rosisky ,gundo kroose,camavinga nk ni rahisi kuona tumepigwa.

Mimi natarajia kumuona rice kuanzia february na hapo kila mmoja atajua thamani ya roho ya kiingereza hasa hawa WEUPE NOT BLACKS."


Mkuu toobiter kwanza nikiri kabisa kua wewe miongoni mwa mashabiki wachache wa Arsenal ambao hua nawakubali sana wanapochambua mpira humu bila ya kuweka mbele ushabiki wa timu, hongera sana kwa hilo.
Ila suala la kupigwa kwenu kwenye usajili wa Decline Rice hilo liko wazi kwa kila shabiki wa Arsenal ila kinachofanyika ni kupakapaka rangi ionekane ni sawa.
Kuhusu suala la kujituma kwa roho za kiingereza ni kujipa matumaini ya bure tu, hayo mambo yaliishaga kwenye kizazi cha kina Gerrard, Lampard, Terry na Rooney.
Ingekua ni hivyo tungeiona hio roho ya upambanaji kwa Le Captain Harry Maguire tokea kufariki kwa Malkia Elizabeth waingereza ni kama wameamua kwa pamoja kujikatia tamaa.
 
"Decline rice.
Kwangu mimi siamini kama jamaa ni gifted sana technically.kama unamuangalia rice kwa perspective ya david silva,benado silva,locatell,zubimend,carzola,rosisky ,gundo kroose,camavinga nk ni rahisi kuona tumepigwa.

Mimi natarajia kumuona rice kuanzia february na hapo kila mmoja atajua thamani ya roho ya kiingereza hasa hawa WEUPE NOT BLACKS."


Mkuu toobiter kwanza nikiri kabisa kua wewe miongoni mwa mashabiki wachache wa Arsenal ambao hua nawakubali sana wanapochambua mpira humu bila ya kuweka mbele ushabiki wa timu, hongera sana kwa hilo.
Ila suala la kupigwa kwenu kwenye usajili wa Decline Rice hilo liko wazi kwa kila shabiki wa Arsenal ila kinachofanyika ni kupakapaka rangi ionekane ni sawa.
Kuhusu suala la kujituma kwa roho za kiingereza ni kujipa matumaini ya bure tu, hayo mambo yaliishaga kwenye kizazi cha kina Gerrard, Lampard, Terry na Rooney.
Ingekua ni hivyo tungeiona hio roho ya upambanaji kwa Le Captain Harry Maguire tokea kufariki kwa Malkia Elizabeth waingereza ni kama wameamua kwa pamoja kujikatia tamaa.
Mkuu Maguire mmemuharibia nyie kiwango chake usitake kumsingizia..nyie ndo mmem flopisha kwa kumpa presha na price tag yake...hlafu kile kilichopo old Trafford pale ni kikundi cha wakimbiaji sio wacheza mpira ulitegemea yy acheze mpira gani...Captain fantastic Maguire akipata timu nzuri inayotandaza soka mtaona ubora wake
 
Kumbuka pia jinsi hayo magoli yalivyofungwa.

La kwanza, mpemba Rashidi alipiga move kali na shuti amazing la nje ya box akapata goli.... against the run of play. Na kama sikosei, Chidi ndiye alikuwa mchezaji aliye mbele zaidi Kwa Manyumbu, huku wengine wamepaki basi Kwa hofu kubwa wakijiandaa kujilinda na shambulio tulilokuwa tunawapelekea, hivyo hakuwa na msaada. Tukapoteza mpira, mpemba akafanya yake. Lilikuwa goli Bora sana Kwa kweli.

La pili ndilo lilifungiwa ndani ya box. Na lenyewe pia lilikuwa la kimiujiza miujiza hivi. Yaani Kona imepigwa, ikawa cleared kidogo tu ndani ya box, tukaanza kujipanga kupiga counter moja hatari sana, mara akatokea Martinez na diving header ya mpira ulio kima Cha mbuzi, mpira ukarudi juu na ku-loop. Golini Gabriel almanusra auokoe ila ukamchuna kichwa kidogo na kuingia wavuni. Bahati juu ya bahati.

Nakumbuka pia goli la Saka lilitokea nje ya box. Hata shangilia yake ya kukimbilia corner flag kuweka kidole kichwani, aliifanya kumjibu Rashidi ambaye awali alishangilia hivyo goli lake.

