Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tunahitaji ST

Tukijidanganya kwamba kuna Trossard au Kai kitatukuta kilichomkuta Chelsea.

Lukaku ingawa ni miyeyusho kwenye dressing room ila ni option nzuri ya muda mfupi.
Umewaza kama ambavyo niliwaza toka msimu ulivyoisha, huyu lukaku huyu akiwa ndani ya Arsenal watu watalia sana
 
Jesus sio injury prone , Baada ya kufanyiwa surgery ya goti alipona kabisa , ila madaktari wanasema anahitajika wapasafishe asisikie maumivu ,it takes few weeks,makadirio ni 6 weeks maximum

Gabriel Jesus Premier League availability last 6 seasons:

17/18: 32/38
18/19: 36/38
19/20: 35/38
20/21: 30/38
21/22: 34/38
22/23: 26/38

Of course Arsenal breaks the 30+ streak, but he’s durable & reliable. He’s NOT injury prone like that. His knee is fine, “clean up” is common.
Wiki 6 nyingi sana aisee hasa kwa mchezaji muhimu kama yeye
 
Wiki 6 nyingi sana aisee hasa kwa mchezaji muhimu kama yeye
Makadirio ,lakini kweli wiki 6 tushindwe kutembea na Trossard false 9 au Kai ?

Yaani tushindwe kumkanda mtu na false 9 ya Trossard au Kai?

Ikiwa Nketiah ,balogun wapo pia

Nawaza hii inaweza kuwa chance ya balogun kupewa nafasi akionesha kitu the rest history
 
Makadirio ,lakini kweli wiki 6 tushindwe kutembea na Trossard false 9 au Kai ?

Yaani tushindwe kumkanda mtu na false 9 ya Trossard au Kai?

Ikiwa Nketiah ,balogun wapo pia

Nawaza hii inaweza kuwa chance ya balogun kupewa nafasi akionesha kitu the rest history
hamis77 wiki 6 kwenye EPL sio kitu kidogo last season Arsenal alitumia only 3 weeks kupoteza first position katika EPL kila wiki inahitaji positive results we need a professional goal scorer who is Nketiah?mbahatishaji?huyo Balogun naye kacheza Arsenal games ngapi?France league na EPL ni vitu viwili tofauti kwa sasa we need a goal scorer kuliko goalkeeper licha namkubali sana Raya sana Arsenal haina mfungaji kama tutaenda na Nketiah na Balogun ili tubebe EPL naapa tutavuna mabua
 
hamis77 wiki 6 kwenye EPL sio kitu kidogo last season Arsenal alitumia only 3 weeks kupoteza first position katika EPL kila wiki inahitaji positive results we need a professional goal scorer who is Nketiah?mbahatishaji?huyo Balogun naye kacheza Arsenal games ngapi?France league na EPL ni vitu viwili tofauti kwa sasa we need a goal scorer kuliko goalkeeper licha namkubali sana Raya sana Arsenal haina mfungaji kama tutaenda na Nketiah na Balogun ili tubebe EPL naapa tutavuna mabua
Yaan kweli unaamini kabisa kumkosa mchezaji wiki 6 , inakubidi uende sokon kutoa pesa namaanisha pesa ,sio kwenda na £40m utarudi na CF ambaye bado hataweza kumuweka nje hata Trossard

Top CF Sion alisajiliwa dirisha hili never , au hujaona Victor Osimhen imepelekwa ofa £120m imepigwa chini

Manjesta wametoa €85m wamesajili CF ana goal 9

Kwenda sokon kusajili CF Sasa hivi kwa Bei chin ya €50m ni kuchezea hela

Balogun ,Nketiah waliopo Arsenal thaman zao sokon ni €50m

Ninachojua Mimi false 9 ya Trossard haiwez kutuzuia tusishinde against kina forest , manjesta , na timu Kariba hizo

Umetolea mfano last season ,kwani hujui matatizo yalikuwa kwa kuumia Saliba na Tomiyasu kwa wakati mmoja na sio CF

In all competition Arsenal walifunga goals 120 .


Thus why huwa sielewi kwanini muna mu underrate Sana Trossard , kwa nketiah nitawaelewa ila sio Trossard

Balogun najua Hana uzoefu na EPL , na chance ya kubaki ni ndogo Sana

Nimemsahau na Kai , bado hatujamuona Kai Kama CF kwa system yetu ya possession football ,

Kama tunaamini Hatuwez kushinda mpaka dhidi ya kina manjesta ,Chelsea ,forest ,palace bila CF Basi haina haja yakugombea EPL ,tugombee top 4
 
hamis77 wiki 6 kwenye EPL sio kitu kidogo last season Arsenal alitumia only 3 weeks kupoteza first position katika EPL kila wiki inahitaji positive results we need a professional goal scorer who is Nketiah?mbahatishaji?huyo Balogun naye kacheza Arsenal games ngapi?France league na EPL ni vitu viwili tofauti kwa sasa we need a goal scorer kuliko goalkeeper licha namkubali sana Raya sana Arsenal haina mfungaji kama tutaenda na Nketiah na Balogun ili tubebe EPL naapa tutavuna mabua
Kwa kufatilia kwako mpira last season tulipoteza first position sababu ya kumkosa Jesus?

Bodi ya Arsenal hawawez kwenda sokon dirisha hili Waka splash €90m+ kwa CF ,

Ninachojua wanaleta GK, RW na possible RCB

Timu yetu anafunga yoyote , why kwa wiki 6 uingie sokon kutoa a lot of money ,kwanza ni CF gan yupo sokon wakuja Arsenal na kuanza

Hapo una Trossard,Kai , Nketiah ambao wakicheza hapo bado unapata matokeo easily

Arsenal msimu ujao au January itajipanga kutumia pesa kubwa kuleta CF wa kueleweka .

