Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Jamaa unafaa kuwa comedian, nakushauri tumia hichi kipaji kupga hela.
Chelkenge wazee wakugombea kushuka daraja ,unafanya nn humu malengo yenu muingie top 10 , Arsenal malengo ni kupigania ubingwa
 
Jesus inabidi apone as soon as possible
Wenger orphans ifike wakati mkubali Jesus injury ni maisha yake hapo msijidanganye Jesus saizi hawezi kwenda miezi mitatu asipate injury.

Hapo muingie sokoni tu mtafute striker nyingine hapo mtaumia muanze kulia lia hapa kama Kawaida yenu.
 
Wenger orphans ifike wakati mkubali Jesus injury ni maisha yake hapo msijidanganye Jesus saizi hawezi kwenda miezi mitatu asipate injury.

Hapo muingie sokoni tu mtafute striker nyingine hapo mtaumia muanze kulia lia hapa kama Kawaida yenu.
System yetu ya arsenal hatutegemei mtu mmoja kwenye kufunga

Tunaomba ligi tuikimbize tukiwa full mkoko

Nketiah go do better as last season arsenal 3 nyumbu 2
 
Chelkenge wazee wakugombea kushuka daraja ,unafanya nn humu malengo yenu muingie top 10 , Arsenal malengo ni kupigania ubingwa
Kwani hayo malengo ya kugombea ubingwa mmeyaanza msimu huu tu au? Siku mtu akiwaasha usingizini ndio mtajua Arse888 haijawah kuwa timu y kugombea ubingwa.
 
EXCL: Arsenal have submitted opening bid for David Raya to Brentford tonight. The proposal is worth £20m fixed fee plus £3m add-ons ️ #AFC

Raya told Brentford that he wants the move as personal terms are already agreed.
 
EXCL: Arsenal have submitted opening bid for David Raya to Brentford tonight. The proposal is worth £20m fixed fee plus £3m add-ons ️ #AFC

Raya told Brentford that he wants the move as personal terms are already agreed.
Imeisha hii....wao wanataka 30....wanaweza kuvutana Waka settle kwny 25
 
Kwani hayo malengo ya kugombea ubingwa mmeyaanza msimu huu tu au? Siku mtu akiwaasha usingizini ndio mtajua Arse888 haijawah kuwa timu y kugombea ubingwa.
Mwaka jana mkuu na tuliteleza padogo...ila malengo ya kuwatandika nyny yalikuwa ya mda mrefu ndo maana mkageuka tawi letu rasmi yaani hata tukiamshwa saa 8 usiku tukacheze na Chelkenge basi ushindi lazima
 
Mwaka jana mkuu na tuliteleza padogo...ila malengo ya kuwatandika nyny yalikuwa ya mda mrefu ndo maana mkageuka tawi letu rasmi yaani hata tukiamshwa saa 8 usiku tukacheze na Chelkenge basi ushindi lazima



Yeah mwaka jana mliteleza bahati mbaya sana this season hata nafasi tu ya kuteleza hamtakuwa nayo.
Mwaka jana flow ya mpira wenu pre season it was best mzee na ilionesha mna kitu , tukicheki flow ya mpira this pre season mliyonayo na energy iliyotumika last season tunaona kabisa kama hamtoboiii hio top 4 na si kwa ubaya kabisa.

Liverpool karudii kwenye ubora sidhani kama kuna injuries zozote kwao ila last season kina diaz, thiago na jota walikua injuries now wapo full mkoko ,Chelsea madogo janja wakina mudryk, Jackson, nkunku , enzo na valhovic anakaribia kutua usiwachukulie poa mzee.

Wakati wenzenu wanapiga picha na trophies nyie mtabaki kupiga picha na clock la highubry
IMG_1611.jpg
 
| Oleksandr Zinchenko on William Saliba: “Rolls-Royce. So good, I love him so much.

“I’ll be honest with you, I didn’t know him before I came to Arsenal when I saw him from the training sessions, I said: ‘who is this guy?’. Then first game against Chelsea, pre-season, zero mistakes.

“This guy never makes mistakes. Then he scored the goal with the left foot against Bournemouth. I went to my knees because I said this guy… I said, this guy, he can do everything. He can do everything.” [@FIVEUK] #afc
 
Yeah mwaka jana mliteleza bahati mbaya sana this season hata nafasi tu ya kuteleza hamtakuwa nayo.
Mwaka jana flow ya mpira wenu pre season it was best mzee na ilionesha mna kitu , tukicheki flow ya mpira this pre season mliyonayo na energy iliyotumika last season tunaona kabisa kama hamtoboiii hio top 4 na si kwa ubaya kabisa.

Liverpool karudii kwenye ubora sidhani kama kuna injuries zozote kwao ila last season kina diaz, thiago na jota walikua injuries now wapo full mkoko ,Chelsea madogo janja wakina mudryk, Jackson, nkunku , enzo na valhovic anakaribia kutua usiwachukulie poa mzee.

Wakati wenzenu wanapiga picha na trophies nyie mtabaki kupiga picha na clock la highubry View attachment 2707650
Kama unachukulia matokeo ya Pre season ndo u judge kwenye performance kwny ligi utasubiri sana....Chelsea Pre season kacheza na vitimu vya kawaida sana timu kubwa pekee alocheza nayo ni Dortmund...Man UTD tumeona mechi zake Pre season....Liverpool tumeona mechi zake pia zipo mechi la draw na zingine kadundwa....Ligi ni Marathon...mwenye kikosi kipana chenye quality ndo ana nafasi ya kufanya vzuri kwhyo kijana tukae tuangalie ligi ikianza halafu tutakuja kuambiana hapa
 
Mwaka jana mkuu na tuliteleza padogo...ila malengo ya kuwatandika nyny yalikuwa ya mda mrefu ndo maana mkageuka tawi letu rasmi yaani hata tukiamshwa saa 8 usiku tukacheze na Chelkenge basi ushindi lazima
Ndio mseme malengo yenu ni kumfunga chelsea na nyumbu, ila sio ubingwa. Msimu huu mkibeba ubingwa nipgwe risasi.
 
Yeah mwaka jana mliteleza bahati mbaya sana this season hata nafasi tu ya kuteleza hamtakuwa nayo.
Mwaka jana flow ya mpira wenu pre season it was best mzee na ilionesha mna kitu , tukicheki flow ya mpira this pre season mliyonayo na energy iliyotumika last season tunaona kabisa kama hamtoboiii hio top 4 na si kwa ubaya kabisa.

Liverpool karudii kwenye ubora sidhani kama kuna injuries zozote kwao ila last season kina diaz, thiago na jota walikua injuries now wapo full mkoko ,Chelsea madogo janja wakina mudryk, Jackson, nkunku , enzo na valhovic anakaribia kutua usiwachukulie poa mzee.

Wakati wenzenu wanapiga picha na trophies nyie mtabaki kupiga picha na clock la highubry View attachment 2707650
Halafu wanakwambia Arse888 ya makombe. Hawa hata top5 ni kuwaonea huruma
Waambie wawaulize wenzao liva msimu wanakimbiza ubingwa na kipara. wakaukosa dk. za mwisho, msimu uliofuta ilikuaje?
 
Back
Top Bottom