arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Tisa🤣🤣....ila ana mikimbio mizuri na anakabia juu kwelikweli..Man U wamepata mtu pale
Ana goli ngapi?
Ana goli ngapi?
Umewaza kama ambavyo niliwaza toka msimu ulivyoisha, huyu lukaku huyu akiwa ndani ya Arsenal watu watalia sanaTunahitaji ST
Tukijidanganya kwamba kuna Trossard au Kai kitatukuta kilichomkuta Chelsea.
Lukaku ingawa ni miyeyusho kwenye dressing room ila ni option nzuri ya muda mfupi.
Wiki 6 nyingi sana aisee hasa kwa mchezaji muhimu kama yeyeJesus sio injury prone , Baada ya kufanyiwa surgery ya goti alipona kabisa , ila madaktari wanasema anahitajika wapasafishe asisikie maumivu ,it takes few weeks,makadirio ni 6 weeks maximum
Gabriel Jesus Premier League availability last 6 seasons:
17/18: 32/38
18/19: 36/38
19/20: 35/38
20/21: 30/38
21/22: 34/38
22/23: 26/38
Of course Arsenal breaks the 30+ streak, but he’s durable & reliable. He’s NOT injury prone like that. His knee is fine, “clean up” is common.
Makadirio ,lakini kweli wiki 6 tushindwe kutembea na Trossard false 9 au Kai ?Wiki 6 nyingi sana aisee hasa kwa mchezaji muhimu kama yeye
hamis77 wiki 6 kwenye EPL sio kitu kidogo last season Arsenal alitumia only 3 weeks kupoteza first position katika EPL kila wiki inahitaji positive results we need a professional goal scorer who is Nketiah?mbahatishaji?huyo Balogun naye kacheza Arsenal games ngapi?France league na EPL ni vitu viwili tofauti kwa sasa we need a goal scorer kuliko goalkeeper licha namkubali sana Raya sana Arsenal haina mfungaji kama tutaenda na Nketiah na Balogun ili tubebe EPL naapa tutavuna mabuaMakadirio ,lakini kweli wiki 6 tushindwe kutembea na Trossard false 9 au Kai ?
Yaani tushindwe kumkanda mtu na false 9 ya Trossard au Kai?
Ikiwa Nketiah ,balogun wapo pia
Nawaza hii inaweza kuwa chance ya balogun kupewa nafasi akionesha kitu the rest history
Yaan kweli unaamini kabisa kumkosa mchezaji wiki 6 , inakubidi uende sokon kutoa pesa namaanisha pesa ,sio kwenda na £40m utarudi na CF ambaye bado hataweza kumuweka nje hata Trossardhamis77 wiki 6 kwenye EPL sio kitu kidogo last season Arsenal alitumia only 3 weeks kupoteza first position katika EPL kila wiki inahitaji positive results we need a professional goal scorer who is Nketiah?mbahatishaji?huyo Balogun naye kacheza Arsenal games ngapi?France league na EPL ni vitu viwili tofauti kwa sasa we need a goal scorer kuliko goalkeeper licha namkubali sana Raya sana Arsenal haina mfungaji kama tutaenda na Nketiah na Balogun ili tubebe EPL naapa tutavuna mabua

Kwa kufatilia kwako mpira last season tulipoteza first position sababu ya kumkosa Jesus?hamis77 wiki 6 kwenye EPL sio kitu kidogo last season Arsenal alitumia only 3 weeks kupoteza first position katika EPL kila wiki inahitaji positive results we need a professional goal scorer who is Nketiah?mbahatishaji?huyo Balogun naye kacheza Arsenal games ngapi?France league na EPL ni vitu viwili tofauti kwa sasa we need a goal scorer kuliko goalkeeper licha namkubali sana Raya sana Arsenal haina mfungaji kama tutaenda na Nketiah na Balogun ili tubebe EPL naapa tutavuna mabua
Jesus inabidi apone as soon as possibleIf everything goes well, Gabriel Jesus should be in the squad for the Crystal Palace game.
[@LeGrove]

Yaan kweli unaamini kabisa kumkosa mchezaji wiki 6 , inakubidi uende sokon kutoa pesa namaanisha pesa ,sio kwenda na £40m utarudi na CF ambaye bado hataweza kumuweka nje hata Trossard
Top CF Sion alisajiliwa dirisha hili never , au hujaona Victor Osimhen imepelekwa ofa £120m imepigwa chini
Manjesta wametoa €85m wamesajili CF ana goal 9
Kwenda sokon kusajili CF Sasa hivi kwa Bei chin ya €50m ni kuchezea hela
Balogun ,Nketiah waliopo Arsenal thaman zao sokon ni €50m
Ninachojua Mimi false 9 ya Trossard haiwez kutuzuia tusishinde against kina forest , manjesta , na timu Kariba hizo
Umetolea mfano last season ,kwani hujui matatizo yalikuwa kwa kuumia Saliba na Tomiyasu kwa wakati mmoja na sio CF
In all competition Arsenal walifunga goals 120 .
Thus why huwa sielewi kwanini muna mu underrate Sana Trossard , kwa nketiah nitawaelewa ila sio Trossard
Balogun najua Hana uzoefu na EPL , na chance ya kubaki ni ndogo Sana
Nimemsahau na Kai , bado hatujamuona Kai Kama CF kwa system yetu ya possession football ,
Kama tunaamini Hatuwez kushinda mpaka dhidi ya kina manjesta ,Chelsea ,forest ,palace bila CF Basi haina haja yakugombea EPL ,tugombee top 4
Kwa mabeki tumeongeza pia , na kwenye viungo Rice , Partey, JorginhoMwaka jana mambo yalienda kombo baada ya kupata injuries za mabeki particularly Saliba ila sio CF maana Jesus amerudi bado tunaongoza ligi kwa point 5 kwhyo naona msimu huu ni kuhakikisha mabeki hawaumii na kukaa nje kwa muda mrefu na pia viungo particularly Partey wawe injury free kwa muda mrefu tutakuwa pazuri ila forward line tuna luxury ya kuamua tumtumie nani hata kama Jesus hayupo maana pale mbele yyte anafunga


️
#PL |Una push kwa mchezaji ambaye ameshasema napenda kwenda timu Fulani maana ndo timu ya ndoto yangu...Bayern watakuwa wameshatuchukia mpk Sasa maana Kila walipokuwepo na sisi tupoArsenal and Brentford are now in talks over a deal for David Raya. Bayern keep pushing but sources close to the deal say that Raya’s move to Arsenal is much more likely. Reports,
@SamJDean.![]()
Najikuta Sina mzuka ni hiyo ngao (shillingi 5)My lineup kwa jumapili
Ramsdale,
Timber
Gabriel
Saliba
White
Partey
Rice
Odegaard
Saka
Trossard
Nelli
4CBs plus Rice awe ana drop chin tukiwa hatuna mpira ,Tutakuwa solid kwenye backline
Nketiah yupo mkuuJe huyu Arsenal fan ana hoja?
Darren Bent believes Arsenal should sign Romelu Lukaku on a 1-year loan as cover for Gabriel Jesus
(@TalkSport).
Arsenal tunatakiwa kusajili watu wawili tu kwaajili ya kutoa upinzani kwa waliopo;Je huyu Arsenal fan ana hoja?
Darren Bent believes Arsenal should sign Romelu Lukaku on a 1-year loan as cover for Gabriel Jesus
(@TalkSport).
Jamaa unafaa kuwa comedian, nakushauri tumia hichi kipaji kupga hela.Nketiah yupo mkuu
Lukaku aje kufanya Nini Tena kwenye hii arsenal ya makombe?