Kama unaamini kuanzia GK ,Saliba ,Zinny, Partey ,Rice, Øde,saka , Martinelli, Trossard wakimkosa b Jesus Hatuwez kuwafunga forest , manjesta,Chelsea , Everton , na timu Kariba ya hizi, Basi usiwe na matarajio yoyote na Arsenal msimu huu .
 
Mwaka jana mambo yalienda kombo baada ya kupata injuries za mabeki particularly Saliba ila sio CF maana Jesus amerudi bado tunaongoza ligi kwa point 5 kwhyo naona msimu huu ni kuhakikisha mabeki hawaumii na kukaa nje kwa muda mrefu na pia viungo particularly Partey wawe injury free kwa muda mrefu tutakuwa pazuri ila forward line tuna luxury ya kuamua tumtumie nani hata kama Jesus hayupo maana pale mbele yyte anafunga
Yaan kweli unaamini kabisa kumkosa mchezaji wiki 6 , inakubidi uende sokon kutoa pesa namaanisha pesa ,sio kwenda na £40m utarudi na CF ambaye bado hataweza kumuweka nje hata Trossard

Top CF Sion alisajiliwa dirisha hili never , au hujaona Victor Osimhen imepelekwa ofa £120m imepigwa chini

Manjesta wametoa €85m wamesajili CF ana goal 9

Kwenda sokon kusajili CF Sasa hivi kwa Bei chin ya €50m ni kuchezea hela

Balogun ,Nketiah waliopo Arsenal thaman zao sokon ni €50m

Ninachojua Mimi false 9 ya Trossard haiwez kutuzuia tusishinde against kina forest , manjesta , na timu Kariba hizo

Umetolea mfano last season ,kwani hujui matatizo yalikuwa kwa kuumia Saliba na Tomiyasu kwa wakati mmoja na sio CF

In all competition Arsenal walifunga goals 120 .


Thus why huwa sielewi kwanini muna mu underrate Sana Trossard , kwa nketiah nitawaelewa ila sio Trossard

Balogun najua Hana uzoefu na EPL , na chance ya kubaki ni ndogo Sana

Nimemsahau na Kai , bado hatujamuona Kai Kama CF kwa system yetu ya possession football ,

Kama tunaamini Hatuwez kushinda mpaka dhidi ya kina manjesta ,Chelsea ,forest ,palace bila CF Basi haina haja yakugombea EPL ,tugombee top 4
 
Mehdi Teremi CF wa sporting Lisbon nadhani ana miaka 31 ni option nzuri ,ni CF wakusimama ,

Tulihusishwa nae mwanzo wa dirisha la usajili , ni Profile ambayo hatuna katika timu yetu


Ngoja tuone baada ya outgoings tunaweza mrudia nadhan anapatikana Bei ndogo

A Top CF huenda January au summer
 
Mwaka jana mambo yalienda kombo baada ya kupata injuries za mabeki particularly Saliba ila sio CF maana Jesus amerudi bado tunaongoza ligi kwa point 5 kwhyo naona msimu huu ni kuhakikisha mabeki hawaumii na kukaa nje kwa muda mrefu na pia viungo particularly Partey wawe injury free kwa muda mrefu tutakuwa pazuri ila forward line tuna luxury ya kuamua tumtumie nani hata kama Jesus hayupo maana pale mbele yyte anafunga
Kwa mabeki tumeongeza pia , na kwenye viungo Rice , Partey, Jorginho

Last season waliumia Wawili Saliba na Tomiyasu kwa mpigo ,
 
Arsenal and Brentford are now in talks over a deal for David Raya. Bayern keep pushing but sources close to the deal say that Raya’s move to Arsenal is much more likely. Reports,


@SamJDean.
 
#PL |

◉ Arsenal will meet Nicolas Pepe's representatives to discuss contract termination.

◉ Arsenal is ready to give him his last year of his contract in order to release him.

◉ Nicolas Pepe is Besiktas' priority.

footmercato.net/a4933119128696…
 
Arsenal and Brentford are now in talks over a deal for David Raya. Bayern keep pushing but sources close to the deal say that Raya’s move to Arsenal is much more likely. Reports,


@SamJDean.
Una push kwa mchezaji ambaye ameshasema napenda kwenda timu Fulani maana ndo timu ya ndoto yangu...Bayern watakuwa wameshatuchukia mpk Sasa maana Kila walipokuwepo na sisi tupo
 
Je huyu Arsenal fan ana hoja?

Darren Bent believes Arsenal should sign Romelu Lukaku on a 1-year loan as cover for Gabriel Jesus

(@TalkSport).
Arsenal tunatakiwa kusajili watu wawili tu kwaajili ya kutoa upinzani kwa waliopo;
1: David Raya ampe upinzani Rams maana karelax sana na

2: Mohammed Kudus kumpa upinzani Starboy Saka na pia kwakua ni versatility yake ni kubwa (RCM na RW) itatusaidia sana.

Kuhusu Ishu ya CF, nadhani tunahitaji mtu calibre ya IVAN TONEY kwaajili ya game fulani solid kama za Brighton, Brentford and the likes.
Ambapo kwa sasa anapatikana kwa bei Chee sana na januari sio mbali kuanza kumtumia.

Hivyo kwa sasa tufocus kumsajili golie-Raya na RW/RCM-Kudus full stop..
 
Back
Top Bottom