Yaan kweli unaamini kabisa kumkosa mchezaji wiki 6 , inakubidi uende sokon kutoa pesa namaanisha pesa ,sio kwenda na £40m utarudi na CF ambaye bado hataweza kumuweka nje hata Trossard
Top CF Sion alisajiliwa dirisha hili never , au hujaona Victor Osimhen imepelekwa ofa £120m imepigwa chini
Manjesta wametoa €85m wamesajili CF ana goal 9
Kwenda sokon kusajili CF Sasa hivi kwa Bei chin ya €50m ni kuchezea hela
Balogun ,Nketiah waliopo Arsenal thaman zao sokon ni €50m
Ninachojua Mimi false 9 ya Trossard haiwez kutuzuia tusishinde against kina forest , manjesta , na timu Kariba hizo
Umetolea mfano last season ,kwani hujui matatizo yalikuwa kwa kuumia Saliba na Tomiyasu kwa wakati mmoja na sio CF
In all competition Arsenal walifunga goals 120 .
Thus why huwa sielewi kwanini muna mu underrate Sana Trossard , kwa nketiah nitawaelewa ila sio Trossard
Balogun najua Hana uzoefu na EPL , na chance ya kubaki ni ndogo Sana
Nimemsahau na Kai , bado hatujamuona Kai Kama CF kwa system yetu ya possession football ,
Kama tunaamini Hatuwez kushinda mpaka dhidi ya kina manjesta ,Chelsea ,forest ,palace bila CF Basi haina haja yakugombea EPL ,tugombee top 4