Naona hizi takwimu zinatuonyesha tu kuwa sisi tulikuwa hodari Kwa kutawala mashambilizi na yalitufikisha sana ndani ya box ila nyie mlikuwa vizuri kuyazuia na kupona chupu chupu. Nyie hamkutawala sana mashambuilizi hivyo hamkuingia sana ndani ya box ila mlipata magoli mawili mazuri sana ya kubahatisha.
Uzuri wa Asenyo mbele ya Man Utd ni kama binti kigori msumbufu yule wa sitaki nataka, ila unapoanza kumpitishia ulimi taratibu kwa shingo yake, anaanza kulegea na kichwa yake mwenyewe anailekelza kibla.
Hivi kwani sisi na nyinyi lini jamani?
Mpaka mechi ya 4 mbona mbali sana kwani hatuwezi kuomba ratiba ibadilishwe tukutane kwenye mechi ya kwanza tu ya ufunguzi wa Epl?
 
Uzuri wa Asenyo mbele ya Man Utd ni kama binti kigori msumbufu yule wa sitaki nataka ila unapoanza kumpitishia ulimi taratibu kwa shingo yake mwenyewe analegea na kichwa yake mwenyewe anailekelza kibla.
Hivi kwani sisi na nyinyi lini jamani?
Mpaka mechi ya 4 mbona mbali sana kwani hatuwezi kuomba ratiba ibadilishwe tukutane kwenye mechi ya kwanza tu ya ufunguzi wa Epl?
Ongea nao bodi ya ligi wabadilishe tuanze mechi ya kwanza na nyny...
 
Hahaaa mkuu Flano
mimi nisiwe muongo, bado sijawahi kuamini kama le grand captain fantastic super maguire ana ubaya huo ambao man unauona.kwangu mimi nadhan naguire akikaa nyuma ya STRONG MID anaweza akakushangaza.
Utangundua recently baada ya kuboresha performance ya mid taratibu unaona the better version of maguire.
DECLINE RICE.tumepigwa?.kwangu mimi ili niseme ndiyo au hapana nahitaji kumpa muda angalau miez 8 mpaka kumi.

Kuna mtu atasema 105 unampa ten months wakati trossard aliingia na kudeliver kwa low price tu.kumbuka RICE anaingia kwenye timu tofauti tangu aanze carrier yake kama pro player.atakutana na changamoto zifuatazo

Abnormal training intesity.amekutana na training ya juu katika pillars mbalimbali tofauti na alipotoka.unaona hadi amepata maumivu kidogo.

Fluidity na pace tofauti katika mechi. Jamaa ametoka timu ambayo ni defensive minded na counter based.sasa arsenal ni possession na transitional based.lazima ateseke kidogo.maana kila muda watu wako kwenye mwendo

New coaching.jamaa unamsikia anasema unaweza dhani uanjua mpira halafu ghafla unakutana na makocha kama arteta na unagundua hujui kitu.hii inamaanisha nini?.Jamaa anaanza upya.

Mpe muda decline rice na mpe watu wa maana maguire you will notice the difference
 
"Decline rice.
Kwangu mimi siamini kama jamaa ni gifted sana technically.kama unamuangalia rice kwa perspective ya david silva,benado silva,locatell,zubimend,carzola,rosisky ,gundo kroose,camavinga nk ni rahisi kuona tumepigwa.

Mimi natarajia kumuona rice kuanzia february na hapo kila mmoja atajua thamani ya roho ya kiingereza hasa hawa WEUPE NOT BLACKS."


Mkuu toobiter kwanza nikiri kabisa kua wewe miongoni mwa mashabiki wachache wa Arsenal ambao hua nawakubali sana wanapochambua mpira humu bila ya kuweka mbele ushabiki wa timu, hongera sana kwa hilo.
Ila suala la kupigwa kwenu kwenye usajili wa Decline Rice hilo liko wazi kwa kila shabiki wa Arsenal ila kinachofanyika ni kupakapaka rangi ionekane ni sawa.
Kuhusu suala la kujituma kwa roho za kiingereza ni kujipa matumaini ya bure tu, hayo mambo yaliishaga kwenye kizazi cha kina Gerrard, Lampard, Terry na Rooney.
Ingekua ni hivyo tungeiona hio roho ya upambanaji kwa Le Captain Harry Maguire tokea kufariki kwa Malkia Elizabeth waingereza ni kama wameamua kwa pamoja kujikatia tamaa.
Pep Guardiola on Declan Rice:

“Arsenal bought an incredible, incredible player.”

(Source: @standardsport)
 
Back
Top Bottom